Why Magufuli has a shot on wooing Uganda to join his SGR

Why Magufuli has a shot on wooing Uganda to join his SGR

Eh, kweli CCM iliwakoroga vibaya sana na hizi propaganda za Ujamaa, yani point inakukodolea macho lakini bado hauoni kitu.
Hio table unayoona hapo inadhirisha kwamba propaganda za CCM eti kwamba wazungu ndo waliachia kenya uchumi nu uongo mtupu manake miaka mitano baada ya kupata madaraka uchumi zetu zilikua sawa!

Kwahivyo Tanzania haina sababu yoyote ya kupeana kwanini uchumi wao ulidorora.

Kama ni Kukomboa nchi za Africa Naigeria,Algeria,Ethiopia,ghana zilifanya mengi zaidi ya Tz kukomboa Africa, leo hii Tanzania ndo iko nyuma pekee, kwahivyo hako kasababu tupilia mbali, kuna nchi kama Algeria na morroko au Egypt na Isreal zimekua na vita vikali tena vya kutisha lakini leo hii Uchumi wao unapaa.
Kwahivyo hizo sababu za watu wavivu usituletee kabisa
Mimi ninazungumzia Kenya na Tanzania, achana na nchi zingine, usikimbie mada. Kwanza kwa Africa hakuna nchi inayoifikia Tanzania japo nusu katika harakati za ukombozi wa kusini mwa Africa, wakati hizo nchi zingine zilikua zinatoa misaada ya pesa na mafunzo, Tanzania ilikuwa inawahifadhi, inawafundisha, inawapa silaha na inapigana nao bega kwa bega, hizo nchi zote zilizoshiriki mbona ninyi mliokataa kutoa hata shilingi moja kwanini zimewapita tena kwa mbali, japo sisi tunasababu ya kujitetea ninyi mnalipi la kusema?
Toa mifano ili tuweze kuchangia, inawezekana una hoja nzuri, I can see it far.

The problem is obvious.. we are greedy and shortsighted..

We are building all these projects for legacy instead of interests of citizens of East Africa.

If only we were cooperating rather than competing.. imagine what we could do together.

That's because am not a kid and I read between the lines. We all know what this is about and I answer the whole question and laid everything out so that you don't have to bother to ask the next question. So the Tanzania-ug business connection might not have been in your comment but the insinuation of the same was all over it.
If not so then why would you have bothered to say that Ug was not comfortable with chinies loan conditions and that they might opt for competitive bidding like tz... What was the point of saying that? I

There are many uncertain things, but one thing is for sure, that come rain come sunshine Uganda will build a rail connecting to the sea . So if Tanzania is not to be included in the discussion then there is really no point in saying all those things you have said, coz whether they do competitive bidding,take a loan,pay it themselves at the end of the day, a rail will be built to the coast and if the only coast up for discussion is in Kenya, then that will be Mombasa!
 
Mimi ninazungumzia Kenya na Tanzania, achana na nchi zingine, usikimbie mada. Kwanza kwa Africa hakuna nchi inayoifikia Tanzania japo nusu katika harakati za ukombozi wa kusini mwa Africa, wakati hizo nchi zingine zilikua zinatoa misaada ya pesa na mafunzo, Tanzania ilikuwa inawahifadhi, inawafundisha, inawapa silaha na inapigana nao bega kwa bega, hizo nchi zote zilizoshiriki mbona ninyi mliokataa kutoa hata shilingi moja kwanini zimewapita tena kwa mbali, japo sisi tunasababu ya kujitetea ninyi mnalipi la kusema?
He, sifa za kukomboa nchi hua unapewa na mtu mwengine, haujipei mwenyewe, Naigeria ndio inajulikana zaidi kwa kukomboa nchi za Africa, haswa nchi za southern Africa, kwa mfano nigeria iliipatia Black south Africa $61Billion! Tena Naigeria ndo iliongoza campaign duniani kumaliza uonvozi wa apartheid. Ukiangalia upande wa namibia, angola, Cuba ndo ilimwaga damu zaidi wakitumia vifaru,meli,ndege...

Alafu wewe unadai eti kuwalisha na kuwavisha na kuwapatia vi AK-47 watu wa sadc ndo kulifanya uchumi wenu kuzorota, hahahahaha
 
Umekosa hoja. Mwanzo enda ukasome hoja na hotuba za tundu lisu alafu ndo uje tuongee hoja za Raila na ndii ambaye ni chief strategist wa NASA coalition.

