Why watu wenye mafanikio wamesoma kayumba? Samatta, Diamond, Doctors, Engineers, President etc

Thank you
Ukisoma IST lazma uende nje ya nchi ili ufafanane mtaala na wao

ACSEE na IB(Baccalaureate)haviendani
 
Nursing ni kada ya chini ???
 
Mafanikio ni relative term...

Watoto wa International School huwezi kuwakuta serikalini wakiishi kwa majungu na kujikomba..wanaishi kwa taaluma na elimu zao.

Wapo huko private sectors wakifanya ya duniani kuliko ya tanzania..

Everyday is Saturday......................... 😎
 
Mi ukiniambia umeelimika halafu huijui lugha ntakuona chenga kuna wabongo kibao wamesoma hizo shule za kulipia ila lugha yao kawaida bora nipeleke mtoto nchi jirani hata ikiwa aio international kuvile kwanza ataijua lugha pili atapata exposure, bongo michosho tu mtu kagraduate tusiime ila kingereza kibovu
 
Watoto wa English medium ndiyo think tanks,wao wanafanyakazi za kitaalamu na kutegemewa nyuma ya ofisi,siyo FRONT OFFICERS
 
Mkuu nadhani wewe bado mdogo.naomba nikufahamishe kuwa hadi mwishoni mwa miaka ya 1990-99 shule za umma zilikuwa bora kuliko private schools na seminaries,wakati huo vilaza pekee ndo walikuwa wanasoma private school.Hivyo hawa uliowataja ambao mmoja au wawili ndo mafanikio yao ni matunda ya elimu walisoma before 2000.Kayumba zilizaliwa wakati wanaccm walipoanza kuona fursa kwenye elimu yetu,matokeo yake wakaamua kuua shule za umma ili wapige pesa
 
Jidanganye tu mkuu,siwezi kusomesha wanangu kayumba,hao uliowataja wanabebwa na vipaji(talanta ,usanii) vyao na sio shule!! Doctors,Engineer katika level ya chuo wote wanakutana MUHAS , CoET etc
Halafu hao hao wanaaokutana huko UD ndo baadae wakaajiliwe na watoto waliobebwa na vipaji.....unachekesha. talents ndo ndo wealth of all time. Ww pia umeaminishwa ktk kusoma na kuajiliwa.
 
Acha siasa na wivu ....wote hao waliotajwa ktk context ya kitanzania wamefanikiwa
 
Ata kujifunza kula bagger ni maendeleo
 
Usiforce mambo ..unachoandika ni mtazamo tu.
 
Tunasoma Elimu ya wazungu ili Tuajiriwe kwetu,Hao wanafanikiwa kwa sababu wamefaulu kutumia Elimu yao ya kuzaliwa kutawala mazingira yao...
 
Halafu hao hao wanaaokutana huko UD ndo baadae wakaajiliwe na watoto waliobebwa na vipaji.....unachekesha. talents ndo ndo wealth of all time. Ww pia umeaminishwa ktk kusoma na kuajiliwa.
Mkuu elewa comment kwanza na sio kukurupuka , simshomeshi mtoto kayumba kwasababu aje kuwa na pesa bali shule za efemu akademia mtoto anakua na upeo mkubwa kuliko kayumba hivyo itamsaidia sana mtaani katika kutafuta maisha iwe kwenye kipaji,biashara au kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…