Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1.mfanye kusudi alafu mtubie? hapana, toba hufanywa baada ya kutenda jambo ambalo hukuwa unajua kama ni kosa.Sio kweli, vipi mkitubia nyote kabla ya ndoa ?
Pili, halali hapo ni nini na haramu ni nini pia ?
Haya maneno amekwambia nani ?1.mfanye kusudi alafu mtubie? hapana, toba hufanywa baada ya kutenda jambo ambalo hukuwa unajua kama ni kosa.
Sio nafikiriaje, uliza usahihi ni upi ?ndo ipo hivo. we unafkiriaje mkuu
swadakta kabisa! Kuitana wapenzi bila kupeana tamu la penzi ni sawa na kutaniana tu kama babu na bibi wanavyotaniana na wajukuu kwa kumuita mke au mumeSasa utamuitaje mtu mpenzi kama hamjavuana vijasti-bikozi 😆? Ni sawa na kujiita muislamu wakati hufati nguzo 5 za kiislamu.
be honest kwa ww unampima mtu kwa muda gan?nakunyima nikupime uvumilivu wako kama husband material au just baharia tu mpitaji
Shake before use [emoji1666]Salam kwenu, bila shaka mpo salama na mola aendelee kutulinda amen.
Jamani kuna hili suala binafsi nashindwa kuelewa kwa hali iliyopo kwa sasa kwamba kama mwanaume hajakutana kimwili na mtarajiwa wake basi inakuwa ngumu kuendeleza uhusiano na anaweza kughairi hata kuoa ni kama kisheria fulani hivi kinachokua kwa kasi ambacho wanaume wamejiwekea.
Tatizo huwa ni nini, like why is it so important?
hata deep kisses hamna?no sex untill marriage.
personaly mwanaume aki insist sana sex namuona kama player flani hivi mwenye haraka ya kuhit asepe. lakini akionesha uvumilivu unaweza kujikuta tu unamtunuku kimasihara. wanapoharibu ni pale wanapoliweka hili suala over everything.hata deep kisses hamna?
Suala lenyewe tu la mahusiano kabla ya ndoa linashawishi kufanya hivyo,sasa watu wanafaragha ya kutosha kama kutoka out na mambo mengine halafu iwe tu kama mtu na Dada yake,haiwezekani.Salam kwenu, bila shaka mpo salama na mola aendelee kutulinda amen.
Jamani kuna hili suala binafsi nashindwa kuelewa kwa hali iliyopo kwa sasa kwamba kama mwanaume hajakutana kimwili na mtarajiwa wake basi inakuwa ngumu kuendeleza uhusiano na anaweza kughairi hata kuoa ni kama kisheria fulani hivi kinachokua kwa kasi ambacho wanaume wamejiwekea.
Tatizo huwa ni nini, like why is it so important?
apo nimekusomapersonaly mwanaume aki insist sana sex namuona kama player flani hivi mwenye haraka ya kuhit asepe. lakini akionesha uvumilivu unaweza kujikuta tu unamtunuku kimasihara. wanapoharibu ni pale wanapoliweka hili suala over everything.
no way out kwakweli misimamo ya wengi humu inafanana.Suala lenyewe tu la mahusiano kabla ya ndoa linashawishi kufanya hivyo,sasa watu wanafaragha ya kutosha kama kutoka out na mambo mengine halafu iwe tu kama mtu na Dada yake,haiwezekani.
Halafu ukute mwanaume alishaonjaonja huko sasa kwa nini ishindikane kwa huyu anayetaka kumuoa.
Kubadilisha mitazamo ya watu humu ni ngumu lakini ni rahisi kushilia msimamo wako.no way out kwakweli misimamo ya wengi humu inafanana.
Ndio nilimpaYule wa JF ulimpa?