Why is Jesus White? Muhammad Ali

Why is Jesus White? Muhammad Ali

Naona kama watu wanatumia nguvu nyingi sana kufafanua hoja bila sababu ya msingi.. Dini maarufu hapa duniani karibia zote zimeanzia mashariki ya kati (uislam na Uyahudi-judaism) ama mashariki ya mbali (Buddhism.. Taoism) ama ulaya (ukristo..) katika maeneo yote haya hakukuwa na watu weusi enzi hizo… kwa hiyo ni sawa manabii wa hizi dini za hawa jamaa wafanane na wakaazi wa huko..
Israel, Iran, Kurdistan,Thailand, Andaman islands, Philippines,Indonesia na Australia zina watu weusi ambao walibakia huko huku wenzao wakikimbia vita dhidi ya wazungu.
 
Fanya Tafiti kwanza. Kwanza kukujuza hakuna geoposition duniani inaitwa mashariki ya kati. Kati kutokea wapi??? it is corrupted political term, Hilo endo linaitwa "Alua Afrikani" kwa kiebrania ikiwa na maana Kaskazini Mashariki ya Afrika. Fikiri sana kabla ya kunena.

Pili Hio eneo hapo mwanzo wa biblia lilikuwa linakaliwa na Watu WEUSI. hawa watu unaowaona wengi kama weupe wamevamia pale hasa kuanzia Enzi ya Alexzander wa Macedonia miaka 342, Kisha Warumi, Waajemi (Waturuki) kisha Ufalme wa Persia (Iran), Mongolia Empire na katika Karne ya 7 hadi 14 Waarabu Weusi walipiga Vita mpaka Ureno na Hispania wakatawala kote. Kuanzia karne ya 17 hadi Sasa hilo eneo lilikaliwa na Waingereza.

Kwa maana hio uvamizi uliokithiri eneo hilo imesababisha kabisa Kizazi Cha wenyeji wenyewe WEUSI kifutike na kutoweka kabisa. Ingawaje hilo eneo bado kuna ushahidi wa Weusi kubakia hadi leo wanaonekana wachache sana.

Hivyo Race Mixing ilifanyika sana ambayo lengo ni IDENTITY THEFT YA MWENYEJI MWEUSI.
HIVYO DINI ZOTE KUANZIA ZA ASILI-JUDAISM-UKRISTO- UISLAMU UMEANZISHWA NA WEUSI. HAWA WATU WEUPE WAMEPELEKEWA NA KUBADILI RITUALS KWA KUINGIZA MAMBO YA UPAGANI WAO.

HAKUNA DINI, WALA HAKUPATOKEA MANABII WALA MITUME WEUPE. WOTE NI WEUSI NA HATA WATAKATIFU UNAOWASIKIA KATOLIKI WALIKUWA WEUSI. NA NDIOMAANA HATA LEO VIUMBE VYOTE ULAYA NA ASIA VINAMWABUDU MTU MWEUSI KAMA MUNGU WAO UNDERGROUND.

JAMANI AMKENI FANYENI TAFITI. HUU NI MDA WA MWAMSHO. WILL NEED TO TAKE OVER OUR SPIRITUAL PLANET BACK. OUR CREATOR WANTS US. AND THEY ARE HERE ALREADY TO ALTER OUR DNA.

THE ENTIRE WOLRD KNOWS US WHO WE ARE, THATS WHY THEY HATE US BADLY AS LONG AS YOU ARE BLACK MAN.
Wacha wee!! Naona Waafrika nao wameanza kuandika historia yao.
Huko tuendako Uganda watajiandikia historia yao na vita ya Uganda wataielezea dunia jinsi walivyoipiga Tanzania hadi wakaingia Dar es salaam. Huku Malawi na dunia wakitambua kuwa mpaka kati ya Tanzania na Malawi upo ufukweni mwa like ziwa upande wa Tanzania, Tanzania yenyewe inaamini na kufundisha kuwa mpaka wa nchi hizo upo katikati ya lile ziwa.
Huku Tanzania wakiliita ziwa Nyasa, Malawi na dunia yote wanaliita Ziwa Malawi.
**** wanaharakati/wapiganaji wa kidini, hawa kuna wanaowaita Magaidi , lakini kundini lingine linawaita mashahidi.
It's a free world, the world of multiple choices and comoosing essays. Amini utakacho, ishi uwezavyo.
 
Okechuku Okechuku [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wanifanya niamini sasa kuwa JF it's where the magic lives. Hata mimi sifahamu atafikia wapi [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Atazaliwa upya!!! Na atakuwa na familia mpya pia... Tofauti na mama yake unayemjua ambaye ni mariam!
 
Wacha wee!! Naona Waafrika nao wameanza kuandika historia yao.
Huko tuendako Uganda watajiandikia historia yao na vita ya Uganda wataielezea dunia jinsi walivyoipiga Tanzania hadi wakaingia Dar es salaam. Huku Malawi na dunia wakitambua kuwa mpaka kati ya Tanzania na Malawi upo ufukweni mwa like ziwa upande wa Tanzania, Tanzania yenyewe inaamini na kufundisha kuwa mpaka wa nchi hizo upo katikati ya lile ziwa.
Huku Tanzania wakiliita ziwa Nyasa, Malawi na dunia yote wanaliita Ziwa Malawi.
**** wanaharakati/wapiganaji wa kidini, hawa kuna wanaowaita Magaidi , lakini kundini lingine linawaita mashahidi.
It's a free world, the world of multiple choices and comoosing essays. Amini utakacho, ishi uwezavyo.

ndg, naona unashabikia uzushi. Unaongelea Afrika ambayo haikuwa na Mipaka, kisha unataja nchi zilizopatikana na wazushi.
Sifahamu una lengo gani? Jaribu kujadili hoja ili tukuelewe. Hatuhitaji historia yetu iandikwe na kiumbe kilichokuja Jana.

FIKIRI KWANZA
 
Ulipaswa ufanye tafiti kwanza ndipo uje humu kutuabarisha. Na sio kuropoka tu.

Kwanza kitabu gani ama ni vitabu vipi umefisoma na kukujuza kuwa manabii na mitume walikuwa weupe?

Hakuna kiupe cheupe duniani. Hakuna Period. These are corrupted terms ambazo mmeaminishwa kwa kuwa wameua uwezo wenu wa kufikiri.

Tangu mwaka 342 Hadi leo, ulimwengu huu umegeuzwa geuzwa pale tu Mtu mweusi alipofanya makosa ya kuzaa na wanawake nje ya taifa lao. Weusi walitapaka dunia mzima na wakawatawala viumbe vyote. Makosa ni pale walipoamua kuzaa na wazungu.
Ili hali waliambiwa msioe wala kuoza kwa mataifa. WE MADE THAT MISTAKE. THATS WHY WE HAVE TO PAY FOR OUR DEEDS.

ELIMU tukawapa hawa watoto hali wajomba zao wakitulindia na kutufanyia kazi zote. Ikawaumiza sana hawa watoto. kwakuwa tuliwapa elimu na mamlaka ndani ya tawala zetu, wakawaelimisha wajomba zao na kufanya striking za mara kwa mara wakadeclare war tukashindwa.

Hapa sasa ndio chanzo za kupoteza kila milki na tukageuzwa kuwa wafungwa wa kivita ndio mwendelezo wa kizazi hiki kisicho na maarifa wala kumbukumbu soma ZABURI YA 83.

Hivyo Elimu nzuri na ya kweli ikaondoshwa ikatengenezwa ya uwongo na kurekebisha hata baadhi ya vitabu vya elimu ya maisha ya kiroho wakahadaa dunia yote na kubadili ama kuficha kabisa ushahidi uwe wa kimaandishi:
Rejea MUSA alipoambiwa na Mungu kuwa Weka mkono wako kifuani halafu toa. Mkono ulibadilika ukawa mweupe. Kumbe MUSA HAKUWA MWEUPE? SOMA UFUNUO WA YOHANA 1:12 UNAELEZA YESU ALIVYOKUWA.
MBONA MAKANISANI HAMFUNDISHWI YALIOPO NDANI YA VITABU HIVI?

DUNIA ILIPOANGUKIA MIKONONI MWA WAZUNGU NDIPO MANABII NA MITUNE WAKABADILIKA GHAFLA WAKAWA WEUPE: WHY?????

