Why is Jesus White? Muhammad Ali

Why is Jesus White? Muhammad Ali

Ulipaswa ufanye tafiti kwanza ndipo uje humu kutuabarisha. Na sio kuropoka tu.

Kwanza kitabu gani ama ni vitabu vipi umefisoma na kukujuza kuwa manabii na mitume walikuwa weupe?

Hakuna kiupe cheupe duniani. Hakuna Period. These are corrupted terms ambazo mmeaminishwa kwa kuwa wameua uwezo wenu wa kufikiri.

Tangu mwaka 342 Hadi leo, ulimwengu huu umegeuzwa geuzwa pale tu Mtu mweusi alipofanya makosa ya kuzaa na wanawake nje ya taifa lao. Weusi walitapaka dunia mzima na wakawatawala viumbe vyote. Makosa ni pale walipoamua kuzaa na wazungu.
Ili hali waliambiwa msioe wala kuoza kwa mataifa. WE MADE THAT MISTAKE. THATS WHY WE HAVE TO PAY FOR OUR DEEDS.

ELIMU tukawapa hawa watoto hali wajomba zao wakitulindia na kutufanyia kazi zote. Ikawaumiza sana hawa watoto. kwakuwa tuliwapa elimu na mamlaka ndani ya tawala zetu, wakawaelimisha wajomba zao na kufanya striking za mara kwa mara wakadeclare war tukashindwa.

Hapa sasa ndio chanzo za kupoteza kila milki na tukageuzwa kuwa wafungwa wa kivita ndio mwendelezo wa kizazi hiki kisicho na maarifa wala kumbukumbu soma ZABURI YA 83.

Hivyo Elimu nzuri na ya kweli ikaondoshwa ikatengenezwa ya uwongo na kurekebisha hata baadhi ya vitabu vya elimu ya maisha ya kiroho wakahadaa dunia yote na kubadili ama kuficha kabisa ushahidi uwe wa kimaandishi:
Rejea MUSA alipoambiwa na Mungu kuwa Weka mkono wako kifuani halafu toa. Mkono ulibadilika ukawa mweupe. Kumbe MUSA HAKUWA MWEUPE? SOMA UFUNUO WA YOHANA 1:12 UNAELEZA YESU ALIVYOKUWA.
MBONA MAKANISANI HAMFUNDISHWI YALIOPO NDANI YA VITABU HIVI?

DUNIA ILIPOANGUKIA MIKONONI MWA WAZUNGU NDIPO MANABII NA MITUNE WAKABADILIKA GHAFLA WAKAWA WEUPE: WHY?????

Leo wamebadili hata mchoro wao wa Yesu ambao mwanzo alikuwa Therapis mtoto wa Ptolomy. Na wemeweka kuwa Mweusi. WHY NOW????
ni kweli kabisa....ubarikiwe
 
Naona kama watu wanatumia nguvu nyingi sana kufafanua hoja bila sababu ya msingi.. Dini maarufu hapa duniani karibia zote zimeanzia mashariki ya kati (uislam na Uyahudi-judaism) ama mashariki ya mbali (Buddhism.. Taoism) ama ulaya (ukristo..) katika maeneo yote haya hakukuwa na watu weusi enzi hizo… kwa hiyo ni sawa manabii wa hizi dini za hawa jamaa wafanane na wakaazi wa huko..
 
Naona kama watu wanatumia nguvu nyingi sana kufafanua hoja bila sababu ya msingi.. Dini maarufu hapa duniani karibia zote zimeanzia mashariki ya kati (uislam na Uyahudi-judaism) ama mashariki ya mbali (Buddhism.. Taoism) ama ulaya (ukristo..) katika maeneo yote haya hakukuwa na watu weusi enzi hizo… kwa hiyo ni sawa manabii wa hizi dini za hawa jamaa wafanane na wakaazi wa huko..
🙁🙁🙁Ukristo ulianzia ulaya??
 
Jameni hapo zamani according to wazungu hakukuwa na Nabii mweusi, sasa hivi tuko na black mesiah kibao kama akina Gertrude, mwingira na wengineo bado hamuwataki, kweli ngozi nyeusi shida tupu
 
Nadhani pia alipaswa kujua mitume na manabii wote walikuwa weupe

Ulipaswa ufanye tafiti kwanza ndipo uje humu kutuabarisha. Na sio kuropoka tu.

Kwanza kitabu gani ama ni vitabu vipi umefisoma na kukujuza kuwa manabii na mitume walikuwa weupe?

