Naona wasaidizi wa Chebukati mpo hapa JF.Tunaombeni sasa real update za IEBC ili tuanze kusherehekea ushindi wa RutoAbsolutely.. jamaa anapaswa kufungua chuo cha siasa.. ameshinda system na deep state.. wameshindwa kuchakachua
Why such a case?Trust me, The deep state wants Raila, not Ruto
Jaluo alikataa mdaharo na Ruto kinachonifurahisha kwa Ruto hajafikia hatua ya kupiga pushup kama yule marehemu wa Taifaruto,huyu jamaa ni smart sana imagine raila alikataa debate nae alijua
You are reading it out of context, otherwise you could just see it as a typing error!Erection?! Mbona unaandika matusi ndugu?
[emoji23][emoji23][emoji23]Kenya's biggest issue is Corruption and the corrupt are not going anywhere.
usijali mkuu.. kesho haitaishaNaona wasaidizi wa Chebukati mpo hapa JF.Tunaombeni sasa real update za IEBC ili tuanze kusherehekea ushindi wa Ruto
Kijamaa kilikuwa kinajikuta kinajua sana siasa za kwao. Kitasandalets wait and see...
Ww ndio nilikuwa nakutafuta. Unajikuta unaelewa siasa za Kwenu. Aya ruto uyo anashinda. Kiko wapi. Aibu.Ndio maana ukaambiwa huelewi siasa za Kenya. So just keep your cool and watch things unfold
Jamaa alikuwa anajifanya mjuaji eti kisa mkenya ana support Odinga... akaona sie tusio wakenya tunaoona Ruto akishinda kwamba hatuelewi mambo.... kiko wapi sasa.... hahahahahaaaWw ndio nilikuwa nakutafuta. Unajikuta unaelewa siasa za Kwenu. Aya ruto uyo anashinda. Kiko wapi. Aibu.
Deep state ya kwio kwio ... ahahahahahaTrust me, The deep state wants Raila, not Ruto
What about now?Wewe siasa ya Kenya huielewi. Wacha tungoje 9th August tuone. Mimi ni Mkenya na sikubaliani na analysis yako.
Mkuu ameangukiwa na kitu kizito.What about now?
May be!You are reading it out of context, otherwise you could just see it as a typing error!
I still maintain...watch as things unfoldWw ndio nilikuwa nakutafuta. Unajikuta unaelewa siasa za Kwenu. Aya ruto uyo anashinda. Kiko wapi. Aibu.
Haki it is not fair, another 20 years in the wilderness for the children of lesser god. Scok is the last glimmer of hope to save Kenya. Mungu wabariki majirani.I still maintain...watch as things unfold