Why should I confess?

Why should I confess?

Dunia ya sasa mtu msiejuana kukupakupa vitu ni lazima uwe na tahadhari aisee.

Ila kwa nature ya wadada sio rahisi kuahtukia mchezo maana wameshazoezwa kupokea, ila kwa sisi Me kupewapewa vizawadi namna hiyo lazima mwenye akioi timamu angeshawasha double hazard.
 
Dunia ya sasa mtu msiejuana kukupakupa vitu ni lazima uwe na tahadhari aisee.

Ila kwa nature ya wadada sio rahisi kuahtukia mchezo maana wameshazoezwa kupokea, ila kwa sisi Me kupewapewa vizawadi namna hiyo lazima mwenye akioi timamu angeshawasha double hazard.
Una waza mipango gani hii🤣
 
Tuendeleee

BAsi buana mdogo wenu nikaanza napendwa pekeyangu,. Mie ni mtu ambaye sio mtokaji kabisa yaani sijawahi kuhudhuria hata mtu wangu wa karibu awe anafanya birthday Party sijui nini mie sijawahi kuhudhuria huwa naagizaga tu zawadi,. Au labda niwe naenda na mama labda kuwe na harudi kitchen party na shughuli kama hizo mama akiniomba nimpeleke ndio huwa tunaenda wote,.
Lakini hawa wadada walinifanya nianze kwenda kwenye party za watu usiku, Yaani utakuta nimekaa tu sina hili wala lile napigiwa simu "Lee kuna namba nimekutumia hapo ya fundi uende akupime gauni Utalivaa Jumamosi kuna party mie nitakuletea kadi na viatu".. Kwa Approach kama hiyo jamani ningeweza kuchomoa kweli? Baasi nikawa naenda na nikifika kule kila mtu atatamani akae na mimi yaani nakeiwa kwelikweli hadi chooni nikitaka kwenda napelekwa😄😄,.


Hawakuishia hapo,. Kuna siku alinipigia simu mmoja akasema nimepita ofisini kwenu nimeambiwa haupo uko wapi nikamwambia sijafika leo niko kwenye graduation ya mdogo wangu,. Akaniuliza tu wa kike au wa kiume nikamwambia wakike akasema nimwelekeze aje na zawadi basi akaja yeye na wenzie tunasherekea pale mda wa kutoka mie nikaondoka na kina mama na wao wakaondoka zao,.

Kuna siku nlikuwaga niko na stress zangu tu wateja walinivuruga sijui akili yangu iliwaza nini nikasema nimpigie huyu mdada tumwite "Tina " nikawa nimeongea nae tu akanotice kama siko sawa akaniambia nakuja kukuchukua,. Hii ndio siku ambayo nilikunywa pombe mwenzenu na nilikuja kustuka asubuhi,. Mama yangu alipiga simu missed calls sijui zaidi ya ngapi hata sikumbuki, dada na baba ndio kabisa maneno ambayo sikuwahi waza kama nitaambiwa na baba yangu basi siku hiyo niliambiwa kwenye meseji... Lakini cha ajabu huyu Tina wala hata hakustuka aliniambia tu Jiandae twende peramiho Hospitali,. Nikafika kule nikakata kadi nikapimwa malaria, na vihoma vingine vingine nikapewa na dawa halafu ndio akaniambia niwapigie simu nyumbani waje Hospitali halafu sisi tuanze kutoka tukutane njiani, Kwa jinsi nlivyokua nimechoka na ile midawa nliyokuwa nayo moto wote ulizimika waliamini tu labda nilizidiwa njiani nikasaidiwa😥😓😂

Story zisiwe nyingi jamani maana scenarios ni zilezile .......
Ila tu Kiukweli ni watu ambao wamekuwa wamenizoea sana naweza kusema wamenizoea kupitiliza na ndio cycle yangu ya sasa,. Na ninaweza kusema wameniharibu mnoo yaani mimi najiona kabisa sio yule Lee ambaye kila mtu anamjua japo najitahidi sana kuficha nyumbani wasigundue chochote,.

