Nadhani pia alipaswa kujua mitume na manabii wote walikuwa weupe
Ulipaswa ufanye tafiti kwanza ndipo uje humu kutuabarisha. Na sio kuropoka tu.
Kwanza kitabu gani ama ni vitabu vipi umefisoma na kukujuza kuwa manabii na mitume walikuwa weupe?
Hakuna kipe cheupe duniani. Hakuna Period. These are corrupted terms ambazo mmeaminishwa kwa kuwa wameua uwezo wenu wa kufikiri.
Tangu mwaka 342 Hadi leo, ulimwengu huu umegeuzwa geuzwa pale tu Mtu mweusi alipofanya makosa ya kuzaa na wanawake nje ya taifa lao. Weusi walitapaka dunia mzima na wakawatawala viumbe vyote. Makosa ni pale walipoamua kuzaa na wazungu.
Ili hali waliambiwa msioe wala kuoza kwa mataifa. WE MADE THAT MISTAKE. THATS WHY WE HAVE TO PAY FOR OUR DEEDS.
ELIMU tukawapa hawa watoto hali wajomba zao wakitulindia na kutufanyia kazi zote. Ikawaumiza sana hawa watoto. kwakuwa tuliwapa elimu na mamlaka ndani ya tawala zetu, wakawaelimisha wajomba zao na kufanya striking za mara kwa mara wakadeclare warp tukashindwa.
Hapa sasa ndio chanzo za kupoteza kila milki na tukageuzwa kuwa wafungwa wa kivita ndio mwendelezo wa kizazi hiki kisicho na maarifa wala kumbukumbu soma ZABURI YA 83.
Hivyo Elimu nzuri na ya kweli ikaondoshwa ikatengenezwa ya uwongo na kurekebisha hata baadhi ya vitabu vya elimu ya maisha ya kiroho wakahadaa dunia yote na kubadili ama kuficha kabisa ushahidi uwe wa kimaandishi:
Rejea MUSA alipoambiwa na Mungu kuwa Weka mkono wako kifuani halafu toa. Mkono ulibadilika ukawa mweupe. Kumbe MUSA HAKUWA MWEUPE? SOMA UFUNUO WA YOHANA 1:12 UNAELEZA YESU ALIVYOKUWA.
MBONA MAKANISANI HAMFUNDISHWI YALIOPO NDANI YA VITABU HIVI?
DUNIA ILIPOANGUKIA MIKONONI MWA WAZUNGU NDIPO MANABII NA MITUNE WAKABADILIKA GHAFLA WAKAWA WEUPE: WHY?????
Leo wamebadili hata mchoro wao wa Yesu ambao mwanzo Ptolomy 1 Sotea alimframe SERAPIS katika Alexander Temple mwaka 304 - 284 BCE. Baadae Kanisa la Kikoptic liliadabt na kumfanya ndio YESU. Mwaka 1518 AD, PAPA ALEXANDER WA 6 alimuasign Michael Angello kumframe An illigitimate Son Cesare Borgia kuwa ndio YESU according to VATICAN PAPACY. Kumbuka katika karne ya 15 (1470-1570 AD) ndio wakati ambao Ulaya wanaanza kujitawala baada ya kuwapiga BLACK ISLAMIC MOORS ambao walitawala Ulaya kuanzia karne ya 7 hadi ya 15.
So kwa takribani miaka 800 ULAYA INAKALIWA KIUTAWALA NA WATU WEUSI. CASTLE ZOTE ZA ULAYA NA URUSI ZILIJENGWA KIPINDI HIKI NA WAZUNGU WALIKUWA WATUMWA(SLAVIC PEOPLE).
SASA KWAVILE UKWELI DAIMA HUWA UNATABIA YA KUJIDHIHIRISHA, WAMEAMUA SASA KUBADILI PICHA YA YESU AMBAYO WANASEMA NI MORE ACCURATE. NA PICHA ANAONEKANA MWEUSI. WHY NOW????