Sababu za uchumi wa kenya kutokua kwa kasi zaidi tangu zamani ziko nyingi tena tele, mifano ya ukame na vita nishakutolea, kuna wakati flani kwa miaka kumi mfululizo uchumi ilikua onakua btn 0.3% to 1%.... Kila nchi imekumbwa na matatizo lakini Kenya bado inaongoza kwasababu ya bidii, uvivu mwingi ndo unasumbua tz
Tunapojadili hoja, uache kuingiza mambo ya kijinga, CCM inaingiaje hapa, vyama mbona hata ninyi mnavyo mbona mimi sitaji Jubilee au NASA japo ninajua ninyi mna uvyama zaidi kuliko huku, sema vimefunikwa na ukabila, mbona nimemtaja Prof. Lumumba lakini wewe hukumtaja au kwa sababu aliwakilisha Jubilee?

Kuhusu wazungu kuiendeleza Kenya zaidi ya Uganda na Tanzania, hilo halina ubishi, ukitaka kujua hilo, wewe jiulize, wakati wa Uhuru Tanzania haikuwa na chuo Kikuu hata kimoja, Kenya mlikuwa navyo, Tanzaniahaikuwa na uwanja wa ndege, tulikuwa na air strip tu, Kenya mlikuwa na Embakasi airport, Tanzania ilikuwa na engineer mmoja tu, na madaktari watatu tu, ninyi mlikua nao wengi tu, hatukuwa na Kiwanda hata Kimoja, vitu karibu vyote vilitoka Kenya
 
He, sifa za kukomboa nchi hua unapewa na mtu mwengine, haujipei mwenyewe, Naigeria ndio inajulikana zaidi kwa kukomboa nchi za Africa, haswa nchi za southern Africa, kwa mfano nigeria iliipatia Black south Africa $61Billion!
Alafu wewe unadai eti kuwalisha na kuwavisha na kuwapatia vi AK-47 ndo kulifanya uchumi wenu kuzorota, hahahahaha
Kwahiyo kati ya Kenya ambayo imepeleka majeshi yake Somalia wapo huko wanauliwa na Alshabaab, pia imetoa hifadhi kwa malaki ya wakimbizi toka Somalia, na Ujerumani inayotuma pesa kusaidia vita dhidi ya alshabaab, nani anayebeba mzigo wa vita hivyo?,
 
Tunapojadili hoja, uache kuingiza mambo ya kijinga, CCM inaingiaje hapa, vyama mbona hata ninyi mnavyo mbona mimi sitaji Jubilee au NASA japo ninajua ninyi mna uvyama zaidi kuliko huku, sema vimefunikwa na ukabila, mbona nimemtaja Prof. Lumumba lakini wewe hukumtaja au kwa sababu aliwakilisha Jubilee?

Kuhusu wazungu kuiendeleza Kenya zaidi ya Uganda na Tanzania, hilo halina ubishi, ukitaka kujua hilo, wewe jiulize, wakati wa Uhuru Tanzania haikuwa na chuo Kikuu hata kimoja, Kenya mlikuwa navyo, Tanzaniahaikuwa na uwanja wa ndege, tulikuwa na air strip tu, Kenya mlikuwa na Embakasi airport, Tanzania ilikuwa na engineer mmoja tu, na madaktari watatu tu, ninyi mlikua nao wengi tu, hatukuwa na Kiwanda hata Kimoja, vitu karibu vyote vilitoka Kenya
Nimesema mimi mapropaganda ccm wakiwachiwa waeleze historia watachukua mda wote wakijaribu kudanganya toto eti walikua disadvantaged
wp_ss_20171123_0001.png
 
Nimesema mimi mapropaganda ccm wakiwachiwa waeleze historia watachukua mda wote wakijaribu kudanganya toto eti walikua disadvantaged
View attachment 636208
Wewe kichwa chako kimejaa ukabila usiokwisha, ukikuyu utakumaliza, kitu gani hapa usichoelewa kwamba kabla ya Uhuru hapakuwa na University, ilianzishwa mwaka 1961 ambao ndiyo mwaka tuliopata Uhuru, tena kilikuwa ni chuo tu affiliated, sio full University, tofauti na University ya Nairobi na Makerere zilizoanzishwa miaka ya 1920s na 50s, punguza ukabila utakuwa na akili timamu
 