Nashindwa namna ya kuwaepuka jamani maana saizi ndio kabisa wananichukulia kama mwenzao tu,. Yaani wananiona mdogo wao kwenye kazi zao Japo sijawahi kufanya nao chochote kibaya zaidi ya Pombe.. Vishawishi vyao vyote niliweza, nimeweza na ninaweza kuvipangua ( Japo hii huwa naamini ni nguvu ya maombi ya mama yangu) .. Maana mda mwingine mmmh


Kwa namna ambavyo naishi nao saizi ni ngumu sana gafla kusema nipotezane nao,. Nimejaribu mbinu zote hadi kubadili namba za simu lakini ilisaidia nini unadhani?,. Watu wanakujua nyumbani hadi nakofanyia kazi zangu.. Natamani kuwatema moja kwa moja lakini kwa upande mwingine jinsi walivyo Supportive naona kama nitapoteza watu wazuri,. Lakini hapohapo nawaza isije wakaniingiza kwenye matatizo ukizingatia ni watu ambao najioneaga aibu hata kusimama nao njiani isije watu wanaoniheshimu wakaniona nao wakanidharau,.
Sijui nifanye nini kwakweli ila ndio hivyo buana

Mwishooo,.
 
Natumai wote mu wazima wa afya,.

Wacha niandike tu bhana huwenda nikapunguza mzigo moyoni,. Mtanisamehe kwasabu ni ndefu kidogo😑😑

Ni kwamba najuta kuwa na cycle ya watu ambao niko nao sasa,. Nisipokuwa makini naweza kuangukia kwenye midomo ya mamba..

Tuanze sasa,. Ilikuwa ni 2022 mwishoni kama sikosei alikuja mdada ofisini kwetu,. Naweza kusema ni aina ya hii midada ya mjini wale ambao maisha wanayoishi na vibiashara wanavyofanya ni vitu viwili tofauti yaani type ya wale wadada naweza kusema ni wadangaji wa mjini waliokubuhu/shindikanaa kabisa ( wale wenye matatoo mara mableach, wengine wamejitoboa hadi kwenye vitovu wameweka vipini )...

Nilimhudumia vizuri sana ukizingatia na nlivyo charming sikuwa hata nimemchukulia tofauti kama wenzangu walivyomchukulia,. Basi wakati anatoka akaniomba namba nikampatia alivyofika kwenye gari yake nje akanitumia text nimfate mara moja nikatoka akaniambia nilitaka nikupatie pesa ya soda maana umenihudumia vizuri lakini isingekuwa vizuri kukupa mbele ya wenzio baasi nikachekacheka pale nikapokea nikarudi kuendelea na kazi..

Baada ya kama mwezi hivi akawa ameniletea na marafiki zake,. Na hao marafiki zake ndio walewale tu,. Ila tu kila mmoja alikuwa anakuja kwa nafasi yake na walichokua wanasisitiza ni kwamba nisije nikaropoka flani naye alikuja maana yule wa kwanza alinitambulisha tu kama nendeni sehemu flani kuna mdogo wangu yupo basii. Si unajua midada ya mjini kuvimbiana hakuna anayetaka aonekane kaishiwa mbele ya wenzie..

Kiukweli ni watu ambao sijui ndio walikua wananipenda au walikuwa wanapenda ninavyowahudumia,. Maana ilikuwa kama desturi tu wakija lazima waniachie hela za maji yaani mtu kukupa 50k kwakwe sio shida zake,. Ukiachana na hivyo utakuta hata kama mtu anapita maeneo ya ofsini atakupigia akuulize kama ulikula kama bado atakwambia njoo sehemu flani basi tule ukienda utarudi na mazaga kibao,. Atakutambulisha kwa wenzie na wenzake nao ndio walewale wananimwagia upendo kama wote baasi nikawa najiona ndugu si ndio hawa nimepata kumbee😓😓....

Waliendelea hivyo hivyo mpaka ikafika kipindi wote wakawa wananitreat kama mdogo wao yaani,. Kuna zile nyakati labda wamepost status wako China sijui Dubai wanasema wamefata mizigo ya biashara zao,. Mie nikireply tu naulizwa nikirudi nikuletee nini najibu chochote lakini wakirudi wanarudi na hiyo mipackage mpaka nasema hivi huu upendo mbona kama umepitiliza lakini nikawa najionea tu raha nasema kweli nimepata nduguu...

Ngoja kwanza ninywe chai nakuja🙌
Wasagaji hao kuwa makini
 
Dunia ya sasa mtu msiejuana kukupakupa vitu ni lazima uwe na tahadhari aisee.

