Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwache awe mpuuzi au shoga ila ni kwa usalama wake na familia yake iweze kwenda chooni,shuleni na hospitali kwa uhakika zaidi😅 i guess thats a sure bet even for you!Prof Kabudi kama alikuwa demu wa JPM....anatetea upuuzi kama shoga kutetea bwana wake.....rubbish shame on him
Muulizeni na ile shehena ya madawa aliyofuata Madagascar iko wapi? Au waliimaliza yeye na jamaa yake? Kama bado ipo aitoe tuwe tunashushia kwenye chanjo.Alituhaidi kuiona Chato kuwa kama Shehnzen China,....sie bado tunasubiria tu...
Mbona alochoelezea chini ya Hayati JPM hata hakitofautiani sana na akiwa chini ya SSH lakini kwa uelewa wako umeona Kuna tofauti kubwa
Inacontradict wapi kama siyo uelewa wako mdogo... within a duration of less than 6 months, two quietly contradicting professional statements on a highly sensitive matter of national interest from a "distinguished" professor!
Ni professor kama hutaki andamanaIs he still a law professor? In some serious academic institutions they would have stripped him his questionable academic credential. What a waste.
... zaidi ya miaka 10 imepita tangu atoe statement ya kwanza?Inacontradict wapi kama siyo uelewa wako mdogo
Indeed he is pro pesaNi professor kama hutaki andamana
You forgot to mention a loud roaring tone
Alikuwa na Mungu wake?Mheshimiwa mungu wake amededi, yuko kwenye maombolezo.... au tuseme yuko eda?
Chato imekufa kibudu kama inapita hadi mwezi aijatajwa Chato ilikuwa ni nadra Sana kumaliza siku 3 bila Chato kutajwa mawaziri wakishindana kupeleka miradi kule Ili wasitumbuliweAlituhaidi kuiona Chato kuwa kama Shehnzen China,....sie bado tunasubiria tu...
Hizo ni elimu au utabiri?
Aiseee, mpaka akafikia kuwa dalali wa kampuni feki iliyotaka kununua korosho toka Kenya!! Kaaazi kwelikweli, tulipitia mengi aisee sie wakulima wa korosho...Kibudu alikua hovyo kabisa.
Alijiona ndo waziri mkuu wakati wa mwendazake.Alikua anakesha ikulu utadhani mnikulu.
Sasa haamini kilichotokea
Dorothy sasa [emoji16]