Leo wamebadili hata mchoro wao wa Yesu ambao mwanzo alikuwa Therapis mtoto wa Ptolomy. Na wemeweka kuwa Mweusi. WHY NOW????
Conscious Speaking, respect!
 
ndg, naona unashabikia uzushi. Unaongelea Afrika ambayo haikuwa na Mipaka, kisha unataja nchi zilizopatikana na wazushi.
Sifahamu una lengo gani? Jaribu kujadili hoja ili tukuelewe. Hatuhitaji historia yetu iandikwe na kiumbe kilichokuja Jana.

FIKIRI KWANZA
Ushabiki upo wapi hapo na uzushi ni upi?
 
sheikh...wewe umekuja lini ustaadh?

Hakuna mtu ndg yangu alie na rekodi ya mtu mweusi lini alikuwapo duniani. zinazotajwa kwa tarakimu ni hisia ama makisio tuu. Kila siku wanagundua mafuvu yetu. Wakipima kwa C 1+4=5, na sasa ni C1+6=7, Mliokariri Atomic structure hapa hamtaelewa kitu, bado wanakutana na fuvu la mtu mweusi lililopiku la mwanzo kwa umiaka wa uwepo wa hilo fuvu kwa vipimo hivyo.

Ukweli ni kwamba EVER SINCE LIFE EXISTED, WE EXISTED AND WE WERE THERE ALREADY WITH IT AND WITHIN IT. Now, HOW COMES THE JOURNEY CAME LATELY, watuandikie stories za uwepo wetu. Hatujaanza na Slavery wala Colonilization. Wao kila kukicha wanazunguka Ulimwengu, kutafuta stori zetu na bado hawajafahamu chanzo cha uwepo wetu.

"WE ARE DIVINE INTERPLANETARY (COSMIC) BEINGS"
 
Ushabiki upo wapi hapo na uzushi ni upi?

Ndg, uwepo wetu haukuanza na utumwa, ustawi wetu haukuanza na Ukoloni, Dunia yote tulishaitawala na kudesign ustaarabu wote. Iweje leo ujiambie kuwa huna haki yakujiandikia story ya uwepo wako na kuonyesha mchango wako
wa kuratibu na kuweka misingi yote ya ustaarabu wa dunia hii?

Unadhani nani atasimama kuukumbusha ulimwengu juu ya ubora na umuhimu wa uwepo wako? Mzungu kamwe hawezi kukusifia hadharani, maana lengo lake kukuona wewe unamnyenyekea yeyey kwamba wewe ni dhaifu kwake. Hivyo atafanya lolote kuuhadaa ulimwengu kwa vyombo vyake vya habari, mitaala yake dhaifu, ili uwe chini yake.

Mtu asie fahamu asili yake , Mila zake, Desturi yake na Utamaduni wake ni sawa na Mti bila Mizizi "Marcus Garvey"
 
Kuna hii kitu wanajamvi.
IMG_20160525_172617_642.jpg
IMG_20160608_135625_924.jpg
 
Man man unbelievable! Ali is very articulate and has huge sense of humour.
 
Ili hali waliambiwa msioe wala kuoza kwa mataifa. WE MADE THAT MISTAKE. THATS WHY WE HAVE TO PAY OUR DEEDS.

Hivi walioambiwa wasioe ama kuoza kwa mataifa walikuwa ni waafrica au waisrael?
 
Ili hali waliambiwa msioe wala kuoza kwa mataifa. WE MADE THAT MISTAKE. THATS WHY WE HAVE TO PAY OUR DEEDS.

Hivi walioambiwa wasioe ama kuoza kwa mataifa walikuwa ni waafrica au waisrael?

NDG, KUNA ELIMU NA MAARIFA MAKUBWA SANA NJE YA DARASA. KWAVILE MITAALA IMEWEKWA KIMKAKATI KWA LENGO LA KUWAPROGRAM WATU WASIWEZE KUFIKIRI NJE YA WANACHOKIELEWA KUTOKA KWENYE MITAALA.

