Why Tanzania might be treading on dangerous waters

Haha[emoji23][emoji23] Kenyan idiocy boasting at it's best. You can even control petty criminals in Nairobi. They are causing havoc and you want to come here and tech us how to protect our country [emoji23][emoji23][emoji23]

Al shabaab is taking you for a ride! People are leaving their estates coz of crime! You can't even walk in peace in Nairobi!

Clean your mess first and then come and teach us how keep ourselves safe.
 
Finally it looks like Tanzania has officially been drafted into the war on terror.

Ndio kampeni mliyopewa saivi muianzishe ili kuleta usumbufu kwenye msimu huu wa utalii? Hamjakoma tu na hizo assignment zenyeu ambazo zina backfire na ku-explode at your face na kuwaletea madhara katika uchumi wenu huku mabwana zenu wakiwacheka na kugonganisha glass za mvinyo?
 
utter bollocks! we are closely monitering your presence in mozambique. welcome to the fight against religious extremism.
No body can try to challenge Tanzania, our security apparatus are the best in this zone
 
'Mambo mengi mazuri yalifanyika' ungetaja walau 2 ingependeza. Unaposema hali ya ajira enzi za Nyerere ilikuwa mbaya we ni mwongo kwani vyuo vikuu vilikuwa vichache, mikopo vyuoni haikuwepo na wahitimu vyuo vikuu wote waliajiriwa tena kwa kujaza mikataba ya kufanya kazi miaka 5 bila kwenda nje ya serikali.
 
They were busy condeming kenyans for their role in somalia now its hitting closer to home, lets see how they fair this one out.
Ambia Mods waache kudelete posts zangu.
 
utter bollocks! we are closely monitering your presence in mozambique. welcome to the fight against religious extremism.

There is no any deployment of Tanzanian military personnel in the Mozambique territory. Tanzania forces only create a buffer zone at the boarder between Msumbuji, but they don`t enter at that country.
 
utter bollocks! we are closely monitering your presence in mozambique. welcome to the fight against religious extremism.
Those will be dealt accordingly, brace yourselves
 
Ambia Mods waache kudelete posts zangu.
Jamiiforums sio kijiwe cha kuweka story za uwongo za kuokota okota ovyo,

Hizo story za kuokota okota zipeleke kwenye forums zenu za kikabila huko ushago,

Ukiendeela kuweka zitafutwa tu,

''Jeshi la ulinzi la wananchi wa Tanzania limesikitishwa mno na taarifa hizo na kwa ujumla ni kwamba hatukutarajia kabisa kwamba jambo hilo lingeweza kuzungumziwa kwasbabu Tanzania haina wanajeshi ambao wamevuka mpaka na kuingia Msumbiji'', alisema bwana Sipe.
''Hadi kufikia sasa tunakalia maeneo yetu ya utendaji ambayo hayahusiani kabisa na operesheni zozote za Msumbiji'', alisema Luteni Sipe.

Kwa jumla ni kwamba utendaji wa jeshi la Tanzania upo katika maeneo yake ya kawaida kabisa katika kutekeleza ulinzi wa mipaka yake na operesheni zake hazihusiani kivyovyote vile na harakati zinazoendelea nchini Msumbiji.
 
Finally it looks like Tanzania has officially been drafted into the war on terror.
It's not that easy with Tz my friend. Ugaidi siyo kuhusu kuminywa kwa haki, ugumu wa maisha na hizo bla bla nyingine. Ukitaka jiulize swali jepesi tu. Ni kwa nini chokochoko za ugaidi ziibuke South-East Tz na North East Mozambique?

Jiulize kuhusu timing ya huo ugaidi wa Tz/Mozambique vs ugunduzi wa raslimali ya gesi! Unakumbuka namna Boko haram iliibuka Nigeria? Unakumbuka Al Shabaab iliingiaje Kenya? It's easy, very easy.

Ugaidi huchipua na kumea kwenye mataifa yenye uongozi dhaifu unaojificha kwenye vivuli vya demokrasia, utu, na upuuzi mwingine. Ndiyo sababu mpaka leo kuna wapuuzi wanaolaumu serikali ya Tz kwa namna ilivyoendesha operation ya MKIRU iliyokata mizizi ya huo ugaidi.

Kinachonikera ni udhaifu wa kiutawala Msumbiji ambao umeruhusu ugaidi huo kumea na hivyo lazima tutapata shida mipakani kwa kuzingatia nature ya mipaka yetu.

Take it from me. Ugaidi na Tanzania will always be maji na moto. Kwa sababu we do not hesitate to hit anyone trying to mess with our nation's security.
 
Asie na uwezo wa kufikiri ndie huanza kutoa lawama kwa wengine na kujibanza kwa Mungu. Hoja zilizoelezwa uwezekano wa kutokea ugaidi Tanzania zimeeleweka. Kudai Kenya inaiombea Tanzania mabaya ni kushindwa kuchambua hoja. Kumbuka Kenya inaitegemea sana Tanzania kwa soko la bidhaa zake, haina muda kumwombea mabaya mteja wake. Hawana muda wa kukaririshwa nini serikali imefanya kama huku kwetu as if sisi ni vipofu.
 
Umeomba nitaje japo mambo 2 mazuri, wewe ni mtanzania lakini huyaoni, ngoja niombe majirani wakusaidie
 
Ulikuwa wapi wakati Corona inaanza Kenya ilipoongoza dunia katika kuiombea mabaya Tanzania na kuitangazia dunia kwamba maiti zimezagaa mitaani na Hospitali zimejaa?
 
Wakenya wanakujibu
 
Jirani anaona kinachotokea kwako [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ugaidi ni mambo mawili tu, moja udini, mbili, ukabila bhaasi.
 
Uliza gaidi covid 19. Kilicho mpata tz
Kama kovidi imeshindwa sembuse magaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…