Why Facebook Co-Founder Mark Zuckerberg is an Atheist?

Why Facebook Co-Founder Mark Zuckerberg is an Atheist?

Makuzi yana athari Sana katika kufikiri.
Kutamka bwabwa ni kumtusi MTU au wewe ndiye bwabwa au. Gay au mse.nge haya maneno sio matusi ni maneno ya sifa ya MTU atendayo kinyume na maadili ya Mungu. Akienenda sawa na watu wasio na tumaini.
Simjui Mungu wako namjua Mungu wangu aliyekuja dunia katika umbo la binadamu akiitwa Yesu.
Mimi simtetei Mungu namuelezea Mungu wangu.
Kama unakerwa ni wewe nami sizungumzii mungu wako.
Mimi si mtoto wa Mchungaji hata. Wazazi wangu cheo cha juu Sana walichowahi kukifikia kanisani kwao ni uzee wa Kanisa Tu.

I am far miles away from you about thinking, Mimi ni Mkristo ila siwezi kua na mawazo ya kifedhuli kama yako...
 
Umewahi kusikia kitu kinaitwa Fallacy of definition ?
Tikikosa common ground ya kumdefine Mungu ndicho chanzo kikuu cha mjadala huh.
Uwepo wa Mungu hauna utata ila namna Mungu anabyotafsiriwa na watu mbalimbali kwa kupenda au kutokupenda ndio chanzo cha kukosa hekima na ujuzi.
Hata wewe unaugua ugonjwa huo huo, unameona Mungu katika human behavior na sio kwenye broad picture Kama universe na vijazavyo ndiyo sababu kuelewa kwako ni mbindee
Kwa mfano wa kidunia na tujadili habari za Mungu @ corporate level na sio kwenye petty business ambazo hatuwezi kukubaliana kutolana na am a matatizo ya kuelewa au kukosa Kabisa uwezo wa kutafakari

Wewe ndie unaepaswa kunisaidia Mimi nimwelewe. Twende kwa hoja, ni ushahid gani unaomhusisha mungu wako na hiyo broad picture tunayopaswa kumtambua kwayo? Ni kanuni gani zinazoweza kuniongoza katika kuiona hiyo broad picture? Maadili ya kitaaluma yametajwa wapi katika maandiko ya mungu wako?
Kingine unachopaswa kuelewa ni kuwa common ground inakuwa constructed kwa misingi fulani, sasa sijui hiyo misingi ameiweka nani na kama ipo nataka uiweke hapa ili itusaidie katika huu mjadala.
 
Kama haelewi muombee tu.

Unajua, wewe huwezi kuelewa kwa sababu hata hicho unachodhani unakielewa, pia hukielewi. Mimi kuhoji juu ya hayo yanayomhusu mungu wenu ni kwa sababu nahitaji ufafanuzi na si kingine, sasa mnapojawa na jazba badala ya kutoa hoja zenye ushahidi, ni jambo lisiloleta faida kwa mjadala huu.
Labda wewe unaeelewa, nitolee ufafanuzi wa hayo aliyoyazungumza ili niweze kuelewa kuwa mungu wenu yupo na hajafa, haumwi, hajasafiri au kuhama.

Uso wa nyoka

Sasa huyo mungu unaemwamini, anajipinga yeye mwenyewe? Au utofauti wa kimafundisho kati ya wale wanaomwamini kuwa ishara ya juhudi za kumtambua na kumfikia yeye, huoni kuwa ni uthibitisho tosha kuwa uwepo wake una walakini pia? Huoni kuwa hata hayo maandishi unayoyaamini yanaweza kuwa sehemu ya juhudi za kibinadamu katika kufikia malengo yao na si maandiko yaliyotoka kwa mungu kama unavyoamini?
Tukija katika swala la maadili, ningependa urudie posti yangu hapo juu unifafanulie jinsi mungu alivyohusika katika kuandika miongozo na maadili katika taaluma.
Ni kanuni gani zinazoongoza katika kumtambua mungu wa kweli na asie wa kweli?

