Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Yeah na mimi ndio nimemwambia hapa halafu kasema kuna siku walimwambia akalale kwa mwenzao akawakatalia yaani kapindisha au kaficha mambo mengiVitaje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah na mimi ndio nimemwambia hapa halafu kasema kuna siku walimwambia akalale kwa mwenzao akawakatalia yaani kapindisha au kaficha mambo mengiVitaje.
Ni kweli kuna mambo mengi inaonekana alikuwa anashirikiana nao na nimemuuliza je Wana kazi au shughuli zinazotambulika na mamlaka?Title ya uzi: Why should i confess?
Me kilichoandikwa ndani ya uzi against title: Confused
Tabia za hovyo zipi?Kuna siku walitaka tukalale kwa mwenzao huyo wakati huwa wanamzungumziaga tabia zake za hovyo nikawagomea na wao wanajua nilijiongeza😑
sisi ndo tuna kuwa confused 🤣😂Title ya uzi: Why should i confess?
Me kilichoandikwa ndani ya uzi against title: Confused
Coz this is chaiSijui hata niandikaje lakini naandika huku naogopa,. Naandika huku najiuliza why am writting this?😃
Wana ku shawishi kufanya vitu vya kijinga kama Vipi yaani?Tatizo watu wa humu watatumia kama fimbo siku isiyo na jina..
Biashara zao ni hizihizi tu za kawaida maduka ya nguo viatu. Vipodozi mwingine home decorations na vitu kama hivyo
Sijui nisemeje lakini huwa wananishawishi kufanya vitu vya kijinga japo kwa akili sana,.
Lakini hawajafanikiwa
kazingua hiyo title 🤣Ni kweli kuna mambo mengi inaonekana alikuwa anashirikiana nao na nimemuuliza je Wana kazi au shughuli zinazotambulika na mamlaka?
Duuuh,.Mmh,bado sielew
Kweli wew ni mtoto wa kisabato na hakika hawatakuweza maana hata kuandika tu mambo yao umeona kama ni dhambi
Bado mungu yupo na wewe
Sisi ambao tumeshaleft church mambo madogo kama hayo huwa tunatamka tu mfano kisimi kinembe
Sijui hata niandikaje lakini naandika huku naogopa,. Naandika huku najiuliza why am writting this?😃
sisi ndo tuna kuwa confused 🤣😂
Most of us we are curious hebu mwaga huo Mchele tudonoe hapaSijui hata niandikaje lakini naandika huku naogopa,. Naandika huku najiuliza why am writting this?😃
😂😂 Utadangishwa na usipokuwa makini wanakugeuza punda, sasa hivi director anatembelea gari ya million 600 sio mchezo, na ilo jina la director alipewaga kwa sababu hiyo. Kamdangisha sana wema 😂Hahaha, mjini kasheshe .
Si ndo mishangazi hiyo?Hutawaweza mmkuu,.
Wengine ni mimama kabisa sema wana upendo😄
We Umesha sema wapaka bleach, Wana tattoo, vipindi.Tatizo watu wa humu watatumia kama fimbo siku isiyo na jina..
Biashara zao ni hizihizi tu za kawaida maduka ya nguo viatu. Vipodozi mwingine home decorations na vitu kama hivyo
Sijui nisemeje lakini huwa wananishawishi kufanya vitu vya kijinga japo kwa akili sana,.
Lakini hawajafanikiwa
Lohhh🧐🙄View attachment 3208630
Dunia ya leo cha bure ni hewa tu unayovuta na ni kwa vile hakuna mwenye switch yake.
⬇️midada ya mjini itavyofidia zawadi na pesa zao kwako😀😀😀
View attachment 3208650