Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa amerudi tena jalalani.Ni prof. pekee ambaye hakuwahi kuacha akiba ya maneno,.Yaani nadhani jinsi alivyokuwa anamwamini mwendazake,as if mwendazake alikuwa mdogo wake MunguWasalaam wanabodi!
Naomba kujuzwa. Kabudi hakuwa mtu wa kupotea kiasi hiki. Amekutwa na nini? Au anaumwa amelazwa hajiwezi?
Ndugu Kabudi amejiuzulu uwaziri kimya kimya au nini? Mbona sielewi? Au bado anaomboleza kifo cha “Mh mungu”? Namnukuu yeye?
Nauliza tu maana nimeona long time Mzee hayupo kwenye runinga hata chanjo sijui amepata yule!
Yuko China anapambana Ile veta ijengwe pia na chato iwe Kama Guangzhou ama FujianWasalaam wanabodi!
Naomba kujuzwa. Kabudi hakuwa mtu wa kupotea kiasi hiki. Amekutwa na nini? Au anaumwa amelazwa hajiwezi?
Ndugu Kabudi amejiuzulu uwaziri kimya kimya au nini? Mbona sielewi? Au bado anaomboleza kifo cha “Mh mungu”? Namnukuu yeye?
Nauliza tu maana nimeona long time Mzee hayupo kwenye runinga hata chanjo sijui amepata yule!
StrokeWasalaam wanabodi!
Naomba kujuzwa. Kabudi hakuwa mtu wa kupotea kiasi hiki. Amekutwa na nini? Au anaumwa amelazwa hajiwezi?
Ndugu Kabudi amejiuzulu uwaziri kimya kimya au nini? Mbona sielewi? Au bado anaomboleza kifo cha “Mh mungu”? Namnukuu yeye?
Nauliza tu maana nimeona long time Mzee hayupo kwenye runinga hata chanjo sijui amepata yule!
Hahitaji chanjo yule, si ndiyo alikuwa wkala wa ile ya Madagascar?Wasalaam wanabodi!
Naomba kujuzwa. Kabudi hakuwa mtu wa kupotea kiasi hiki. Amekutwa na nini? Au anaumwa amelazwa hajiwezi?
Ndugu Kabudi amejiuzulu uwaziri kimya kimya au nini? Mbona sielewi? Au bado anaomboleza kifo cha “Mh mungu”? Namnukuu yeye?
Nauliza tu maana nimeona long time Mzee hayupo kwenye runinga hata chanjo sijui amepata yule!
Si akipiga dose ya Madagascar huyu?Wasalaam wanabodi!
Naomba kujuzwa. Kabudi hakuwa mtu wa kupotea kiasi hiki. Amekutwa na nini? Au anaumwa amelazwa hajiwezi?
Ndugu Kabudi amejiuzulu uwaziri kimya kimya au nini? Mbona sielewi? Au bado anaomboleza kifo cha “Mh mungu”? Namnukuu yeye?
Nauliza tu maana nimeona long time Mzee hayupo kwenye runinga hata chanjo sijui amepata yule!
Lilikuwa jitu jinga sana.Atakuwa amerudi tena jalalani.Ni prof. pekee ambaye hakuwahi kuacha akiba ya maneno,.Yaani nadhani jinsi alivyokuwa anamwamini mwendazake,as if mwendazake alikuwa mdogo wake Mungu
KATI ya MAWAZIRI wasio THUBUTU KUJIUZULU ni pamoja ba HUYO HAWEZIWasalaam wanabodi!
Naomba kujuzwa. Kabudi hakuwa mtu wa kupotea kiasi hiki. Amekutwa na nini? Au anaumwa amelazwa hajiwezi?
Ndugu Kabudi amejiuzulu uwaziri kimya kimya au nini? Mbona sielewi? Au bado anaomboleza kifo cha “Mh mungu”? Namnukuu yeye?
Nauliza tu maana nimeona long time Mzee hayupo kwenye runinga hata chanjo sijui amepata yule!
Mkuu mwombee usiseme hivyo.Stroke
ukiwa NDEZI lazima uhojiweKizazi cha kuhoji, hata kule mlianza hivi hivi.
Cha Madagascar alichokifakamia Kukionja kwa Kiherehere chake sasa Kinamtesa. Sihitaji maswali zaidi tafadhali.Wasalaam wanabodi!
Naomba kujuzwa. Kabudi hakuwa mtu wa kupotea kiasi hiki. Amekutwa na nini? Au anaumwa amelazwa hajiwezi?
Ndugu Kabudi amejiuzulu uwaziri kimya kimya au nini? Mbona sielewi? Au bado anaomboleza kifo cha “Mh mungu”? Namnukuu yeye?
Nauliza tu maana nimeona long time Mzee hayupo kwenye runinga hata chanjo sijui amepata yule!
Mheshimiwa Mungu
Yes the silence of our friends hurts more than the noises made by our enemies. RIP JPMUkimya wa marafiki huumiza zaidi ya kelele za maadui.
Ameenda Madagascar kuchukua dawa za korona
[emoji23][emoji23][emoji23]Like an owl
View attachment 1878718