Cureone

Umewahi kusikia kitu kinaitwa Fallacy of definition ?
Tikikosa common ground ya kumdefine Mungu ndicho chanzo kikuu cha mjadala huh.
Uwepo wa Mungu hauna utata ila namna Mungu anabyotafsiriwa na watu mbalimbali kwa kupenda au kutokupenda ndio chanzo cha kukosa hekima na ujuzi.
Hata wewe unaugua ugonjwa huo huo, unameona Mungu katika human behavior na sio kwenye broad picture Kama universe na vijazavyo ndiyo sababu kuelewa kwako ni mbindee
Kwa mfano wa kidunia na tujadili habari za Mungu @ corporate level na sio kwenye petty business ambazo hatuwezi kukubaliana kutolana na am a matatizo ya kuelewa au kukosa Kabisa uwezo wa kutafakari
 
I am far miles away from you about thinking, Mimi ni Mkristo ila siwezi kua na mawazo ya kifedhuli kama yako...

Mkristo anayesema Allah na Yahweh ni wamoja huyo mkrislam hayuko kwenye Uislam wala kwenye ukristo.
Mbaya zaidi wajiita Una uwezo mzuri wa kufikiri kuliko Cureone; hakika wewe ni janga
 
Last edited by a moderator:
Unajua, wewe huwezi kuelewa kwa sababu hata hicho unachodhani unakielewa, pia hukielewi. Mimi kuhoji juu ya hayo yanayomhusu mungu wenu ni kwa sababu nahitaji ufafanuzi na si kingine, sasa mnapojawa na jazba badala ya kutoa hoja zenye ushahidi, ni jambo lisiloleta faida kwa mjadala huu.
Labda wewe unaeelewa, nitolee ufafanuzi wa hayo aliyoyazungumza ili niweze kuelewa kuwa mungu wenu yupo na hajafa, haumwi, hajasafiri au kuhama.

Uso wa nyoka

Sasa huyo mungu unaemwamini, anajipinga yeye mwenyewe? Au utofauti wa kimafundisho kati ya wale wanaomwamini kuwa ishara ya juhudi za kumtambua na kumfikia yeye, huoni kuwa ni uthibitisho tosha kuwa uwepo wake una walakini pia? Huoni kuwa hata hayo maandishi unayoyaamini yanaweza kuwa sehemu ya juhudi za kibinadamu katika kufikia malengo yao na si maandiko yaliyotoka kwa mungu kama unavyoamini?
Tukija katika swala la maadili, ningependa urudie posti yangu hapo juu unifafanulie jinsi mungu alivyohusika katika kuandika miongozo na maadili katika taaluma.
Ni kanuni gani zinazoongoza katika kumtambua mungu wa kweli na asie wa kweli?

Cureone

Umewahi kusikia kitu kinaitwa Fallacy of definition ?
Tikikosa common ground ya kumdefine Mungu ndicho chanzo kikuu cha mjadala huh.
Uwepo wa Mungu hauna utata ila namna Mungu anabyotafsiriwa na watu mbalimbali kwa kupenda au kutokupenda ndio chanzo cha kukosa hekima na ujuzi.
Hata wewe unaugua ugonjwa huo huo, unameona Mungu katika human behavior na sio kwenye broad picture Kama universe na vijazavyo ndiyo sababu kuelewa kwako ni mbindee
Kwa mfano wa kidunia na tujadili habari za Mungu @ corporate level na sio kwenye petty business ambazo hatuwezi kukubaliana kutolana na am a matatizo ya kuelewa au kukosa Kabisa uwezo wa kutafakari

Kama wewe ni mwanasayansi hakuna tatizo, mmefishwa uwezo wa kufikiri nje ya mnachotakiwa kukariri...hamjua na hamuwezi kujua hadi mtoke nje ya boksi mlimofungwa.
Mtakuja Kama mbogo kutetea ujinga pasipo kutafuta Elimu.
 
Kama wewe ni mwanasayansi hakuna tatizo, mmefishwa uwezo wa kufikiri nje ya mnachotakiwa kukariri...hamjua na hamuwezi kujua hadi mtoke nje ya boksi mlimofungwa.
Mtakuja Kama mbogo kutetea ujinga pasipo kutafuta Elimu.

