Why Muslims fear Islamic Sharia and run away from their own countries?

Why Muslims fear Islamic Sharia and run away from their own countries?

wewe kama unataka kumwaga marinda yako sema...mbona wa kuyatatua wapo wengi.
Achana na story za mimi au wewe hazina faida,,,turudi kwenye mada ya story za mtume wetu mohammad, marinda alikuwa nayo kweli?
Tumekusikia sasa jibu swali


Hivi bado unatafuta mtu akumwagie marinda humu jf?
 
Mbongo, Tz, katika ubora wake na ID mpya. Chupa ni mpya Mvinyo ni ile ile.
Nchi zinazo lazimisha wananchi wake kufuata sharia za kiislamu hazikaliki, zinakiuka haki za binadamu.
Hivyo raia wa nchi hizo wanakimbilia ktk nchi zinazoheshimu haki za binadamu.
Karibuni kwa Yesu Kristo maana Yeye alisema

Mathayo 11:28
Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.

{baadhi ya mizigo ni Sharia za Kiislam}

Mathayo 11:29
Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu;
Mathayo 11:30
kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.

{Amri za Yesu Kristo ni nyepesi kuzifuata 1. Mpende Mungu, 2.Mpende jirani, hata akiwa shoga na sio kumchinja kama Sharia inavyopendekeza}

Mathayo 5:43
Mmesikia kwamba imenenwa, Umpende jirani yako, na, Umchukie adui yako;
Mathayo 5:44
lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,
Mathayo 5:45
ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.

Marko 12:30
nawe mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote, na kwa nguvu zako zote.
Marko 12:31
Na ya pili ndiyo hii, Mpende jirani yako kama nafsi yako. Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi.

{Mwenye macho ameona, Mwenye masikio amesikia}
 
Mbongo, Tz, katika ubora wake na ID mpya. Chupa ni mpya Mvinyo ni ile ile.
Nchi zinazo lazimisha wananchi wake kufuata sharia za kiislamu hazikaliki, zinakiuka haki za binadamu.
Hivyo raia wa nchi hizo wanakimbilia ktk nchi zinazoheshimu haki za binadamu.
Karibuni kwa Yesu Kristo maana Yeye alisema

Mathayo 11:28
Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.

{baadhi ya mizigo ni Sharia za Kiislam}

Mathayo 11:29
Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu;
Mathayo 11:30
kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.

{Amri za Yesu Kristo ni nyepesi kuzifuata 1. Mpende Mungu, 2.Mpende jirani, hata akiwa shoga na sio kumchinja kama Sharia inavyopendekeza}

Mathayo 5:43
Mmesikia kwamba imenenwa, Umpende jirani yako, na, Umchukie adui yako;
Mathayo 5:44
lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,
Mathayo 5:45
ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.

Marko 12:30
nawe mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote, na kwa nguvu zako zote.
Marko 12:31
Na ya pili ndiyo hii, Mpende jirani yako kama nafsi yako. Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi.

{Mwenye macho ameona, Mwenye masikio amesikia}
Anayeongea kwenye hizo aya ulizoleta ni Nani?
 
Mathayo na Marko.
umepatia kabisa
sawa sawa.

Zawadi yako ya kirisimaaasi in advance pokea hii

Anaajiyl

Aramai ilikuwa ndio lugha iliyokuwa ikitumiwa na Mayahudi huko Palestina. Kwa hiyo, inaaminika kuwa Yesu na wanafunzi wake walizungumza na kufundisha kwa Kiaramai.

“Simulizi za kwanza ya mdomo za matendo ya Yesu na kauli zake bila shaka zilisambaa kwa Kiaramai.

Hata hivyo, Injili nne ziliandikwa kwa ukamilifu wake kwa maneno mengine, Kiyunani ya kawaida, lugha iliyokuwa ikitumika katika dunia ya Kistaarabu ya Mediterania, ili kutumikia wengi katika Kanisa, ambayo ilikuwa ni ya Kiyunani (wenye kuzungumza Kigriki) badala ya Kipalestina.

Mabaki ya Kiaramai yalikuwepo katika Anaajiyl za Kiyunani.

Kwa mfano, katika Marko 5: 41, “Kisha akamshika mkono, akamwambia, ‘Tal’itha cu’mi’, maana yake, ‘Msichana mdogo, nakuambia amka’”.

