Why is it sex first marriage next?

lazima tutest mitambo kwanza maana unaweza kuuziwa bidhaa ilikuwa fake au teyari imesha Expire tena tunapoelekea tutaanza kuwapana mimba kisha ndio tuwaoe.
 
Kuna watu hawafundishiki mkuu,kuna mtu nimekuwa naye kwa miaka mitano leo,hata miguno kwake mtihani na ukijaribu kumwelekeza ni kama anachukia hivi "mimi siwezi kukatika tafuta anayejua kukatika "

Sent using Jamii Forums mobile app
Dooooh na wwe baba huruma sasa wanini huyo maana kwenye mahusiano hakuna wanacho offer wanawake zaidi ya sex ,sasa kama hata sector yuko grade f mmmh piga chini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shake well before use.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa mtazamo wako.
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ kama alikujibu namimi pia naombakuongezea... hii kanuni ina apply kwa wote
sindo maana nasema hakuna important reasons ya kufanya hivyo ila ni hulka tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…