Wajuzi wa mambo, kuna huyu kocha mkongwe muargentina ninaemkubali sana anafahamika kama Marcelo Bielsa ambae kwasasa anafundisha pale Leeds Utd.
Navutiwa sana na style yake ya soka la pasi nyingi na kushambulia kwa kasi, nasikia hata Pep aliiba maufundi kwa huyu mwamba. Sasa ninachojiuliza kwanini timu kubwa hazihangaiki na huyu kocha?
Ukiangalia historia yake kafundisha vitimu vidogo kama Lille and the likes. Timu kama Man Utd inamng'ang'ania mmasai Ole Gunnar wakat Bielsa yupo, Barca mfumo wao unafanana na Bielsa lakin wapo na kocha alieshindwa timu mapema, Madrid nao ni kama hawamuoni wameangukia kwa Ancelotti, hata Arsenal nayo jamani ni kubwa kwa Bielsa!!? Sitaki kuamini labda kuna kitu nyuma ya pazia kuhusiana na huyu gwiji.
Kuna madhaifu gani kiufundi kwa huyu kocha? nakukumbuka lile pira lake lililowatoa jasho Spain kwenye world cup ya 2010 wakat huo akiwa kocha wa Chile, na Bilbao yake iliomsumbua mzee Fergie pale OT.
Kwa anaemfaham kiundani atudadavulie kuhusu huyu mwamba.
Navutiwa sana na style yake ya soka la pasi nyingi na kushambulia kwa kasi, nasikia hata Pep aliiba maufundi kwa huyu mwamba. Sasa ninachojiuliza kwanini timu kubwa hazihangaiki na huyu kocha?
Ukiangalia historia yake kafundisha vitimu vidogo kama Lille and the likes. Timu kama Man Utd inamng'ang'ania mmasai Ole Gunnar wakat Bielsa yupo, Barca mfumo wao unafanana na Bielsa lakin wapo na kocha alieshindwa timu mapema, Madrid nao ni kama hawamuoni wameangukia kwa Ancelotti, hata Arsenal nayo jamani ni kubwa kwa Bielsa!!? Sitaki kuamini labda kuna kitu nyuma ya pazia kuhusiana na huyu gwiji.
Kuna madhaifu gani kiufundi kwa huyu kocha? nakukumbuka lile pira lake lililowatoa jasho Spain kwenye world cup ya 2010 wakat huo akiwa kocha wa Chile, na Bilbao yake iliomsumbua mzee Fergie pale OT.
Kwa anaemfaham kiundani atudadavulie kuhusu huyu mwamba.