Pia Marko 15: 34: “Saa tisa alasiri Yesu akalia kwa sauti kubwa, ‘Eloi, Eloi, lama sabachthani?’ maana yake, ‘Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?’” (Encyclopedia Americana, Mj. 3, uk. 654).
 
Zawadi yako ya kirisimaaasi in advance pokea hii

Anaajiyl

Aramai ilikuwa ndio lugha iliyokuwa ikitumiwa na Mayahudi huko Palestina. Kwa hiyo, inaaminika kuwa Yesu na wanafunzi wake walizungumza na kufundisha kwa Kiaramai.

“Simulizi za kwanza ya mdomo za matendo ya Yesu na kauli zake bila shaka zilisambaa kwa Kiaramai.

Hata hivyo, Injili nne ziliandikwa kwa ukamilifu wake kwa maneno mengine, Kiyunani ya kawaida, lugha iliyokuwa ikitumika katika dunia ya Kistaarabu ya Mediterania, ili kutumikia wengi katika Kanisa, ambayo ilikuwa ni ya Kiyunani (wenye kuzungumza Kigriki) badala ya Kipalestina.

Mabaki ya Kiaramai yalikuwepo katika Anaajiyl za Kiyunani.

Kwa mfano, katika Marko 5: 41, “Kisha akamshika mkono, akamwambia, ‘Tal’itha cu’mi’, maana yake, ‘Msichana mdogo, nakuambia amka’”.

Pia Marko 15: 34: “Saa tisa alasiri Yesu akalia kwa sauti kubwa, ‘Eloi, Eloi, lama sabachthani?’ maana yake, ‘Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?’” (Encyclopedia Americana, Mj. 3, uk. 654).
Basi soma injiri ya kweli iliyopo kwenye Qurani tukufu.
Naskia humo imeandikwa kwa usahihi kabisa.
Naskia imetamkwa na Allah mwenyewe neno kwa neno.
Au sio Sheikhe.
 
Basi soma injiri ya kweli iliyopo kwenye Qurani tukufu.
Naskia humo imeandikwa kwa usahihi kabisa.
Naskia imetamkwa na Allah mwenyewe neno kwa neno.
Au sio Sheikhe.

Injiri ni kitu gani?
 
Allah anajua zaidi,
Soma kitabu chake alicho mkabidhi Mtume Muhammad (puh) kitakujulisha maana ya Injiri.
Soma Shekhe katu usikubali kuitwa maamuma.

Kumbe wewe unaandika kitu hata hukijui , au ndivyo Roho Mtakatifu wako anavyokutekenya uandike lugha Za maajabu
 
Kumbe wewe unaandika kitu hata hukijui , au ndivyo Roho Mtakatifu wako anavyokutekenya uandike lugha Za maajabu
Shehe ambaye hana habari kuwa kuna vitabu vya Kinabii kama Torati, Zaburi na Injiri.
Nadhani hana hadhi ya kujumuishwa kwenye mijadala ya dini na imani.
mbumbumbu hana alijualo na hana mda wa kutaka kujua.
 
Shehe ambaye hana habari kuwa kuna vitabu vya Kinabii kama Torati, Zaburi na Injiri.
Nadhani hana hadhi ya kujumuishwa kwenye mijadala ya dini na imani.
mbumbumbu hana alijualo na hana mda wa kutaka kujua.
Nani kasema injiri ni kitabu cha kinabii
 
Ni heri kuzungumza na MTU asiyejua na anajua kuwa hajui.

Kuliko MTU ambaye hajui na hajui kuwa hajui.

Ni kupoteza muda tu.
Hayo maneno yako ndiye mtu aliyesema injiri ni kitabu cha kinabii?
 
Hayo maneno yako ndiye mtu aliyesema injiri ni kitabu cha kinabii?
Hueleweki unacho uliza mala uulize hili mala lile.
Hebu tulia na nikusikilize mara ya mwisho.
Swali lako ninini ?
 
Hueleweki unacho uliza mala uulize hili mala lile.
Hebu tulia na nikusikilize mara ya mwisho.
Swali lako ninini ?

Maneno yako hayo ni mwengine huyo aliyesema injiri ni kitabu cha kinabii?
 
Back
Top Bottom