Waheshimiwa viongozi salaam. Mimi na timu yangu ya kampeni tuko Kilimanjaro International Airport tangu saa nne asubuhi. Tulikuja kuweka mafuta kwenye chopper yetu ili tuweze kwenda Dar kwa ajili ya mkutano wetu wa kufunga kampe ni unaotakiwa kuanzia Kawe saa tisa mchana.
Hata hivyo tumeshindwa kuondoka KIA kwa sababu hatujapatiwa kibali cha kutua Dar na Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA).
Huu ndio umekuwa utamaduni wa TCAA katika kampeni hizi tangu tuanze kutumia chopper. Wanatumiwa na CCM ili kuhujumu kampeni zetu na ndivyo walivyofanya wiki iliyopita Lindi na Mtwara.
Sasa itatulazimu tuondoke KIA kuelekea Dar bila kibali cha TCAA; wafanye lolote wanalotaka kufanya. Mimi na wenzangu hatutakubali kunyanyaswa namna hii tena. Dar jiandaeni, tuko njiani tunakuja!!!
Reports of police abductions of opposition candidates and polling agents on the day of elections may lead to election related violence and afande Sirro name will top the list of ICC criminal suspects
We now project IGP Sirro will be indicted by the ICC for election related criminal acts in case they happen that led to election violence costing human lives...pray for peace!
We are aware of the reports of Heche constituency of police abductions of opposition polling agents confirming our worst fears CCM is determined to infiltrate fake votes and tender doctored polling station forms to massively rig this election which we had projected CCM path to retain power was through massive rigging in the hands of both the police state and the CCM NEC
We are also aware of the news of arrest of the immediate MP for Kawe constituency Halima Mdee after she had busted CCM plot to stack the ballot boxes with more than 10k fake votes cast for CCM
Based on these crucial reports it looks Heche will be rigged out as without the opposition polling agents to protect their votes the integrity of that elections is reproachable
Based on these reports, looks Hon.Mdee the immediate MP has been disabled by the police from carrying out her constitutional duty of voting and ensuring her votes are well protected according to law
We had already projected this is the darkest day in our history as CCM now rejected by the electorate is now seeking to stay in power by criminal deeds which cannot be accepted