Why should I confess?

Samahani mkuu, hiyo “Kula mavi” ni haya haya tunayoyafahamu ama ni yapi?
 
Story kama hii yako haiwezi kuwa na mwisho mzuri.
Mwisho wa hii story lazima iishie katika moja ya haya majengo ya serikali.
1. Jela
2. Hospital.

Get out while you still can. Don’t walk…🏃‍♀️run
Mwenzio anapenda vizawadi, hawezi kuwakacha.

Ni suala la muda tu comment na nyuzi zake jf zitabadilika kulingana na mlengo atakaokua nao.
 
Halafu kweli uncle T kaondoka Bongo kapuku, karudi Millionare🥹
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…