Hivi ndiko kuitafuta elimu. Leteni ufafanuzi ili nasi tuelewe
 
Hivi ndiko kuitafuta elimu. Leteni ufafanuzi ili nasi tuelewe

Wanasayansi wanauwezo mzuri wa kurafiti juu ya kitu katika mfumo na sio mfumo wote. Mfano; wanasayansi wanaweza na wamefungwa kutafiti juu ya vitu physical au material...mwanadam ni physical being an spiritual au natural being kwamba pamoja na mifumo physical inayoumba mwanadam kina mifumo spiritual ambayo ni sehemu ya mwanadam husika sayansi haina habari nayo, na kwa sababu hiyo sayansi ya tiba kwa mfano imeshindwa Kabisa kupata tiba ya uhakika kwa magonjwa mengi ya wanadamu imebaki kuwalisha chemical ambazo haziondowi tatizo bali hulizuia ama lisilete madhara zaidi au liwe na uwezo mdogo.
Kuna vitu Kama Upendo, Huruma,chuki nk nk vikiweza kutaftiwa namna bora ya kuvitumia yawezekana binadam akaishi bila matatitizo ya kiafya.
Hivyo hivyo kwenye sayansi iwe ni baolojia au physikia udhaifu ni huo huo.
Kuna spiritual state ambayo ni hai lakini kwa watu mliofungiwa kwenye box la material being hamuwezi kuelewa...
 
Hivi ndiko kuitafuta elimu. Leteni ufafanuzi ili nasi tuelewe

...Na mfano rahisi ni MTU kusema hakuna Mungu. Huyu MTU tayari kajifunga kitengo chake cha kureason Hana muda wa kutafiti na kujitafiti juu ya uwepo wa Mungu.
Kama angetafakari japo kidogo angejua kwamba Gravitational force ilikuwepo tangy kuumbwa kwa matters time and space hakuletwa na mvumbuzi. Vivyo hivyo Kama ukisema kitu Fulani hakiwezekani unakuwa umefunga milango ya kureason unakuwa kwenye matatizo ya kifikra. Duniani kuna interdependence ya mifumo kiasi ambacho ukitumia vizuri uwezo asili wa kujiuliza utajua kwamba vitu Kama Mabadiliko ya tabia nchi ni matokeo ya makosa ya kibinadam tena wajiitoa wanazuoni na wasomi kuto kureason properly...
Wanazungumzia kupanda miti au kuhifadhi mazibgira kwa kutunza misitu kana kwamba misitu ni mfumo kamili unaojitegemea, wamesahau kwamba misitu ni sehemu ya mfumo wa maji, hewa, jua , ardhi na maji ambavyo vyote vinategemeana na sio kimoja kuwa bora kuliko kingine. Vyote ni mfumo mmoja na vyote vinatakiwa kupewa ulinzi na heshima sawa illi kulinda na kutunza ecosystem...
 
Mkristo anayesema Allah na Yahweh ni wamoja huyo mkrislam hayuko kwenye Uislam wala kwenye ukristo.
Mbaya zaidi wajiita Una uwezo mzuri wa kufikiri kuliko Cureone; hakika wewe ni janga

Ungekaa kimya ungeficha ujinga wako, hata kunielewa umeshindwa!....

Una uhakika gani Mungu wa waislamu siye Mungu wa Wakristo?
Nasema tena Mimi ni pekee, naamini Mungu yupo, na Mungu huyu ni mmoja iwe Islamic, Christianity, African Traditional Religion or whatever, ila tunamuabudu kwa njia mbali mbali tu....Na Mungu yupo juu ya dini, dini mfumo tu,

Lakini kwa kuwa wewe ni mpumbavu, umeshindwa hata kung'amua hilo hata kufikia kugombana nani achinje nyama........a typical African.
 
Last edited by a moderator:
Ungekaa kimya ungeficha ujinga wako, hata kunielewa umeshindwa!....

Una uhakika gani Mungu wa waislamu siye Mungu wa Wakristo?
Nasema tena Mimi ni pekee, naamini Mungu yupo, na Mungu huyu ni mmoja iwe Islamic, Christianity, African Traditional Religion or whatever, ila tunamuabudu kwa njia mbali mbali tu....Na Mungu yupo juu ya dini, dini mfumo tu,

Lakini kwa kuwa wewe ni mpumbavu, umeshindwa hata kung'amua hilo hata kufikia kugombana nani achinje nyama........a typical African.

Hata shetani anaamini Mungu mmoja hivyo imani kwa Mungu mmoja fake haina mashiko.
Nimekwambia hata wanaoamini miungu wanajiona wanamwamini mungu wao wa kweli Allah ni mmoja wa miungu mingi inayoaminiwa na watu wakimpa heshima ya Mungu mmoja na muumba.
Pole Sana. Mungu wa kweli ni mmoja lakini Allah ni mungu
 
To be creative doesn't mean you are very intelligent to know the existence of Almighty God! Albert Einstein and Sir Isaac Newton were smarter than this dumb boy Marck Zuckerberg but they acknowledged the existence of Almighty God, You call him by any name you like.
 
