Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una shida wewe. Jitafakari upyaShe is my soulmate..
As a general rule. Siwezi kabisa kutoka na single mother but she is an exception. Nahisi ana nyota yangu nikiwaga nae huwaga nabutua sana . Nimefanya nae vitu vingi sana nimemsaidia vitu vingi sana amenisaidia vitu vingi sana ..
Moja kati ya vitu ambavyo amenifudisha. She has taught me how to be a real man.
Being a real man ni pale mwanaume unapokuwa na uwezo wa kuendelea kumpenda mwanamke licha ya maudhi yake. ( wanawake mna maudhi sana nyie)
Sasa huyu mwanamke amenifudisha kuvumilia maudhi ya mwanamke. Kwangu ni kitu kikubwa sana hicho sikutegemea on earth kwamba siku moja nitakuja kuwa na uwezo wa kuvumilia maudhi ya wanawake.
Ila lucha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2]Huu muda ulioandika gazeti ilitosha uandike maneno mawili tu kumuuliza yeye muhusika kuwa "kwanini umeni-unblock" sasa unakuja kutuuliza sisi?
1.wakorea wasikudanganye kijana. Mambo ya soulmate yaliishaga mwaka 1958. Sikuhizi tunatembea na fursa tu. Baby dady wake asingemuacha wala msingekuwa mnablokiana now.1.She is my soulmate..
2.Nahisi ana nyota yangu nikiwaga nae huwaga nabutua sana . 3.Nimefanya nae vitu vingi sana.
4.Moja kati ya vitu ambavyo amenifudisha. She has taught me how to be a real man.
5.sasa huyu mwanamke amenifudisha kuvumilia maudhi ya mwanamke.
😄😄 AnazinguaIla lucha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2]
Get a life brother.Ni mwanamke wangu tuliependana sana tukiwa chuo. She was extremely beautiful. Ila alikuwa anajisikia sana. She got a very big ego. Alinizingua sana tukiwa chuo nikaachana nae tukaja kukutana miaka mitano baada ya Mimi kumaliza chuo yeye alitangulia kwa mwaka mmoja tukaanza upya tena this time she was a single mother.
Mwanzoni alikuwa na nidhamu sana ila baada ya kujiridhisha kuwa bado nampenda kama zamani akaanza tena mideko yake.
Ni Raia wa nchi jirani so anaishi nchini kwao na mimi nchini kwetu. Normally huwa anakuja Bongo na Mimi naenda kwao.
Tumekua na on and off relationship for a very long time.
Na amesha ni block kama mara tatu ambazo hata hivyo alikuwa honestly.
Mwanzoni nilipost picha za baby mama wangu kumuwish a happy birthday. My baby mother is more beautiful than her but I love her the most kwa sababu kuna vitu anavyo sijaviona kwa mwanamke yoyote yule duniani. I cant even explain them. So her action was justifiable. Nikamuomba msamaha via email mwisho wa siku tukayamaliza tukaanza upya tena..
Akaja kuniblock tena kama mara 2 nyingine kwa sababu ya hasira na wivu na zote tulikuwa tukayamaliza baada ya muda fulani.
This time around ni kama vile she was done with me. Na sio kwamba nina mtreat vibaya la hasha ila tatizo lake ni anaamini sana katika intuitions zake. Maamuzi yake mengi dhidi yangu amekuwa akiyafanya just based on her intuitions. Kwa mfano kuna kipindi nilienda kisarawe vijijini huko nikakaa kama wiki moja hakukuwa na network na umeme shida and in addition to that simu yangu ikaharibika. So baada ya hizo siku saba niliporudi mjini nikakuta emails kibao ana complain anasema nipo na malaya zangu ndio maana nimemzimia simu, but before that nilimuandikia email kimuelezea what was going on. Kesho yake nikanunua simu mpya nikamtext akawa harespond nikawa najaribu kumuelewesha mwisho wa siku akaniblock. Nikahamia kwenye email kumplease..
Siku ulivyo kaa sawa akaniambia alikasirika sana namuona yeye kama mtoto kwamba kwanini namdanganya simu imeharibika wakati nawasiliana nae kwa email what am I hiding. Nikamjibu nilienda kwenye internet cafe sikutumia simu basi kidogo akaelewa.
Au anaweza kupost picha zake status, nisipomsifia inakuwa ni ishu kubwa sana au nisipo view anakasirika hadi ana ni block na anafanya hivyo bila kuniambia so nikija kugundua kwamba ameniblock nikamtext ndo anafunguka how comes nimeshindwa kuview status zake au kusifia..
Sasa hii mara ya mwisho kaniblock kama miezi miwili nikamtext email kibao akasema amechoka na vituko vyangu na ame move on na ananiombea na Mimi niweze ku move on. Nikamwambia kama umeamua hivyo sawa.
Wiki 3 zilizopita nilipatwa na intuition kwamba she need me to talk to her. She want to talk to me but she cant cause she has a very big ego. She need me start the conversation. ( Most of the time Mimi na yeye huwa tuna communicate through telephathy cause our bond was very deep. Yaani nikiwa namuwaza basi na yeye anakuwa ananiwaza kweli. It has happened so many times. So siku hiyo niliahisi pia may be she was praying for me to start a conversation with her or she was just deeply thinking about me and/or wishing me to talk to her.
Nikajifikiria zaidi ya mara 2 nikasita kumtext kwa sababu maneno yangu ya mwisho kwake yalikuwa ni " I will never disturb u with my emails again unless you allow me to do that" Niliwambia hivyo kwa sababu aliniambia nisimsumbue kumtumia emails zangu na kwamba Mungu amemuonyesha kwamba Mimi sio mume wake.
Juzi niliweka status yangu, wakati natazama who viewed my status nashangaa naona na yeye ameview. Naenda kutazama profiles zake nagundua namba yake moja ime ni unblock ila nyingine bado ime ni block.
Swali langu kwa wataalamu wa saikolojia ya wanawake na mahusiano.
WHY HAS SHE UNBLOCKED ME? WITHOUT LETTING ME KNOW THAT SHE HAS UNBLOCKED ME?
Wana drama hadi raha waingie bongo movieHawa hata wakioana hawatoboi