He, sifa za kukomboa nchi hua unapewa na mtu mwengine, haujipei mwenyewe, Naigeria ndio inajulikana zaidi kwa kukomboa nchi za Africa, haswa nchi za southern Africa, kwa mfano nigeria iliipatia Black south Africa $61Billion! Tena Naigeria ndo iliongoza campaign duniani kumaliza uonvozi wa apartheid. Ukiangalia upande wa namibia, angola, Cuba ndo ilimwaga damu zaidi wakitumia vifaru,meli,ndege...

Alafu wewe unadai eti kuwalisha na kuwavisha na kuwapatia vi AK-47 watu wa sadc ndo kulifanya uchumi wenu kuzorota, hahahahaha
Ati $61 bln? Unaumwa wewe! Which Nigeria? Fool Bring evidence !
 
He, sifa za kukomboa nchi hua unapewa na mtu mwengine, haujipei mwenyewe, Naigeria ndio inajulikana zaidi kwa kukomboa nchi za Africa, haswa nchi za southern Africa, kwa mfano nigeria iliipatia Black south Africa $61Billion! Tena Naigeria ndo iliongoza campaign duniani kumaliza uonvozi wa apartheid. Ukiangalia upande wa namibia, angola, Cuba ndo ilimwaga damu zaidi wakitumia vifaru,meli,ndege...

Alafu wewe unadai eti kuwalisha na kuwavisha na kuwapatia vi AK-47 watu wa sadc ndo kulifanya uchumi wenu kuzorota, hahahahaha

huo ni uongo uliotukuka. eti Nigeria ilitoa US$ 61bn by then. do you know what was the GDP of sub Sahara Africa combined?? dude bring the facts and not makolochocho.
 
huo ni uongo uliotukuka. eti Nigeria ilitoa US$ 61bn by then. do you know what was the GDP of sub Sahara Africa combined?? dude bring the facts and not makolochocho.
Labda ilitoa kwa Kenya ku-fight hunger! Nchi zilizosaidia South Africa kupiga na na Makaburu zinajulikana Tanzania, Zambia, Algeria, Cuba na Uganda mwishoni. Hata Mandela na ANC wana-acknowledge. Huyu mbwa sijui anapata wapi hivi vitu ana-post humu.
 
Labda ilitoa kwa Kenya ku-fight hunger! Nchi zilizosaidia South Africa kupiga na na Makaburu zinajulikana Tanzania, Zambia, Algeria, Cuba na Uganda mwishoni. Hata Mandela na ANC wana-acknowledge. Huyu mbwa sijui anapata wapi hivi vitu ana-post humu.
Anafahamu kila kitu, kitu kinachomsumbua ni wivu juu ya Tanzania kupata sifa kama kinara wa ukombozi wa Afrika na Kenya kushutumiwa kwa kuwa msaliti wa waafrika kwa kushirikiana na wakoloni.

Wakati watanzania wanapoteza maisha kwa kutetea heshima na utu wa waafrika duniani, wakenya walikuwa wanabeba mabegi na kusafisha viatu vya wazungu, sasa hivi wanataka eti Amina Mohamed aongoze AU, nani asiyewajua wasaliti wakubwa hao?
 
Wewe kichwa chako kimejaa ukabila usiokwisha, ukikuyu utakumaliza, kitu gani hapa usichoelewa kwamba kabla ya Uhuru hapakuwa na University, ilianzishwa mwaka 1961 ambao ndiyo mwaka tuliopata Uhuru, tena kilikuwa ni chuo tu affiliated, sio full University, tofauti na University ya Nairobi na Makerere zilizoanzishwa miaka ya 1920s na 50s, punguza ukabila utakuwa na akili timamu
Mi mimi si mkikuyu. But it doesn't matter. Unaendelea kutoa sababu za watu wavivu... Hata UoN pia haikuwa full university hadi 1970!

wp_ss_20171124_0001.png
 
Mi mimi si mkikuyu. But it doesn't matter. Unaendelea kutoa sababu za watu wavivu... Hata UoN pia haikuwa full university hadi 1970!

View attachment 636957
Tunalozungumzia ni kwamba hapakujengwa chuo chochote cha elimu ya juu kama huko kwenu, mbona hayo mengine huyazungumzi kutokuwepo na wataalamu wengi kama kwenu kabla ya uhuru?
 