Hakuna kipe cheupe duniani. Hakuna Period. These are corrupted terms ambazo mmeaminishwa kwa kuwa wameua uwezo wenu wa kufikiri.

Tangu mwaka 342 Hadi leo, ulimwengu huu umegeuzwa geuzwa pale tu Mtu mweusi alipofanya makosa ya kuzaa na wanawake nje ya taifa lao. Weusi walitapaka dunia mzima na wakawatawala viumbe vyote. Makosa ni pale walipoamua kuzaa na wazungu.
Ili hali waliambiwa msioe wala kuoza kwa mataifa. WE MADE THAT MISTAKE. THATS WHY WE HAVE TO PAY FOR OUR DEEDS.

ELIMU tukawapa hawa watoto hali wajomba zao wakitulindia na kutufanyia kazi zote. Ikawaumiza sana hawa watoto. kwakuwa tuliwapa elimu na mamlaka ndani ya tawala zetu, wakawaelimisha wajomba zao na kufanya striking za mara kwa mara wakadeclare warp tukashindwa.

Hapa sasa ndio chanzo za kupoteza kila milki na tukageuzwa kuwa wafungwa wa kivita ndio mwendelezo wa kizazi hiki kisicho na maarifa wala kumbukumbu soma ZABURI YA 83.

Hivyo Elimu nzuri na ya kweli ikaondoshwa ikatengenezwa ya uwongo na kurekebisha hata baadhi ya vitabu vya elimu ya maisha ya kiroho wakahadaa dunia yote na kubadili ama kuficha kabisa ushahidi uwe wa kimaandishi:
Rejea MUSA alipoambiwa na Mungu kuwa Weka mkono wako kifuani halafu toa. Mkono ulibadilika ukawa mweupe. Kumbe MUSA HAKUWA MWEUPE? SOMA UFUNUO WA YOHANA 1:12 UNAELEZA YESU ALIVYOKUWA.
MBONA MAKANISANI HAMFUNDISHWI YALIOPO NDANI YA VITABU HIVI?

DUNIA ILIPOANGUKIA MIKONONI MWA WAZUNGU NDIPO MANABII NA MITUNE WAKABADILIKA GHAFLA WAKAWA WEUPE: WHY?????

Leo wamebadili hata mchoro wao wa Yesu ambao mwanzo Ptolomy 1 Sotea alimframe SERAPIS katika Alexander Temple mwaka 304 - 284 BCE. Baadae Kanisa la Kikoptic liliadabt na kumfanya ndio YESU. Mwaka 1518 AD, PAPA ALEXANDER WA 6 alimuasign Michael Angello kumframe An illigitimate Son Cesare Borgia kuwa ndio YESU according to VATICAN PAPACY. Kumbuka katika karne ya 15 (1470-1570 AD) ndio wakati ambao Ulaya wanaanza kujitawala baada ya kuwapiga BLACK ISLAMIC MOORS ambao walitawala Ulaya kuanzia karne ya 7 hadi ya 15.

So kwa takribani miaka 800 ULAYA INAKALIWA KIUTAWALA NA WATU WEUSI. CASTLE ZOTE ZA ULAYA NA URUSI ZILIJENGWA KIPINDI HIKI NA WAZUNGU WALIKUWA WATUMWA(SLAVIC PEOPLE).

SASA KWAVILE UKWELI DAIMA HUWA UNATABIA YA KUJIDHIHIRISHA, WAMEAMUA SASA KUBADILI PICHA YA YESU AMBAYO WANASEMA NI MORE ACCURATE. NA PICHA ANAONEKANA MWEUSI. WHY NOW????
 
Naona kama watu wanatumia nguvu nyingi sana kufafanua hoja bila sababu ya msingi.. Dini maarufu hapa duniani karibia zote zimeanzia mashariki ya kati (uislam na Uyahudi-judaism) ama mashariki ya mbali (Buddhism.. Taoism) ama ulaya (ukristo..) katika maeneo yote haya hakukuwa na watu weusi enzi hizo… kwa hiyo ni sawa manabii wa hizi dini za hawa jamaa wafanane na wakaazi wa huko..

Fanya Tafiti kwanza. Kwanza kukujuza hakuna geoposition duniani inaitwa mashariki ya kati. Kati kutokea wapi??? it is corrupted political term, Hilo Eneo linaitwa "Alua Afrikani" kwa kiebrania ikiwa na maana Kaskazini Mashariki ya Afrika. Fikiri sana kabla ya kunena.

