Why Prof. Kabudi is shy and quiet these days?

Why Prof. Kabudi is shy and quiet these days?

IMG_20210707_133022_162.JPG
 
Wasalaam wanabodi!

Naomba kujuzwa. Kabudi hakuwa mtu wa kupotea kiasi hiki. Amekutwa na nini? Au anaumwa amelazwa hajiwezi?

Ndugu Kabudi amejiuzulu uwaziri kimya kimya au nini? Mbona sielewi? Au bado anaomboleza kifo cha “Mh mungu”? Namnukuu yeye?

Nauliza tu maana nimeona long time Mzee hayupo kwenye runinga hata chanjo sijui amepata yule!
Atakuwa amerudi tena jalalani.Ni prof. pekee ambaye hakuwahi kuacha akiba ya maneno,.Yaani nadhani jinsi alivyokuwa anamwamini mwendazake,as if mwendazake alikuwa mdogo wake Mungu
 
Profesa tumbo kuuuubwa , hawa ndio wanakulaga hadi shea za watoto na wake zao jamaa hana hata chembe ya haya , namkumbuka wakati anamfagilia mwendazake yeye na mwenzie kangi yaani yalikua kama mazuzu kabisaaa
 
Wasalaam wanabodi!

Naomba kujuzwa. Kabudi hakuwa mtu wa kupotea kiasi hiki. Amekutwa na nini? Au anaumwa amelazwa hajiwezi?

Ndugu Kabudi amejiuzulu uwaziri kimya kimya au nini? Mbona sielewi? Au bado anaomboleza kifo cha “Mh mungu”? Namnukuu yeye?

Nauliza tu maana nimeona long time Mzee hayupo kwenye runinga hata chanjo sijui amepata yule!
Yuko China anapambana Ile veta ijengwe pia na chato iwe Kama Guangzhou ama Fujian
 
Mtu aliefanya ujinga kiasi hiki unategemea aweze kufungua mdomo wake baada ya sponsor wa ujinga kufa?
629981088060.jpeg
 
Wasalaam wanabodi!

Naomba kujuzwa. Kabudi hakuwa mtu wa kupotea kiasi hiki. Amekutwa na nini? Au anaumwa amelazwa hajiwezi?

Ndugu Kabudi amejiuzulu uwaziri kimya kimya au nini? Mbona sielewi? Au bado anaomboleza kifo cha “Mh mungu”? Namnukuu yeye?

Nauliza tu maana nimeona long time Mzee hayupo kwenye runinga hata chanjo sijui amepata yule!
Stroke
 
Wasalaam wanabodi!

Naomba kujuzwa. Kabudi hakuwa mtu wa kupotea kiasi hiki. Amekutwa na nini? Au anaumwa amelazwa hajiwezi?

Ndugu Kabudi amejiuzulu uwaziri kimya kimya au nini? Mbona sielewi? Au bado anaomboleza kifo cha “Mh mungu”? Namnukuu yeye?

Nauliza tu maana nimeona long time Mzee hayupo kwenye runinga hata chanjo sijui amepata yule!
Hahitaji chanjo yule, si ndiyo alikuwa wkala wa ile ya Madagascar?
Wasalaam wanabodi!

Naomba kujuzwa. Kabudi hakuwa mtu wa kupotea kiasi hiki. Amekutwa na nini? Au anaumwa amelazwa hajiwezi?

Ndugu Kabudi amejiuzulu uwaziri kimya kimya au nini? Mbona sielewi? Au bado anaomboleza kifo cha “Mh mungu”? Namnukuu yeye?

Nauliza tu maana nimeona long time Mzee hayupo kwenye runinga hata chanjo sijui amepata yule!
Si akipiga dose ya Madagascar huyu?
 
Go slow kandaofu! Wako wenge kimya kingi ..... Kawaida mtu mwenye Hikma na Akili hawezi kurudi kulamba matapishi yake.
 
Atakuwa amerudi tena jalalani.Ni prof. pekee ambaye hakuwahi kuacha akiba ya maneno,.Yaani nadhani jinsi alivyokuwa anamwamini mwendazake,as if mwendazake alikuwa mdogo wake Mungu
Lilikuwa jitu jinga sana.
 
Upepo wa awamu hii sio wake tena,zama za watu wengine sasa
 
Wasalaam wanabodi!

Naomba kujuzwa. Kabudi hakuwa mtu wa kupotea kiasi hiki. Amekutwa na nini? Au anaumwa amelazwa hajiwezi?

Ndugu Kabudi amejiuzulu uwaziri kimya kimya au nini? Mbona sielewi? Au bado anaomboleza kifo cha “Mh mungu”? Namnukuu yeye?

Nauliza tu maana nimeona long time Mzee hayupo kwenye runinga hata chanjo sijui amepata yule!
KATI ya MAWAZIRI wasio THUBUTU KUJIUZULU ni pamoja ba HUYO HAWEZI

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Wasalaam wanabodi!

Naomba kujuzwa. Kabudi hakuwa mtu wa kupotea kiasi hiki. Amekutwa na nini? Au anaumwa amelazwa hajiwezi?

Ndugu Kabudi amejiuzulu uwaziri kimya kimya au nini? Mbona sielewi? Au bado anaomboleza kifo cha “Mh mungu”? Namnukuu yeye?

Nauliza tu maana nimeona long time Mzee hayupo kwenye runinga hata chanjo sijui amepata yule!
Cha Madagascar alichokifakamia Kukionja kwa Kiherehere chake sasa Kinamtesa. Sihitaji maswali zaidi tafadhali.
 
Back
Top Bottom