Umejifungia maghettoni watakuona saa ngapi?hawa watu mnawapatiaga wapi
Kama hawakufanyi chochote kibaya yaani ni swala la wao kua supportive sioni tatizo
π π π Huo ndio ukweliBwashee bwashee π acha hizo
Sijui huwa yupoje tu huyu bidada natamani nimtongoze lkn kesho tu unaweza kukutana na uzi usemaoHana kifua atatuhadithia tu siku moja πππ
Hii nimeipenda
As long as unapokea vitu vyao, lazima urudishe pia kwa namna moja au nyingine.Sio rahisi mkuu,. Namna nzuri ya kuachana nao moja kwa moja ndio sina,. Kwasabu hawajai nifanyia chochote kibaya na hata wakijaribu niko makini sana
Jitahidi tuu kuwa mjanja bila hivyo utaliwa kichwa na usiogope sijui watu watakuonaje kwa sababu ni marafiki zako urafiki utaisha siku ukihama mkoa au wenyewe watachoka kwa sababu hutaki kudangishwa. Mimi nilishakuwa na marafiki wa hovyo lakin sikuwahi kua adapt tabia zao, nafikiri kinachowaponza wengi ni tamaa, sasa kama wewe washakuona huna tamaa si wanaweza ku kupiga ambush tuu unajikuta tayari ushalala na libaba nina story ya hili jambo sema tuu uvivu wa kuandika sana.ASante mkuu
Ngoja ni some kwanza π mji wa moto huuπ π π Huo ndio ukweli
Kukamatwa sio jambo rahisi kashajiimarisha toka kitambo sana victims ni hivi vidada vevye tamaa vinaozea macau huko na china, hao watoto sasa wanahonga balaaaaa ππ½Mbona hakamatwi jamani?π
Huwa naona status za mtoto wake wanakula maisha jumatatu hadi jumapili.
mimi naona ephen_ kakupa ushauri mzuri sanaKuna siku walitaka tukalale kwa mwenzao huyo wakati huwa wanamzungumziaga tabia zake za hovyo nikawagomea na wao wanajua nilijiongezaπ
Mambo ni mengi watu wanapeana mpaka connection za kwenda kula mavi ya waarabu watu wanaona bora kula mavi kuliko wakaozeee magereza ya china ππDah mjini Kuna kaziπ
Haya ni maoni yangu! Naweza kuwa nisiwe sahihi ... Natanguliza samahaniNimemaliza mkuu
washirikina na wahalifu sio watu wazuri wanaweza kukutoa figoAnaweza akawatosa halafu akashindwa kupata tena watu watakaompenda na kumsupport kama alivyosema.
Shida inaonekana lee anaadapt tabia za wengine kirahisi sana.
duh wanawake mna mambo, ukute laki 5 au 1m duh.Mambo ni mengi watu wanapeana mpaka connection za kwenda kula mavi ya waarabu watu wanaona bora kula mavi kuliko wakaozeee magereza ya china ππ
Mashine ya kusaga na kukoboa ππ
Figo hapo mbali, 200 tu watu Waka pigana visu.washirikina na wahalifu sio watu wazuri wanaweza kukutoa figo
πππTumpe muda ipo siku ataconfes kama anajua chochote π
kula mavi trip moja tuu sio chini ya milioni mia moja za kitanzania ndugu yangu, yani ni kuanzia dola efu 30 kwenda juu ila hataree yake hutokula mavi tuu unaweza kula na unga pia maana lazima ujitoe akili kwanza maana masharti hutakiwi kutapika π, afu sio mademu tuu mpaka wanaume wamo wee huoni juma lokole trip mbili tatu za Dubai tayari ana Range na hana biashara inayoeleweka mjini π, kuna mwingine anaitwa anko T kala mavi mpaka kafungua bonge la saluni bei ya nywele ni million kumi anauzaduh wanawake mna mambo, ukute laki 5 au 1m duh.
Arrghh aisee, hii dunia Kuna starehe na Watu wa ajabu sanaπ€£π.