Pili Hilo eneo hapo mwanzo wa biblia lilikuwa linakaliwa na Watu WEUSI. Hawa watu unaowaona wengi kama weupe wamevamia pale hasa kuanzia Enzi ya Alexander wa Macedonia miaka 342 BCE, Kisha Warumi, Waajemi (Waturuki) kisha Ufalme wa Persia (Iran), Mongolia Empire na katika Karne ya 7 hadi 14 Waarabu Weusi walipiga Vita mpaka Ureno na Hispania wakatawala kote. Kuanzia karne ya 17 lilikaliwa na Waingereza, Mwaka 1949 hadi Sasa hilo eneo linakaliwa kimabavu na WAISRAELIS (Wayahudi Imposters or Fake Jews) kwa kukabidhiwa na Wamarekani na Waingereza. Huku Saudi=Aswan=Black Rabia ikikaliwa na Imposters wa kiarabu ambao ni kabila la hao hao wayahudi fake kutoka (Uturuki) na Khaizaria.

Kwa maana hio uvamizi uliokithiri eneo hilo imesababisha kabisa Kizazi Cha wenyeji wenyewe WEUSI kifutike na kutoweka kabisa. Ingawaje hilo eneo bado kuna ushahidi wa Weusi kubakia hadi leo wanaonekana wachache sana (wabedui).

Hivyo Race Mixing ilifanyika sana ambayo lengo ni IDENTITY THEFT YA MWENYEJI MWEUSI.
HIVYO DINI ZOTE KUANZIA ZA ASILI-JUDAISM-UKRISTO- UISLAMU UMEANZISHWA NA WEUSI. HAWA WATU WEUPE WAMEPELEKEWA NA KUBADILI RITUALS KWA KUINGIZA MAMBO YA UPAGANI WAO.

HAKUNA DINI, WALA HAKUPATOKEA MANABII WALA MITUME WEUPE. WOTE NI WEUSI NA HATA WATAKATIFU UNAOWASIKIA KATOLIKI WALIKUWA WEUSI. NA NDIOMAANA HATA LEO VIUMBE VYOTE ULAYA NA ASIA VINAMWABUDU MTU MWEUSI KAMA MUNGU WAO UNDERGROUND.

JAMANI AMKENI FANYENI TAFITI. HUU NI MDA WA MWAMSHO. WE NEED TO TAKE OVER OUR SPIRITUAL PLANET BACK. OUR CREATOR WANTS US. AND THEY ARE HERE ALREADY TO ALTER OUR DNA.

THE ENTIRE WOLRD KNOWS US WHO WE ARE, THATS WHY THEY HATE US BADLY AS LONG AS YOU ARE BLACK MAN.
 
Naona kama watu wanatumia nguvu nyingi sana kufafanua hoja bila sababu ya msingi.. Dini maarufu hapa duniani karibia zote zimeanzia mashariki ya kati (uislam na Uyahudi-judaism) ama mashariki ya mbali (Buddhism.. Taoism) ama ulaya (ukristo..) katika maeneo yote haya hakukuwa na watu weusi enzi hizo… kwa hiyo ni sawa manabii wa hizi dini za hawa jamaa wafanane na wakaazi wa huko..
Walau kidogo inaingia akilini umejitahidi japo ufafanuzi unahitajika zaidi kwa hilo
 
Naona kama watu wanatumia nguvu nyingi sana kufafanua hoja bila sababu ya msingi.. Dini maarufu hapa duniani karibia zote zimeanzia mashariki ya kati (uislam na Uyahudi-judaism) ama mashariki ya mbali (Buddhism.. Taoism) ama ulaya (ukristo..) katika maeneo yote haya hakukuwa na watu weusi enzi hizo… kwa hiyo ni sawa manabii wa hizi dini za hawa jamaa wafanane na wakaazi wa huko..

Fanya Tafiti kwanza. Kwanza kukujuza hakuna geoposition duniani inaitwa mashariki ya kati. Kati kutokea wapi??? it is corrupted political term, Hilo endo linaitwa "Alua Afrikani" kwa kiebrania ikiwa na maana Kaskazini Mashariki ya Afrika. Fikiri sana kabla ya kunena.

Pili Hio eneo hapo mwanzo wa biblia lilikuwa linakaliwa na Watu WEUSI. hawa watu unaowaona wengi kama weupe wamevamia pale hasa kuanzia Enzi ya Alexzander wa Macedonia miaka 342, Kisha Warumi, Waajemi (Waturuki) kisha Ufalme wa Persia (Iran), Mongolia Empire na katika Karne ya 7 hadi 14 Waarabu Weusi walipiga Vita mpaka Ureno na Hispania wakatawala kote. Kuanzia karne ya 17 hadi karne ya 19 Waingereza walilikalia eneo hilo kwa mabavu. Mwaka 1949 Waingereza na Wamarekani waliwakabidhi eneo hilo kwa ESRAELIS na Saudia wakaka imposters wa KITURUKI.

