ulishindwa kuoa ?Kuna girl aliniambia No Sex Until Marriage kwakua nampenda nikakubali......... Kumbe I was Stupid Washkaji wakanisaidia kumbikiri akiwa chuo mwaka wa 2, wakati huo namhudumia kama mke wangu since nimekutana naye tukiwa kidato cha 3.
safiKwangu hamna shida,
Sex after marriage or before marriage poa tu.
Ajue kupika tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwahiyo unapingana na Maagizo ya muumba? wahenga waliwezajeUkiionja mboga kabla ya kuila ndo utajua kama ina chumvi au la. Sasa katika sex kila mmoja ana kitu anacho kipenda, Mwingine anapenda maji mengi na mwingine anapenda maji kidogo au mwingine ukavu na wengine harufu zao zinakuwa kali Hivyo kama hukuonja kabla ukaoa then ukakutana na kimojawapo ambacho wewe hukipendi basi kama si busara ya uvumilivu hiyo ndoa inaweza ikawa hatarini kuvunjika au ikawa na michepuko mingi zaidi, umesha wahi jiuliza kwanini baadhi ya ndoa zinafungwa kwa gharama na sherehe kubwa harafu ndani ya miezi michache zinavunjika?
Salam kwenu, bila shaka mpo salama na mola aendelee kutulinda amen.
Jamani kuna hili suala binafsi nashindwa kuelewa kwa hali iliyopo kwa sasa kwamba kama mwanaume hajakutana kimwili na mtarajiwa wake basi inakuwa ngumu kuendeleza uhusiano na anaweza kughairi hata kuoa ni kama kisheria fulani hivi kinachokua kwa kasi ambacho wanaume wamejiwekea.
Tatizo huwa ni nini, like why is it so important?
ππππKwa nini na nyie mnaomba hela kabla ya ndoa
πππ kama alikujibu namimi pia naombakuongezea... hii kanuni ina apply kwa wotekwahiyo mkuu kanuni hii ni kwa wale ambao ni used tu au hata walio "sealed"?
ππMi nikipewa papuchi ndo kidogo naanza kuamini napendwa, na baada ya hapo ndo tunaweza kuendelea na mahusiano kama viungo vya uzazi vitaendana.
Hii papuchi nnayosemea ni ile unapewa bure hujatoa hata buku sio ya kuuziwa[emoji23]
πππ sahihi kabisa...huo ni ujinga ambao siwezi kuja kuufanyaHiyo ndio dudu ya mumeo wa ndoa mlioona bila kutest, Yan ukiona mwanaume anakubali kuoana bila kufanya sex weka doubt sababu naturally wanaume wanapenda sex, yan hapo ni kama anakuwa anakuuzia mbuz kwenye gunia.
NB: Siwez kukubali relationship bila sex yan hata huyo mwanamke awe malaika.
Sent from my iPhone using JamiiForums
mimi akinieleza hivyo siku hiyo hiyo nambwagaHuwa namchukia Sana demu anaenikazia eti kisa atanipa nikisha muoa .
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππππππSababu ni kuwa hamna BIKRA mkuu, umeitoa kwa Chipsi kuku huko halafu mi nije kukubali kusubiri hadi ndoa si ntakua mwendawazimu
πππ huyo ndiye defination ya mbuzi katika gunia sasa. kama ulikuwa haujui..yaani hapo ulipigwa changa la machoKuna watu hawafundishiki mkuu,kuna mtu nimekuwa naye kwa miaka mitano leo,hata miguno kwake mtihani na ukijaribu kumwelekeza ni kama anachukia hivi "mimi siwezi kukatika tafuta anayejua kukatika "
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini kuna watu wanaonjana na bado hawadumu katika ndoa.
Unajua mkuu katika kipindi hicho cha kuonjana mtu anaweza kupretend, kisha ukaingianae kwenye ndoa na bado ukakutana na usivyovipenda.
Na ndoa haishikiliwi na sex peke yake.
Na pia sababu za kuvunjika ndoa mapema zipo nyingi.
[/QUOTE
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini kuna watu wanaonjana na bado hawadumu katika ndoa.
Unajua mkuu katika kipindi hicho cha kuonjana mtu anaweza kupretend, kisha ukaingianae kwenye ndoa na bado ukakutana na usivyovipenda.
Na ndoa haishikiliwi na sex peke yake.
Na pia sababu za kuvunjika ndoa mapema zipo nyingi.
Salam kwenu, bila shaka mpo salama na mola aendelee kutulinda amen.
Jamani kuna hili suala binafsi nashindwa kuelewa kwa hali iliyopo kwa sasa kwamba kama mwanaume hajakutana kimwili na mtarajiwa wake basi inakuwa ngumu kuendeleza uhusiano na anaweza kughairi hata kuoa ni kama kisheria fulani hivi kinachokua kwa kasi ambacho wanaume wamejiwekea.
Tatizo huwa ni nini, like why is it so important?
[emoji2][emoji2][emoji2] sahihi kabisa...huo ni ujinga ambao siwezi kuja kuufanya
ulishindwa kuoa ?
doh pole sana.