Why should I confess?

Why should I confess?

Hana kifua atatuhadithia tu siku moja 😂😂😂
Hii nimeipenda
Sijui huwa yupoje tu huyu bidada natamani nimtongoze lkn kesho tu unaweza kukutana na uzi usemao

"Why should I confess?, kenzy kwanini unitongoze why mimi..?"

Itabidi kwanza nimfundishe namna yakuwa na kifua ndo nikamtongoze hivihivi mtaniita dungadunga muda si mrefu kumbe kaka wa watu jitu staarabu sana...🤣
 
Sio rahisi mkuu,. Namna nzuri ya kuachana nao moja kwa moja ndio sina,. Kwasabu hawajai nifanyia chochote kibaya na hata wakijaribu niko makini sana
As long as unapokea vitu vyao, lazima urudishe pia kwa namna moja au nyingine.


Njia ya kuachana nao ni kutokupenda vitu vya bure.
Halafu kusema uko makini sana, unajidanganya.
 
ASante mkuu
Jitahidi tuu kuwa mjanja bila hivyo utaliwa kichwa na usiogope sijui watu watakuonaje kwa sababu ni marafiki zako urafiki utaisha siku ukihama mkoa au wenyewe watachoka kwa sababu hutaki kudangishwa. Mimi nilishakuwa na marafiki wa hovyo lakin sikuwahi kua adapt tabia zao, nafikiri kinachowaponza wengi ni tamaa, sasa kama wewe washakuona huna tamaa si wanaweza ku kupiga ambush tuu unajikuta tayari ushalala na libaba nina story ya hili jambo sema tuu uvivu wa kuandika sana.
 
Kama unakuwa na cycle ya watu na huna amani nao, maana yake tabia zao huzipendi. The only thing ya kufanya ni kujiondoa na hilo kundi.

Sio sawa kuishi maisha ya kuigiza, na kama huna furaha na hiyo cycle wala hutafurahia mahusiano yenu. Zaidi sana wanakuambukiza mitabia mibaya na mwishowe unakuwa branded "malaya"!
 
Kuna siku walitaka tukalale kwa mwenzao huyo wakati huwa wanamzungumziaga tabia zake za hovyo nikawagomea na wao wanajua nilijiongeza😑
mimi naona ephen_ kakupa ushauri mzuri sana

chukua vyema, achana na vibaya.

na mimi cha kuongezea labda ni ukiona wana dalili zozote za uhalifu au ushirikina wakimbie.
 
Nimemaliza mkuu
Haya ni maoni yangu! Naweza kuwa nisiwe sahihi ... Natanguliza samahani

Iko hivi! Maisha yamefungwa katika majira .. Kuna majira ya kujiriwa ili Mungu kukufanikisha!

Ntatumia hii verse kutoka kwenye Biblia, Kuna wakati Yesu alisema maneno haya;

"Luka 19:43:44
[43]Kwa kuwa siku zitakuja, adui zako watakapokujengea boma, likuzunguke; watakuzingira na kukuhusuru pande zote;

[44]watakuangusha chini wewe na watoto wako ndani yako, wasikuachie jiwe juu ya jiwe, sababu hukutambua majira ya kujiliwa kwako.

The key words to note ni HUKUTAMBUA MAJIRA YA KUJILIWA KWAKO!

Kila mafanikio ya mtu yamefungwa katika majira ... ukipishana na majira yako! Unapisana na mafanikio.

Majira ya mafanikio yako yanaweza kukujilia ila wewe ukapishana nayo kwa mambo mengi na Moja wapo ni adui kukutoa out course!

Kwa kukuleta watu ambao si sahihi katika maisha yako ili tu kufanya nafsi yako itoke katika nafasi yake iliyokuwapo mwanzo.

So majira yanakuja! Ila wewe haupo!
Utajuaje nafsi yako imehama kutoka katika nafasi?

Kuwa na mawazo hasi tofauti na ulivyokuwa nayo mwanzo!

Mabadiliko mengi ya kitabia ambazo wewe Binafsi ukikaa chini na kufikiria huzifurahiii!

Kwenye Kitabu Cha maombolezo anasema Yeremia "Umeiweka nafsi yangu mbali na amani nikahasau kufanikiwa" nafsi imetokae nje ya nafasi!

Daudi anasema Eh nafsi yangu Rudi rahani mwako ....

The good thing is ume realize kuwa hiyo kampani sio nzuri kwako! Jitenge nayo

Mungu akusaidie

Nakuombea

Nipo Kwenye uchaguzi Mlimani city
 
duh wanawake mna mambo, ukute laki 5 au 1m duh.

Arrghh aisee, hii dunia Kuna starehe na Watu wa ajabu sana🤣😂.
kula mavi trip moja tuu sio chini ya milioni mia moja za kitanzania ndugu yangu, yani ni kuanzia dola efu 30 kwenda juu ila hataree yake hutokula mavi tuu unaweza kula na unga pia maana lazima ujitoe akili kwanza maana masharti hutakiwi kutapika 😂, afu sio mademu tuu mpaka wanaume wamo wee huoni juma lokole trip mbili tatu za Dubai tayari ana Range na hana biashara inayoeleweka mjini 😂, kuna mwingine anaitwa anko T kala mavi mpaka kafungua bonge la saluni bei ya nywele ni million kumi anauza
 
Back
Top Bottom