Kwa maana hio uvamizi uliokithiri eneo hilo imesababisha kabisa Kizazi Cha wenyeji wenyewe WEUSI kifutike na kutoweka kabisa. Ingawaje hilo eneo bado kuna ushahidi wa Weusi kubakia hadi leo wanaonekana wachache sana.

Hivyo Race Mixing ilifanyika sana ambayo lengo ni IDENTITY THEFT YA MWENYEJI MWEUSI.
HIVYO DINI ZOTE KUANZIA ZA ASILI-JUDAISM-UKRISTO- UISLAMU ZILIANZISHWA NA WEUSI. HAWA WATU WEUPE WALIPELEKEWA NA BAADAE KUBADILI RITUALS KWA KUINGIZA MAMBO YA UPAGANI WAO.

HAKUNA DINI, WALA HAKUPATOKEA MANABII WALA MITUME WEUPE. WOTE NI WEUSI NA HATA WATAKATIFU UNAOWASIKIA KATOLIKI WALIKUWA WEUSI. NA NDIOMAANA HATA LEO VIUMBE VYOTE ULAYA NA ASIA VINAMWABUDU MTU MWEUSI KAMA MUNGU WAO UNDERGROUND.

JAMANI AMKENI FANYENI TAFITI. HUU NI MDA WA MWAMSHO. WIE NEED TO TAKE OVER OUR SPIRITUAL PLANET BACK. OUR CREATOR WANTS US. AND THEY ARE HERE ALREADY TO ALTER OUR DNA.

THE ENTIRE WOLRD KNOWS US WHO WE ARE, THATS WHY THEY HATE US BADLY AS LONG AS YOU ARE BLACK MAN.
 
Naona kama watu wanatumia nguvu nyingi sana kufafanua hoja bila sababu ya msingi.. Dini maarufu hapa duniani karibia zote zimeanzia mashariki ya kati (uislam na Uyahudi-judaism) ama mashariki ya mbali (Buddhism.. Taoism) ama ulaya (ukristo..) katika maeneo yote haya hakukuwa na watu weusi enzi hizo… kwa hiyo ni sawa manabii wa hizi dini za hawa jamaa wafanane na wakaazi wa huko..

Fanya Tafiti kwanza. Kwanza kukujuza hakuna geoposition duniani inaitwa mashariki ya kati. Kati kutokea wapi??? it is corrupted political term, Hilo endo linaitwa "Alua Afrikani" kwa kiebrania ikiwa na maana Kaskazini Mashariki ya Afrika. Fikiri sana kabla ya kunena.

Pili Hio eneo hapo mwanzo wa biblia lilikuwa linakaliwa na Watu WEUSI. hawa watu unaowaona wengi kama weupe wamevamia pale hasa kuanzia Enzi ya Alexzander wa Macedonia miaka 342, Kisha Warumi, Waajemi (Waturuki) kisha Ufalme wa Persia (Iran), Mongolia Empire na katika Karne ya 7 hadi 14 Waarabu Weusi walipiga Vita mpaka Ureno na Hispania wakatawala kote. Kuanzia karne ya 17 hadi karne ya 19 Waingereza walilikalia eneo hilo kwa mabavu. Mwaka 1949 Waingereza na Wamarekani waliwakabidhi eneo hilo kwa ESRAELIS na Saudia wakaka imposters wa KITURUKI.

Kwa maana hio uvamizi uliokithiri eneo hilo imesababisha kabisa Kizazi Cha wenyeji wenyewe WEUSI kifutike na kutoweka kabisa. Ingawaje hilo eneo bado kuna ushahidi wa Weusi kubakia hadi leo wanaonekana wachache sana.

Hivyo Race Mixing ilifanyika sana ambayo lengo ni IDENTITY THEFT YA MWENYEJI MWEUSI.
HIVYO DINI ZOTE KUANZIA ZA ASILI-JUDAISM-UKRISTO- UISLAMU ZILIANZISHWA NA WEUSI. HAWA WATU WEUPE WALIPELEKEWA NA BAADAE KUBADILI RITUALS KWA KUINGIZA MAMBO YA UPAGANI WAO.

