Why Magufuli administration misses the point on Government splurge

Why Magufuli administration misses the point on Government splurge

Status
Not open for further replies.


Can doctors and nurses improve by reading CCM manifesto... will they learn new operational tricks or will health centres hospitals and dispensaries be well stocked with medicines, food and testing gadgets they badly need


Something very wrong with CCM must add
 
Tundu Lissu achambua mifuko ya Jamii na fao la kujitoa, CCM jibuni hoja hizi

Na: Mh Tundu Lissu

Pesa za mifuko ya hifadhi ya jamii hazitajenga kiwanda chochote. Ni siasa tu. Pesa za mifuko ya hifadhi ya umma sio pesa za serikali, ni pesa za wafanyakazi. Zinatokana na makato yao ya mishahara. Serikali imekuwa inatumia pesa hizi kama zake, wakati sio zake.

Pesa hizo zimetumika kujenga UDOM kwa makubaliano kwamba serikali hii ingerudisha pesa hizo kwa mifuko hiyo. Haijarudisha hata senti moja. Pesa hizo zimejenga jengo la Usalama wa Taifa OysterBay Dar. Serikali haijarudisha hata senti moja kwa mifuko ilikochota pesa hizo. Pesa za mifuko zimejenga jengo la Machinga Complex Ilala Dar na nyumba za polisi Kurasini Dar. Serikali haijarudisha hata senti moja.

Ndizo zilizojenga Daraja la Mwalimu Nyerere Kigamboni. You can rest assured haitarudi hata senti moja. Ukweli, kama alivyosema CAG kwenye mojawapo ya taarifa zake za mwaka, mifuko ya hifadhi ya jamii ina hali mbaya ya kifedha. Hii ndio sababu wenye mamlaka wanataka kuondoa fao la kujitoa. Wameigeuza mifuko ya hifadhi ya jamii kuwa shamba la bibi mpaka mifuko inakaribia kufilisika

Sasa wanataka kuficha uchafu huu kwa blangeti la uzalendo uchwara. Wafanyakazi wa Tanzania wakikubali udanganyifu huu wataliwa kama ambavyo pesa zao zimeliwa kwenye miradi niliyoitaja. Suala sio tuache siasa. Hatuwezi kuacha siasa. Suala ni tuache siasa za aina gani. Hawa wanasiasa wanaojivika uzalendo uchwara kuhusu hela za wafanyakazi wao wenyewe wametengenezewa utaratibu maalum ambapo wanakatwa na NSSF halafu baada ya kumaliza ubunge wanarudishiwa pesa zao.

Hawasubiri wafikishe miaka sitini ndipo wapate mafao yao ya kujitoa. Halafu wanawahubiria wafanyakazi wasubiri miaka sitini ndipo wapate mafao yao. Wana ndimi mbili kama za nyoka. Wafanyakazi wa Tanzania amkeni, hamna chochote cha kupoteza isipokuwa minyororo yenu.
 
Amina
PSX_20201206_070853.jpg
 
Na Mhashamu Baba Askofu Bagonza.

UZOEFU TOKA ARGENTINA

Wiki hii tumepokea ripoti tatu zinazofanana. Kwanza, iliyokuwa hotel maarufu ya Grudoto kubadilishiwa matumizi na kuwa bweni la chuo katikati ya kampeini za kitaifa kuboresha utalii. Kama tujuavyo, utalii unahitaji hotel nzuri. Pili, mgogoro kati ya kiwanda cha Dangote na benki ya RSK unaotishia kufunga kiwanda hicho muhimu katikati ya uhaba mkubwa wa saruji nchini. Tatu, tangazo la kufungwa kwa kampuni ya New Habari Corporation kutokana na kushuka sana kwa mauzo ya habari. Kama ni kweli, hili ni pigo kwa soko la ajira rasmi na isiyo rasmi katikati ya kilio kikubwa cha ajira nchini.

Siku za karibuni nilitembelea jiji kubwa la Buenos Aires huko Argentina. Niliweka kambi hotel kubwa iitwayo Gradiose Hotel. Ina vitanda zaidi ya 600.

Dakika chache baada ya kuingia chumbani, alikuja Meneja Mkuu na kuomba kuongea nami kwa dakika chache. Aliniambia yafuatayo:

1. Mwenye hotel aliamua kuuza hotel na kuacha biashara kwa sababu ilikuwa inatengeneza hasara.

2. Wafanyakazi wapatao 300 pamoja na watoa huduma kwa hotel (suppliers) waliungana na kufungua kesi kumzuia mwenye hotel kuiuza.

3. Walishinda kesi lakini kwa masharti kuwa wamlipe mwenye hotel fedha anazohitaji kila mwezi.

4. Wafanyakazi na watoa huduma walikutana na mwenye hotel na kukubaliana wao kuendesha hotel na kumlipa kiasi walichokubaliana kila mwezi.

5. Wafanyakazi walikutana na kukubaliana kupunguza mishahara yao na kufanya kazi kwa bidii kuhakikisha wanabaki kwenye ajira (bora kupata kidogo lakini uwe kazini).

Baada ya kunieleza hayo akaniomba mambo matatu:

1. Kuzima taa kila ninapotoka nje ya chumba.

2. Kubadili taulo na mashuka kila baada ya siku moja badala ya kila siku.

3. Kufunga maji wakati wa kujipaka sabuni ninapooga na ya kuyafungulia ninapoyahitaji tu.

Alisema nikifanya hivyo nitaokoa fedha na ajira za watu. NILIKUBALI akaondoka.

Tunajifunza nini?

Kila mtu afikiri na kutafuta majawabu. Kufunga kiwanda, kufunga hotel, shule, chuo, kiwanda nk si kumkomoa mmiliki. Wamiliki walio wengi tayari wana hela ya kula, nyumba za kuishi, matibabu, na watoto wao wanasoma. Anayeumia ni serikali anayelazimika kushughulika na wahanga wa kufungwa kwa taasisi hizo. Hata wamiliki wakipelekwa jela, itaongeza ajira ya maaskari magereza na order yangu bunduki na risasi za ziada.

Mkweli kwa Mungu na Taifa langu.
 
Act Wazalendo now officially distances themselves from rigged elections as they accept a piece of bread from stolen waters...Next election they will be given another 10% just to aid CCM continue to be in good books of the imperialists
129650115_954719031603444_2769149480955290475_n.jpg
 
In 2025 election, CCM will maintain 10% vote for ACT-Wazalendo in Zenj just sufficient to form an illegitimate government of national unity which will entice donor community to continue subsidizing wanton incompetence
 
We also project Maalim Seif in his entire life will never lead the opposition to power because he loves bribes and gifts [emoji320] and he has a very low price...since now CCM knows his price they will use him to rule Zenj without mandate to do so...
 
Both of the two cases, the casualties wanted to twist the arm of the cabinet appointer... that they are indispensable little did they know their political grottos are in the sunset and no ministerial appointment was even in the pipeline
 
The two losers burnt plenty of cash hoping to resuscitate dead political careers only to find themselves stuck where they were before elections...they could have slept without defiling their bodies and still cakewalk with stolen waters
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom