#COVID19 Why U.K made U-turn on draconian COVID mandates

#COVID19 Why U.K made U-turn on draconian COVID mandates

Kwa hili nakubaliana na wewe kuhusu kuwauwa watu linawezekana sana
Hilo tumeliona ila walipinga na kusema ni uongo
Kwa kweli watu walipukutika sana na lockdowns sijui zilikuwa za nini maana kuna jamaa yangu yeye kila siku alikuwa anakuja kwangu na hajali na hajapata hata kikohoo ingawa nilikuwa nina wasiwasi ila hakuamini kabisa

Wengi waliokufa walikuwa ni wazee waliokuwa nursing homes na hospitals
Na watu wengi tukadhani kwa kuwa serikali inawahudumia miaka na miaka wakiwa wamelala tu na gharama ni nyingi ndio wakaja na mkakati huo
Tukaambiwa ni conspiracy theory
Wengine NWO ila tumeyapita yote
Mkuu usiamini serikali yeyote duniani,no goverment has your best interest at heart.Serikali zote duniani ni evil,take care of your own life and health of loved ones,usitegemee serikali kabisa.

Kuhusu vifo in elderly homes,upo ushahidi wa kutosha kwamba waliuwawa.The reason being that wanaifirisi serikali!
 
Mkuu usiamini serikali yeyote duniani,no goverment has your best interest at heart.Serikali zote duniani ni evil,take care of your own life and health of loved ones,usitegemee serikali kabisa.

Kuhusu vifo in elderly homes,upo ushahidi wa kutosha kwamba waliuwawa.The reason being that wanaifirisi serikali!

Hilo naamini kabisa na walipukutishwa haswa sasa wazee wamepungua sana

I swear kuna dada namjua alikuwa anafanya kazi kwa wazee kila siku anasema maiti zilikuwa zinatoka kwa makumi

Ila wao hata kikohoo hawapati na chanjo zilikuwa bado

Walitufungia ndani watu wakasema wanamwaga sumu nje ukitoka tu una kufa watu tukahaha pamoja na uzungu wao tukawa tunapishana mbali barabarani

Dunia hii ila wakidhamiria kutumaliza wanaweza na mpango ulikuwa wazee kwa kweli
Wanakaa hospitali miaka na wakipelekwa kuhudumiwa wanaeeza kukaa hata miaka 20 hapo chakula, madawa, kuogeshwa, kubebwa, usafi, halafu life expectancies kubwa sana
Wanagonga 100 wengi
 
Hilo naamini kabisa na walipukutishwa haswa sasa wazee wamepungua sana

I swear kuna dada namjua alikuwa anafanya kazi kwa wazee kila siku anasema maiti zilikuwa zinatoka kwa makumi

Ila wao hata kikohoo hawapati na chanjo zilikuwa bado

Walitufungia ndani watu wakasema wanamwaga sumu nje ukitoka tu una kufa watu tukahaha pamoja na uzungu wao tukawa tunapishana mbali barabarani

Dunia hii ila wakidhamiria kutumaliza wanaweza na mpango ulikuwa wazee kwa kweli
Wanakaa hospitali miaka na wakipelekwa kuhudumiwa wanaeeza kukaa hata miaka 20 hapo chakula, madawa, kuogeshwa, kubebwa, usafi, halafu life expectancies kubwa sana
Wanagonga 100 wengi
Mkuu waliwaua tena hata dawa waliyotumia nilikuwa naijua,ila nimejaribu kutafuta hiyo script kwenye mtandao nimeikosa,possibly wameshaifuta.Nikiipata kama nikikumbuka nitakuletea.
 
Mkuu waliwaua tena hata dawa waliyotumia nilikuwa naijua,ila nimejaribu kutafuta hiyo script kwenye mtandao nimeikosa,possibly wameshaifuta.Nikiipata kama nikikumbuka nitakuletea.

Kabisa mkuu wamewauwa nasubiri mkitupa Dual citizenship turudi tu [emoji24]

Huku wazungu wameelewa mchezo na wengi sasa kutokana na vifo na gharama wameamua kuwapeleka wazazi wao Philippines, Malaysia na Thailand huko wanasema wana huruma sana kwa wazee

Kwa hiyo mtu anampeleka mzazi wake huko analipa kwa mwezi na maisha yanaenda badala ya kuwaacha hapa wakiteseka
 
Kabisa mkuu wamewauwa nasubiri mkitupa Dual citizenship turudi tu [emoji24]

Huku wazungu wameelewa mchezo na wengi sasa kutokana na vifo na gharama wameamua kuwapeleka wazazi wao Philippines, Malaysia na Thailand huko wanasema wana huruma sana kwa wazee

Kwa hiyo mtu anampeleka mzazi wake huko analipa kwa mwezi na maisha yanaenda badala ya kuwaacha hapa wakiteseka
Inasikitisha sana kwa kweli,huruma imepotea kabisa kwa the "establishment" au "The Powers To Be." Wao wanawaza pesa,how to control humanity na enslavement,human life si kitu kabisa kwao.

Nafiria tu huo umbali na jinsi ya kuwatembelea,ni ghali sana.
Mwisho,karibu nyumbani mkuu,huko kumeharibika sana.
 
Inasikitisha sana kwa kweli,huruma imepotea kabisa kwa the "establishment" au "The Powers To Be." Wao wanawaza pesa,how to control humanity na enslavement,human life si kitu kabisa kwao.

Nafiria tu huo umbali na jinsi ya kuwatembelea,ni ghali sana.
Mwisho,karibu nyumbani mkuu,huko kumeharibika sana.

Mkuu ni wa kuwahurumia sana hawa watu
Imagine unauza nyumba ya mzee halafu hizo hela ndio unatumia kwa kumlea tena ng’ambo
Ila hawana namna inabidi kila mwaka au kila miezi Sita waende kuwaona

Hawa serikali zao hawajali

Kwa kumalizia asante sana kwa kinijali na tumeelewana vizuri sana na huo ndio ubinadamu
Narudi Mkuu ila bado nasawazisha mambo tu maana retirement ni after 4 years
Thanks [emoji120]
 
Back
Top Bottom