Duuuh,
Rutashubanyuma?
This is too low indeed from you Sir!
Mutula Kilonzo uwezo wake na upambanaji wake Hauna mashaka. Amewahi kushinda kesi kubwa kadhaa, nitazining'iniza hapa. Pia Sheria ya kenya inazuia Waziri yeyote kutinga mahakamani,katika kofia yake. Pia CORD walieleza wazi kuwa the Three Ministers (Namwamba, Orengo,and Kilonzo)will be providing Technical support to Oraro, Amos Wako& co, Hivyo nilichokuwa napinga ni kule wewe kusema ati Raila si chochote si lolote...???
Pili, lazima utambue Hii ni do or die, hivyo wanapaswa kujiandaa ili wakishusha mawe pale Supreme Court basi kama noma na iwe noma. Hivyo huwezi kukurupuka na kusema walipaswa wawe wame-file kesi hadi sasa, why? wacha wajiandae vema, kwani Uhuru na wenzi wake mna mchecheto gani? Nyie kuleni bata tu, but behold i tell you, mtaingia kwenye Vitabu vya Historia kwa A two week presidency.. !!
Hiyo habari ya ati wamefulia hawana uwezo wa kutoa 100M Times 6, ni majungu tuu na uzandiki.
Btw, kwanini kuweka ngumu kuaccess info za IEBC hadi uchukuliwe kiboko (court order)??? lol!