Tunalozungumzia ni kwamba hapakujengwa chuo chochote cha elimu ya juu kama huko kwenu, mbona hayo mengine huyazungumzi kutokuwepo na wataalamu wengi kama kwenu kabla ya uhuru?
Chunguza vizuri, utagundua 90% ya hao wataalam hawakusomea kenya kama first degree. Enzi zile tulituma wakenya wengi sana nchi za nje mbalimbali wakapate utaalamu ili ile siku tutapata Uhuru basi wataalam afrika watakua na uwezo
 
Chunguza vizuri, utagundua 90% ya hao wataalam hawakusomea kenya kama first degree. Enzi zile tulituma wakenya wengi sana nchi za nje mbalimbali
Nchi za Africa hazikuwa na vyuo vikuu vya kutoa degree kwasababu wazungu hawakuhitaji waafrika wengi wasome kufikia huko, hivyo huku Afrika walijenga vyuo vya level ya Diploma, kwa level ya diploma huku tuliita University, sasa ninyi Kenya mlijengewa vyuo hivyo vya diploma kwa hiyo mlikuwa na wasomi wengi ambao walipata sifa ya kupelekwa Ulaya na Marekani kupata degree, huku Tanzania wazungu hawakujenga hata chuo kimoja cha level ya diploma kama walivyofanya huko Kenya, matokeo yake hatukuwa na watu wenye sifa ya kwenda kusomea degree nje ya nchi, hilo ndilo ninataka ufahamu
 
Nchi za Africa hazikuwa na vyuo vikuu vya kutoa degree kwasababu wazungu hawakuhitaji waafrika wengi wasome kufikia huko, hivyo huku Afrika walijenga vyuo vya level ya Diploma, kwa level ya diploma huku tuliita University, sasa ninyi Kenya mlijengewa vyuo hivyo vya diploma kwa hiyo mlikuwa na wasomi wengi ambao walipata sifa ya kupelekwa Ulaya na Marekani kupata degree, huku Tanzania wazungu hawakujenga hata chuo kimoja cha level ya diploma kama walivyofanya huko Kenya, matokeo yake hatukuwa na watu wenye sifa ya kwenda kusomea degree nje ya nchi, hilo ndilo ninataka ufahamu
Wapi! Nimeshakuonyesha Udm ilikua same level na Uon, zote zilikuwa college. Bado una insist eti hamkua na chuo chochote.
Literacy rate at independence ilikua less than 10%, today it's above 86%, wakati Tz iko 72% miaka hamina baadae na bado unamlaumu mzungu kwa hitilafu zenu, SMH
 
Wapi! Nimeshakuonyesha Udm ilikua same level na Uon, zote zilikuwa college. Bado una insist eti hamkua na chuo chochote,
Udsm ilijengwa 1961, mwaka tuliopata uhuru wa Tanganyika, kundi la kwanza kuhitimu ni 1962/63, hawa ni matokeo ya Tanganyika sio wakoloni, University of Nairobi ilijengwa mwaka 1956, kundi la kwanza ilikuwa 1957/58, by the time Kenya inapata Uhuru wake mwaka 1963, wasomi wengi walishazalishwa na UoN kutokana na wakoloni, hivyo Kenya iliridhi wasomi wengi toka kwa mkoloni kuizidi Tanzania kwa mbali sana, ninadhani sasa hivi umenielewa vizuri zaidi
 
Wapi! Nimeshakuonyesha Udm ilikua same level na Uon, zote zilikuwa college. Bado una insist eti hamkua na chuo chochote.
Literacy rate at independence ilikua less than 10%, today it's above 86%, wakati Tz iko 72% miaka hamina baadae na bado unamlaumu mzungu kwa hitilafu zenu, SMH
Acha kuzungumzia literace rate, jiulize kwanini Tanzania ina more specialized Hospitals kuliko Kenya, leo hii wakati nchi zote za East Africa zinatumia gharama kubwa kuwapeleka viongozi na wananchi wao nje ya nchi kwa ajili ya specialized medical care, ni Tanzania pekee ambayo ina Hospitali ya magonjwa ya moyo yenye vifaa vya kisasa na wataalamu wa hali ya juu.
 
Back
Top Bottom