Ila kwa nature ya wadada sio rahisi kuahtukia mchezo maana wameshazoezwa kupokea, ila kwa sisi Me kupewapewa vizawadi namna hiyo lazima mwenye akioi timamu angeshawasha double hazard.
Sema ni wako supportive sanaa na wanaupendo lakini tabia zao tu ndio kikwazo😄😄
 
Tuendeleee

BAsi buana mdogo wenu nikaanza napendwa pekeyangu,. Mie ni mtu ambaye sio mtokaji kabisa yaani sijawahi kuhudhuria hata mtu wangu wa karibu awe anafanya birthday Party sijui nini mie sijawahi kuhudhuria huwa naagizaga tu zawadi,. Au labda niwe naenda na mama labda kuwe na harudi kitchen party na shughuli kama hizo mama akiniomba nimpeleke ndio huwa tunaenda wote,.
Lakini hawa wadada walinifanya nianze kwenda kwenye party za watu usiku, Yaani utakuta nimekaa tu sina hili wala lile napigiwa simu "Lee kuna namba nimekutumia hapo ya fundi uende akupime gauni Utalivaa Jumamosi kuna party mie nitakuletea kadi na viatu".. Kwa Approach kama hiyo jamani ningeweza kuchomoa kweli? Baasi nikawa naenda na nikifika kule kila mtu atatamani akae na mimi yaani nakeiwa kwelikweli hadi chooni nikitaka kwenda napelekwa😄😄,.


Hawakuishia hapo,. Kuna siku alinipigia simu mmoja akasema nimepita ofisini kwenu nimeambiwa haupo uko wapi nikamwambia sijafika leo niko kwenye graduation ya mdogo wangu,. Akaniuliza tu wa kike au wa kiume nikamwambia wakike akasema nimwelekeze aje na zawadi basi akaja yeye na wenzie tunasherekea pale mda wa kutoka mie nikaondoka na kina mama na wao wakaondoka zao,.

Kuna siku nlikuwaga niko na stress zangu tu wateja walinivuruga sijui akili yangu iliwaza nini nikasema nimpigie huyu mdada tumwite "Tina " nikawa nimeongea nae tu akanotice kama siko sawa akaniambia nakuja kukuchukua,. Hii ndio siku ambayo nilikunywa pombe mwenzenu na nilikuja kustuka asubuhi,. Mama yangu alipiga simu missed calls sijui zaidi ya ngapi hata sikumbuki, dada na baba ndio kabisa maneno ambayo sikuwahi waza kama nitaambiwa na baba yangu basi siku hiyo niliambiwa kwenye meseji... Lakini cha ajabu huyu Tina wala hata hakustuka aliniambia tu Jiandae twende peramiho Hospitali,. Nikafika kule nikakata kadi nikapimwa malaria, na vihoma vingine vingine nikapewa na dawa halafu ndio akaniambia niwapigie simu nyumbani waje Hospitali halafu sisi tuanze kutoka tukutane njiani, Kwa jinsi nlivyokua nimechoka na ile midawa nliyokuwa nayo moto wote ulizimika waliamini tu labda nilizidiwa njiani nikasaidiwa😥😓😂

Story zisiwe nyingi jamani maana scenarios ni zilezile .......
Ila tu Kiukweli ni watu ambao wamekuwa wamenizoea sana naweza kusema wamenizoea kupitiliza na ndio cycle yangu ya sasa,. Na ninaweza kusema wameniharibu mnoo yaani mimi najiona kabisa sio yule Lee ambaye kila mtu anamjua japo najitahidi sana kuficha nyumbani wasigundue chochote,.

Nashindwa namna ya kuwaepuka jamani maana saizi ndio kabisa wananichukulia kama mwenzao tu,. Yaani wananiona mdogo wao kwenye kazi zao Japo sijawahi kufanya nao chochote kibaya zaidi ya Pombe.. Vishawishi vyao vyote niliweza, nimeweza na ninaweza kuvipangua ( Japo hii huwa naamini ni nguvu ya maombi ya mama yangu) .. Maana mda mwingine mmmh


Kwa namna ambavyo naishi nao saizi ni ngumu sana gafla kusema nipotezane nao,. Nimejaribu mbinu zote hadi kubadili namba za simu lakini ilisaidia nini unadhani?,. Watu wanakujua nyumbani hadi nakofanyia kazi zangu.. Natamani kuwatema moja kwa moja lakini kwa upande mwingine jinsi walivyo Supportive naona kama nitapoteza watu wazuri,. Lakini hapohapo nawaza isije wakaniingiza kwenye matatizo ukizingatia ni watu ambao najioneaga aibu hata kusimama nao njiani isije watu wanaoniheshimu wakaniona nao wakanidharau,.
Sijui nifanye nini kwakweli ila ndio hivyo buana

Mwishooo,.
Kumbe shida ni kunywa pombe tu😂
Mimi situmii kilevi chochote lakini naona wanywa pombe wapo sawa na wanafurahia mfano ni Evelyn Salt enjoy maisha labda kama kuna shida nyingine uliyoificha.

Kila mtu ana haki ya kupendwa, umependwa basi pendeka..!
 
Back
Top Bottom