Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
- Thread starter
- #41
We ingia twitter pale kwenye search andik Ruto au Odinga itakuletea updates ambazo ni current kabisaNipe acc ya twitter mkuu naona citizen tv wanazingua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ingia twitter pale kwenye search andik Ruto au Odinga itakuletea updates ambazo ni current kabisaNipe acc ya twitter mkuu naona citizen tv wanazingua.
Tulibishana na watu humu kuhusu hili, ila nangoja kwanza final results.Unajua wakenya ni kama walishachoka na siasa za establishment... halafu kuna mambo ya hovyo amefanya Kenyatta.. kwahiyo Rutto ndo alikuwa anaonekana kama ni mtetezi wa wakenya ambaye hana background ya kutoka kwenye familia za wakubwa..
Jamaa is really a hustler.. na cha kushangaza central ya wakikuyu zaidi ya 80% wamempa kura... Kitu watu hawakutegemea
Tulibishana na watu humu kuhusu hili, ila nangoja kwanza final results.
Unajua watu walizoea siasa za kukariri... ila Kenya imebadilika sana... Siasa za ukikuyu na ujaluo zinaenda kupotea kabisa..Tulibishana na watu humu kuhusu hili, ila nangoja kwanza final results.
Unajua wakenya ni kama walishachoka na siasa za establishment... halafu kuna mambo ya hovyo amefanya Kenyatta.. kwahiyo Rutto ndo alikuwa anaonekana kama ni mtetezi wa wakenya ambaye hana background ya kutoka kwenye familia za wakubwa..
Jamaa is really a hustler.. na cha kushangaza central ya wakikuyu zaidi ya 80% wamempa kura... Kitu watu hawakutegemea
Siasa zina mambo mengi sana, inaweza kuwa hata bifu lake na Uhuru lilikuwa fake, Uhuru ajifanye kuwa hamsapoti ili matokeo yaonekane ni genuine, kama ni hivyo, basi hawa jamaa wana akili sana.Poa mkuu wangu.
Hayo matokeo yako ya Twitter ni ya mchongoUnajua watu walizoea siasa za kukariri... ila Kenya imebadilika sana... Siasa za ukikuyu na ujaluo zinaenda kupotea kabisa..
Tupe ya ukweli.Hayo matokeo yako ya Twitter ni ya mchongo
Matokeo yatakushangaza
Unajua wakenya ni kama walishachoka na siasa za establishment... halafu kuna mambo ya hovyo amefanya Kenyatta.. kwahiyo Rutto ndo alikuwa anaonekana kama ni mtetezi wa wakenya ambaye hana background ya kutoka kwenye familia za wakubwa..
Jamaa is really a hustler.. na cha kushangaza central ya wakikuyu zaidi ya 80% wamempa kura... Kitu watu hawakutegemea
Matokeo yatakushangaza
Very true,Kenyans wamesema hawataki State CaptureUnajua wakenya ni kama walishachoka na siasa za establishment... halafu kuna mambo ya hovyo amefanya Kenyatta.. kwahiyo Rutto ndo alikuwa anaonekana kama ni mtetezi wa wakenya ambaye hana background ya kutoka kwenye familia za wakubwa..
Jamaa is really a hustler.. na cha kushangaza central ya wakikuyu zaidi ya 80% wamempa kura... Kitu watu hawakutegemea
Absolutely.. jamaa anapaswa kufungua chuo cha siasa.. ameshinda system na deep state.. wameshindwa kuchakachuaMatokeo bado ila vyovyote itakavyokuwa. Ruto ni master wa siasa za Kenya.
Tallying zote zinasema Ruto kashinda.. ila wanajaribu kuleta fyoko fyokoVery true,Kenyans wamesema hawataki State Capture
Kipigo tayar mkuu maana tunavoongea.. chama cha Ruto UDA kina majority kwenye majimbo na senateKumpick Gachagua haikua bahati mbaya, hata aliposema yeye ndio alimwingiza uhuru madarakani alikua sawa, kwa gap linavoendelea, Baba strong hold zake zote kama kapigwa hivi ngoja tuone itakuaje
Bro... there is no estqblishment tena kenya... ndo kitu watu wamekataa kwenye huu uchaguzi.. ndo mana wamempa Ruto... tena central ya wakikuyu ndo wamempa kura nyingi William RuttoMe thinks,for hooks or clooks,Odinga will be sworn in as the 5th Kenya Prezoo,only because Ruto is not part of establishment,the Kikuyu business catel who captured the state organs since indepence,will never allow one who is not pro them to take state reign,their business,deals,connections,are at risk if Ruto becomes the next prezoo,but they will be safe if Odinga becomes,
And let's not be naive,state powers are not for every one,majority of establishment will always erect one of their own,rigardless of voting outcomes,Odinga is part of dynasty!!
Dynasties will always lead,remember USA erection btn Al gole and Bush!!!
Erection was twisted in order for Bush to win!!
And Kenyan,knows the danger of letting an "outsider"takes power,they learnt from Tanzania Maghufur,the bulldozer!!!
Yanaenda kutimia mkuu... uliona mbali pia kama mimiIla Ruto ndie rais ajaye wake ya. He is a presidential material. Na uhakika Ruto atashinda kwa kishindo believe me
Mkuu bado uko na hopes za baba kushinda???... Ruto ni mnoma.. ahahahhahaWewe siasa ya Kenya huielewi. Wacha tungoje 9th August tuone. Mimi ni Mkenya na sikubaliani na analysis yako.