HII ELIMU NJE YA MITAALA KUNA WATU WALIOBAHATIKA KUTOKA TUMBONI MWA MAMA ZAO. KWAMBA TANGU WAZALIWE WAMEKUWA WA DADISI SANA. KWA VILE MAKER-UP ZA DNA ZAO HUCHOCHEA UFAHAMU WA MAMBO MENGI SANA.

SASA NAPENDA NIKUJUZE HIVI: ISRAEL NI JINA LA YAKOBO. WATOTO WAKE 12 WALIKUJA KUITWA WAANA WA ISRAEL. HAWA WATOTO WAKAWA NI CHANZO ZA MAKABILA 12 YA ISRAEL (YAKOBO).

HAYA MAKABILA YALIJENGA FALME 2 PALE KANAANI. MAJANGA MENGI SANA YA KIVITA YALITOKEA KWA MDA TOFAUTITOFAUTI WAKAWA WANAKIMBIA MAENEO HAYO NA KUJIUNGA NA MAKABILA YA NDUGU ZAO WALIOKO AFRIKA.

VITA AMBAYO ILIWAPUKUTISHA SANA HAYA MAKABILA NI ILE YA WARUMI MWAKA 70 AD. AMBAYO YERUSALEM ILIWAKA MOTO. WENGI WAKAKIMBILIA AFRIKA. HIVYO NI NGUMU KUTENGANISHA WANA WA ISRAEL NA BANTUS.

USHUHUDA: UKISOMA ZABURI YA 83:3-28 INAELEZA WAZI KWANINI WAZUNGU WALIKUTANA BERLIN KUGAWANA MAENEO YA AFRIKA.

AFRIKA ILIKUUWA NA AINA YA JAMII 3 TU. JAMII YA KWANZA NI "WAFUGAJI", JAMII YA PILI NI "WAKULIMA" (BANTU) NA YA TATU NI "WAWINDAJI NA WAKUSANYAJI".
UKIDADISI NANI ALIEKAATHIRIKA NA UTUMWA NI WAKULIMA (BANTU from The word Ban-thuel = HOUSE OF ELOHIM). HIVYO EDOMITES (WAZUNGU NA WAARABU FAKE) WALIJUA KUWA BANTU PEOPLE ARE TRUE ISRAELITES. HIVYO WAKAKAA KWENYE MABARAZA WAKAJADILIANA NA KUSEMEZANA TWENDE TUKAIVUNJE NYUMBA YA MUNGU........ZABURI YA 83:3-21.

UKISOMA MATHAYO 24:15-21, YESU ANAELEZEA NINI KITAKACHOTOKEA KATIKA NCHI HIO YA KANAANI. NA ANAWAELEZA KUWA WALE WALIOKO YUDEA WAKIMBILIE MILIMANI (AFRIKA). NA WALE WALIOPO JUU YA DARI NA WASISHUKE. NA WALIPO MASHAMBANI WASIRUDI NYUMBANI NA WAKIMBIE. MAKABILA YOTE YAKATOKOMEZWA NA KUTOKOMEA AFRIKA.

HIVYO WANA WA ISRAEL NI BANTU SPEAKING PEOPLE. NA ILI KUJUA SISI NI HAOHAO WAISRAELI, HAOHAO MOORS, HAOHAO WA NUBI. HAOHAO NI KHAMIANS (KHEMETIC PEOPLE).

PIA KATIKA LUGHA ZA KIBANTU KUNA CODES ZA LUGHA YA KIEBRANIA. KAMA NENO BEN KONGO, ZAMBIS ( ZAMBIA, ZIMBA-BWE, ZA-NZIBAR, MO-ZAMBI-KI) YAHOUNDE- YAHUDI, SOUDAN-YUDAH, KIGALI, BUGANDA, UGANDA, KONGO, MEROE- MERU- MURO-PE, IBO-HEBREW, ASHANTI/ AHSANTE- ASHAN NI SMOKE-BURNING. AND MANY MORE.

WALIOPO SASA KATIKA ENEO LA KANAANI SII WAISRAEL NI WAISRAELIS ( FAKE, IMPOSTERS ISRAELITES) SOMA UFUNUO WA YOHANA. 2:9 OR 3:9. YESU ANAWATAMBULISHA KAMA NI SINAGOGI LA SHETANI.

INAENDELEA........
 
Back
Top Bottom