Kenya 2022 Why Kenyatta chose the losing side? Or is it part of the plan to cancel Raila forever?

Kenya 2022 Why Kenyatta chose the losing side? Or is it part of the plan to cancel Raila forever?

Kenya 2022 General Election
Ndio maana ukaambiwa huelewi siasa za Kenya. So just keep your cool and watch things unfold
Ww ndio nilikuwa nakutafuta. Unajikuta unaelewa siasa za Kwenu. Aya ruto uyo anashinda. Kiko wapi. Aibu.
 
MATOKEO MBASHARA

Mara ya mwisho kusasishwa: 08/14/2022, 21:09:21 EAT

Matokeo yanayongojewa kutoka IEBC

WagombeaKura

50.9%

William RutoMuungano wa Kenya KwanzaKura:6,902,417Takribani 25% ya kura za Kaunti36/47

48.5%

Raila OdingaMuungano wa Azimio la UmojaKura:6,578,011Takribani 25% ya kura za Kaunti37/47

0.4%

George WahackoyahChama cha RootsKura:59,407Takribani 25% ya kura za Kaunti0/47

0.2%

David MwaureChama cha AganoKura:31,328Takribani 25% ya kura za Kaunti0/47

Tazama kidogo
 
Ww ndio nilikuwa nakutafuta. Unajikuta unaelewa siasa za Kwenu. Aya ruto uyo anashinda. Kiko wapi. Aibu.
Jamaa alikuwa anajifanya mjuaji eti kisa mkenya ana support Odinga... akaona sie tusio wakenya tunaoona Ruto akishinda kwamba hatuelewi mambo.... kiko wapi sasa.... hahahahahaaa
 
I still maintain...watch as things unfold
Haki it is not fair, another 20 years in the wilderness for the children of lesser god. Scok is the last glimmer of hope to save Kenya. Mungu wabariki majirani.
 
Chief Justice wa Kenya Martha K Koome kuamua mbivu na mbichi uchaguzi wa Kenya.
1660924344382.png
 
Election was fair.. baba astaafu tu atulie ale pension
 
Back
Top Bottom