HAKUNA DINI, WALA HAKUPATOKEA MANABII WALA MITUME WEUPE. WOTE NI WEUSI NA HATA WATAKATIFU UNAOWASIKIA KATOLIKI WALIKUWA WEUSI. NA NDIOMAANA HATA LEO VIUMBE VYOTE ULAYA NA ASIA VINAMWABUDU MTU MWEUSI KAMA MUNGU WAO UNDERGROUND.

JAMANI AMKENI FANYENI TAFITI. HUU NI MDA WA MWAMSHO. WE NEED TO TAKE OVER OUR SPIRITUAL PLANET BACK. OUR CREATOR WANTS US. AND THEY ARE HERE ALREADY TO ALTER OUR DNA.

THE ENTIRE WOLRD KNOWS US WHO WE ARE, THATS WHY THEY HATE US BADLY AS LONG AS YOU ARE BLACK MAN.
 
Naona kama watu wanatumia nguvu nyingi sana kufafanua hoja bila sababu ya msingi.. Dini maarufu hapa duniani karibia zote zimeanzia mashariki ya kati (uislam na Uyahudi-judaism) ama mashariki ya mbali (Buddhism.. Taoism) ama ulaya (ukristo..) katika maeneo yote haya hakukuwa na watu weusi enzi hizo… kwa hiyo ni sawa manabii wa hizi dini za hawa jamaa wafanane na wakaazi wa huko..

Fanya Tafiti kwanza. Kwanza kukujuza hakuna geoposition duniani inaitwa mashariki ya kati. Kati kutokea wapi??? it is corrupted political term, Hilo endo linaitwa "Alua Afrikani" kwa kiebrania ikiwa na maana Kaskazini Mashariki ya Afrika. Fikiri sana kabla ya kunena.

Pili Hio eneo hapo mwanzo wa biblia lilikuwa linakaliwa na Watu WEUSI. hawa watu unaowaona wengi kama weupe wamevamia pale hasa kuanzia Enzi ya Alexzander wa Macedonia miaka 342 BCE, Kisha Warumi, Waajemi (Waturuki) kisha Ufalme wa Persia (Iran), katika Karne ya 7 hadi 8 Waarabu Weusi walipiga Vita mpaka Ureno na Hispania wakatawala kote. Kisha karne ya 8 hadi 11 Ottoman empire kutoka Uturuki. Karne ya 13 -14 AD Mongolian Empire alitawala eneo hilo lote la Afrika kaskazini Mashariki. Kuanzia karne ya 17 hadi karne ya 19 Waingereza walilikalia eneo hilo kwa mabavu. Mwaka 1949 Waingereza na Wamarekani waliwakabidhi eneo hilo kwa ESRAELIS na Saudia wakaka imposters wa KITURUKI. Hivyo Miaka hio ya 300 BCE HADI LEO Karne ya 21 eneo hilo linakaliwa na Mixed Ethnics na wenye asili hawana nguvu tena.

Kwa maana hio uvamizi uliokithiri eneo hilo imesababisha kabisa Kizazi Cha wenyeji wenyewe WEUSI kifutike na kutoweka kabisa. Ingawaje hilo eneo bado kuna ushahidi wa Weusi kubakia hadi leo wanaonekana wachache sana.

Hivyo Race Mixing ilifanyika sana ambayo lengo ni IDENTITY THEFT YA MWENYEJI MWEUSI.
HIVYO DINI ZOTE KUANZIA ZA ASILI-JUDAISM-UKRISTO- UISLAMU ZILIANZISHWA NA WEUSI. HAWA WATU WEUPE WALIPELEKEWA NA BAADAE KUBADILI RITUALS KWA KUINGIZA MAMBO YA UPAGANI WAO.

HAKUNA DINI, WALA HAKUPATOKEA MANABII WALA MITUME WEUPE. WOTE NI WEUSI NA HATA WATAKATIFU UNAOWASIKIA KATOLIKI WALIKUWA WEUSI. NA NDIO MAANA HATA LEO VIUMBE VYOTE ULAYA NA ASIA VINAMWABUDU MTU MWEUSI KAMA MUNGU WAO UNDERGROUND.

JAMANI AMKENI FANYENI TAFITI. HUU NI MDA WA MWAMSHO. WE NEED TO TAKE OVER OUR SPIRITUAL PLANET BACK. OUR CREATOR WANTS US AND THEY ARE HERE ALREADY TO ALTER OUR DNA.

THE ENTIRE WOLRD KNOWS US WHO WE ARE, THATS WHY THEY HATE US BADLY AS LONG AS YOU ARE BLACK MAN YOU AVTAARGETED BEINGS FROM WICKED CREATURES.
 
Back
Top Bottom