Wanaishia International Cit, DubaiNdio, hakuna kingine wanachoenda kufanya zaidi ya umalaya na kuna madalali wa hizo mambo, mchawi connection tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaishia International Cit, DubaiNdio, hakuna kingine wanachoenda kufanya zaidi ya umalaya na kuna madalali wa hizo mambo, mchawi connection tu
Nimejaribu kucheck ili kufahamu zaidi kuhusu Dark web, nimeona ni mpaka uwe na program inayokuwezesha kuiaccess, ni VPN ama?Dunia ina mambo ni bora yaendeleee kubaki sirini maana kuna vitu vinaendelea ukipata kuviona unaweza kupata msongo wa mawazo ndo maana tuanaambiwa tusipende sana kuingia dark web
Uongo ulikunywa we kenge ulivyo mroho uligeuza hadi chupa nje ndani ukailamba.same here, hata sigara sija wahi vuta.
licha ya kuwahi kuishi na watu wanao puliza, vuta na wazinzi haswa.
nakumbuka Nisha wekewa hela, ninywe funda Moja ka safari. Nika piga chini 😁
Sema bro unaona mbali kiseee, kisesa.Hapa kuna vitu viwili either abe eshwe mzigo wa madawa au anyonywe papuchi na matiti na hao wadada
Magendo yapo mengi sana Lee na mbinu za kufanikisha mipango ni nyingi sana kwahiyo usijiulize watapata wapi. Mtu mwenye spending kubwa tofauti na kipato chake ni wakwenda nae kwa makini sana.Madawa wanayapata wapi mkuu😳,.
Hapana mkuu sidhani kama wataweza kunifanya chochote cha msingi ni namna ya kuwatema moja kwa moja ndio sina
Na hivi anakunywa na ukali labda akiliewa asichat 😅Hana kifua atatuhadithia tu siku moja 😂😂😂
Hii nimeipenda
Unawataka nikuunge wakirudi sauzi?hawa watu mnawapatiaga wapi
Kama hawakufanyi chochote kibaya yaani ni swala la wao kua supportive sioni tatizo
Upo sahihi sana mkuu.As long as unapokea vitu vyao, lazima urudishe pia kwa namna moja au nyingine.
Njia ya kuachana nao ni kutokupenda vitu vya bure.
Halafu kusema uko makini sana, unajidanganya.
Leta kisa hicho mkuu watu wajifunzeJitahidi tuu kuwa mjanja bila hivyo utaliwa kichwa na usiogope sijui watu watakuonaje kwa sababu ni marafiki zako urafiki utaisha siku ukihama mkoa au wenyewe watachoka kwa sababu hutaki kudangishwa. Mimi nilishakuwa na marafiki wa hovyo lakin sikuwahi kua adapt tabia zao, nafikiri kinachowaponza wengi ni tamaa, sasa kama wewe washakuona huna tamaa si wanaweza ku kupiga ambush tuu unajikuta tayari ushalala na libaba nina story ya hili jambo sema tuu uvivu wa kuandika sana.
Na hiyo ndio tafsiri ya utu uzima dawa, mzee alikuponya kabla hata ujaumwa.Baba yangu aliwahi kunikataza kuwa na rafiki wa hivyo wakati nipo sekondari, huyu sio kwamba alikuwa ni rafiki tu bali alikuwa ni ndugu kabisa. Cha ajabu sasa mimi ni mtu wa swala 5 na huyo ndio akawa rafiki yangu yani alinipendaga mwenyewe kama hivyo, mazawadi n.k
Siku moja baba yangu alinipa kichapo cha mbwa mwitu sikwenda shule wiki nzima uso, miguu yote imevimba. Na alinipiga mbele ya huyo rafiki yangu dada wa watu akaona isiwe tabu akahama kabisa na urafiki wetu ukaishia hapo.
Baba yangu mwenyewe alikuwa anakunywa pombe sana tu ila hakutaka kabisa niwe rafiki na mtu wa aina ile
Wakati nipo chuo nikaambiwa yule dada alifariki na Ukimwi. Nilimuona baba yangu amenisaidia sana japo ile siku aliyonichapa nilimchukia kweli kweli
Dipresheni unapenda wenzio wafanywe chochote 😅Hiyo siku uliyolewa hadi ukazima, hawakukufanya chochote?
Dipresheni ni swali tu🤣Dipresheni unapenda wenzio wafanywe chochote 😅
Hilo swali lako chokozi sana linaweza leta dipresheni kujibu😅Dipresheni ni swali tu🤣
Weeeee ukitaka kuingia humo tafuta simu nyingine kabisaa ambayo haina vitu vyako kama picha n.k na usifikiri ukiingia humo kila kitu kipo wazi lazima upate link ya site husika unayotaka kutembelea,ukitaka kujua zaidi kuhusu dark web kuna uzi humu utafuteNimejaribu kucheck ili kufahamu zaidi kuhusu Dark web, nimeona ni mpaka uwe na program inayokuwezesha kuiaccess, ni VPN ama?View attachment 3208984
Ooh! OkWeeeee ukitaka kuingia humo tafuta simu nyingine kabisaa ambayo haina vitu vyako kama picha n.k na usifikiri ukiingia humo kila kitu kipo wazi lazima upate link ya site husika unayotaka kutembelea,ukitaka kujua zaidi kuhusu dark web kuna uzi humu utafute