Hata shetani anaamini Mungu mmoja hivyo imani kwa Mungu mmoja fake haina mashiko.
Nimekwambia hata wanaoamini miungu wanajiona wanamwamini mungu wao wa kweli Allah ni mmoja wa miungu mingi inayoaminiwa na watu wakimpa heshima ya Mungu mmoja na muumba.
Pole Sana. Mungu wa kweli ni mmoja lakini Allah ni mungu

Hehehe Mungu ni mmoja tu, Yahweh, Allah, Nguruvi ni majina, lazima uzingatie hilo we mfia dini
 
Hehehe Mungu ni mmoja tu, Yahweh, Allah, Nguruvi ni majina, lazima uzingatie hilo we mfia dini

There is no God but Allah, umelewa dini Allah ni generic name la mungu kiarabu lakini Allah kiislam ndilo jina la mungu wao.
Allah alukuwa anaabudiwa na wakuraish wa kabla ya Muhammad sambamba na Yahweh, Muhammad alimkarabati na kuuljaribu kumpa sifa za Yahweh....
Endelea kufikiri ujinga wako ni deal
 
Hehehe Mungu ni mmoja tu, Yahweh, Allah, Nguruvi ni majina, lazima uzingatie hilo we mfia dini

Hamna kufuru Kama kuamini kwamba Allah ndiye Yahweh.
Labda Kama unaamini mungu ni kichaa kiasi amtume Yesu na ujumbe wa amani then ageuke amtume Muhammad na ujumbe wa kisasi na mauaji.
Mimi nafahamu Mungu sio kichaa Bali Allah ni mungu sawa ba Baali wa enzi za nabii Eliya ...
 
Mimi sio mtu wa dini, watu wa dini wanaamini Allah ni mungu.Mimi MTU wa imani namwamini Bwana Yesu

Tulia mfia dini, ujinga wote unaopumua hapa watu tumeumaliza katika volume za kutisha,

Sasa nakupuuza, we si size yangu, na ndio maana nikikupa nondo moja unaereply mara 3 na unaona bado unahitaji kureply

Hehehehe....
 
...Na mfano rahisi ni MTU kusema hakuna Mungu. Huyu MTU tayari kajifunga kitengo chake cha kureason Hana muda wa kutafiti na kujitafiti juu ya uwepo wa Mungu.
Kama angetafakari japo kidogo angejua kwamba Gravitational force ilikuwepo tangy kuumbwa kwa matters time and space hakuletwa na mvumbuzi. Vivyo hivyo Kama ukisema kitu Fulani hakiwezekani unakuwa umefunga milango ya kureason unakuwa kwenye matatizo ya kifikra. Duniani kuna interdependence ya mifumo kiasi ambacho ukitumia vizuri uwezo asili wa kujiuliza utajua kwamba vitu Kama Mabadiliko ya tabia nchi ni matokeo ya makosa ya kibinadam tena wajiitoa wanazuoni na wasomi kuto kureason properly...
Wanazungumzia kupanda miti au kuhifadhi mazibgira kwa kutunza misitu kana kwamba misitu ni mfumo kamili unaojitegemea, wamesahau kwamba misitu ni sehemu ya mfumo wa maji, hewa, jua , ardhi na maji ambavyo vyote vinategemeana na sio kimoja kuwa bora kuliko kingine. Vyote ni mfumo mmoja na vyote vinatakiwa kupewa ulinzi na heshima sawa illi kulinda na kutunza ecosystem...

Unamtoaje mtu katika kureason kuwa hakuna mungu? Hebu nisaidie
 
Tulia mfia dini, ujinga wote unaopumua hapa watu tumeumaliza katika volume za kutisha,

Sasa nakupuuza, we si size yangu, na ndio maana nikikupa nondo moja unaereply mara 3 na unaona bado unahitaji kureply

Hehehehe....

Jipe moyo Mkuu. Nimekujibu Mara Tatu ili kuweka msisitizo katika kila hoja.
Usilazimishe kuelewa vitu ambavyo ubongo wako hauwezi.
Endelea kijiaokomeza gizani ukimpa utukufu mungu fake kwa kumpa sifa sawa na Mungu wa kweli.
Huwezi kuhojiana nami wewe ni kweli Mimi sio saizi yako.
 
Back
Top Bottom