Why should I confess?

Oyaah mbona mambo ya ajabu haya mmh
 
Mm ushauri wangu Hauwezi kuwa Mbali na wengine kaa Mbali na hao marafiki ,sijui Msaada n.k hilo ni Pepo linakuvuta ukae mao karibu ,Mbona Watu wanahama vituko vya kazi wanapata mazingira mapya na wanakuwa vzr ....Wahenga walisema"Usipoziba ufa ,utajenga ukuta"...Hapo ulipofikia ni kama njia panda kuna nafsi inakusukuma utoke afu kuna nafsi yako inayolilia material things ambayo ni vitu vya kupitia...

Tambua Mafanikio hayapimwi kwa vitu vikubwa hata vidogo vidogo mfano Watu wanaokuzunguka,mambo unayoyafanya ukute yanakupishanisha na Watu wazuri sahivi unaweza usione soo,ila baadae Sana utaona kuwa ulikuwa wafanya upuuzi
 
Pole mkuu, bt ni rahisi kuwaepuka hasa ukidhamiria, jifanye mzazi then andika txt ya kuwaonya kuwa karibu nawe, kua umeshajua wanataka kumharibu mwanao.
 

Their is nothing like treating U good / Right. People always expect something in return. TIME WILL TELL
 
Hawajakukula ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…