Why watu wenye mafanikio wamesoma kayumba? Samatta, Diamond, Doctors, Engineers, President etc

Why watu wenye mafanikio wamesoma kayumba? Samatta, Diamond, Doctors, Engineers, President etc

Nawaza diamond wa mbeleni anaweza toka hizi shule kweli

Nawaza magufuli wa mbeleni anaweza toka hizi shule kweli?
Brother naona Unachanganya Mambo; Kuna MAFANIKO(SUCCESS) na UMAARUFU(CELEBRITY, FAMOUS)
Sa Labda ufanye marekebisho ya Swali kwanza Ili ueleweke ulichokusudia; Lakini ni Muhimu kujua Kipimo cha mafanikio pia.
 
Nilichojifunza elimu zote za kayumba na private zinafanana kwa ubovu wake!!!zote zina mtaala wa hovyo!na mimi nakubali elim yangu ya msingi hadi Udsm ni ya hovyo!!!Hao wa international elimu yao siijui ina ubora kiasi gani kwa kua sikuisoma !!!!Japo fedha anaweza pata yeyote bila kujali kiwango cha elimu alichonacho!!!!mungu.kipaji na bahati pia vinaweza kumpa mtu mafanikio!!!NIMEAMUA WANANGU WATASOMA KAYUMBA NA WAUTUMIE UWEZO WAO WA KUZALIWA KABISA!!!!!!HIZO IST TUWAACHIE KINA MAGUFULI NA WENGINEO WENYE UWEZO!!!!
 
Tunasomesha kayumba kwakua tumeishiwa otherwise ni mazinde,st fransis ,St hellen ,kandoto,kilomeni girls anwarity nk
 
98 % ya wanafunzi wa miaka ya 90s wamesema Kayumba mbona, so bulk ya watu wengi itaangukia Huko, hata ukichukus stats za negative Kama wezi na majambazi wote wataangukia Huko, Sababu ndio portion kubwa ya population
 
Acha mawazo ya kimasikini.

Umasikini sio sifa
Shule za kimasikini watoto uwa wanajichanganya kila nyanja mitaani ndio maana ata bongo zao zinakuwa janja tofauti na hawa Broiler wa international school..

mfano hai unaweza ukawachukua watoto wawili wa kayumba na international ukawaacha mji ambao wote ni wageni kwa muda. Mtoto international atakufa njaa ila kayumba atajichanhanya na anatoka maisha apo apo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza kabisa kizazi cha watu kuwa marais ina maana wana miaka kuanzia 50+ sasa enzi hio hakukuwa na shule za private nyingi.. lakini nakwambia miaka 20 ijayo waliosoma private watakua wamejaza nafasi huko juu..

Kwanza ngalia kwa marais watano , nyerere kasoma ulaya at some point , mwinyi sifahamu , mkapa kasoma seminary ambayo ni private , Kikwete kasoma government , magu kasoma seminary akafukuzwa akaenda private school nyingine..
Nenda baraza la mawaziri waliosoma private ni wengi tu.. na hao bado ni kizazi cha zamani ambacho private schools zilikua chache.

Baada ya miaka 20 watu wa juu watakuwa wametokea private unless serikali iamue kuwa serious na shule zake.
 
Mkuu nastaajabu kuona ata tabia za ovyo za ushoga ndipo zinatokeaga kwa asilimia fulan tofaut na kuona shule za kayumba kuna shoga. Mara waali wAnawafanyia michezo mibaya watoto bad vurugu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wepi hao mkuu? Akina Kaoge, Amber Rutty, Delicious nao wamesoma international school?
 
98 % ya wanafunzi wa miaka ya 90s wamesema Kayumba mbona, so bulk ya watu wengi itaangukia Huko, hata ukichukus stats za negative Kama wezi na majambazi wote wataangukia Huko, Sababu ndio portion kubwa ya population
Hii ndio point.. miaka hio hakukuwa na private schools nyingi ndio maana wasomi wengi wamesoma government..
Hata hivyo marais wawili kati ya watano wamesoma private schools.
Magu na Mkapa.
 
Kayumba za Kulipia ila mitihani ile ile
Kwanza tukubaliane international schools ni zipi hapa bongo maana naona wengine wanataja tusiime kama international, seriously? Tukiongelea international tuwaongelee akina IST, DIA, BRAEBURN, MIS, ISM, HOPAC and the like...Tusiime sijui St.Marys ni kayumba zilizochangamka [emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ndio point.. miaka hio hakukuwa na private schools nyingi ndio maana wasomi wengi wamesoma government..
Hata hivyo marais wawili kati ya watano wamesoma private schools.
Magu na Mkapa.

Ni uongo kusema mkapa baba yake alimlipia ada ... shule za mkoloni zilikuwa under kanisa nyingi.. ndio maana hata tabora boys na pugu aliyofundisha nyerere haikuwa na jina hilo.. lilikuwa na jina la kidini . Peleleza

Labda magu na sababu kanisa lilikuwa linatoa scholarship kwa watoto wa eneo hilo ambao wamekosa nafasi goverment schools maana magu kazaliwa juzi juzi hajasoma elimu ya mkoloni.. nyerere alisoma chuo nje kwa scholarship za mkoloni na sababu hakukuwa na chuo kikuu hata kimoja Tanzania enzi zake.. Ila ni uongo kusema magu baba yake ama mama yake alimlipia ada seminary sababu apate elimu bora . Huo ni uongo.. hata hela ya kulipa ada hawakuwa nayo
 
Sina uhakika sana na hili ila kwa navyojua mimi ISM haitumii mtaala wa elimu wa hapa tz. Kwa mwenye kujua zaidi atujuze zaidi.

Suala la mafanikio ya mtu halihusiani kabisa na aliposoma, kuna ambao hawajasoma hata kayumba na wamefanikiwa sana.
Hizo international zina tumia mtaala wa cambridge
 
Wewe unaona kucheza simba au yanga nayo ni mafanikio. Watu wengi tu wamesoma international school na issues zao ni international. Sasa mtoto wa IST au ISM akafanye nini simba na yanga acha masihara na maisha ya watu bana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ni uongo kusema mkapa baba yake alimlipia ada ... shule za mkoloni zilikuwa under kanisa nyingi.. ndio maana hata tabora boys na pugu aliyofundisha nyerere haikuwa na jina hilo.. lilikuwa na jina la kidini . Peleleza

Labda magu na sababu kanisa lilikuwa linatoa scholarship kwa watoto wa eneo hilo ambao wamekosa nafasi goverment schools.. Ila ni uongo kusema magu baba yake ama mama yake alimlipia ada seminary sababu apate elimu bora . Huo ni uongo.. hata hela ya kulipa ada hawakuwa nayo
Unajuaje kama hawakua nayo.. ongea na wazee waliosoma seminary kipindi hicho kama hawakulipa ada.

Halafu hapa point sio ada point ni kusoma private vs government schools.

Kama ni ada mbona watu wengi wanasoma Feza schools bila kulipa ada.
Kuna watu wanapata full scholarship IST ?
 
Unajuaje kama hawakua nayo.. ongea na wazee waliosoma seminary kipindi hicho kama hawakulipa ada.

Halafu hapa point sio ada point ni kusoma private vs government schools.

Kama ni ada mbona watu wengi wanasoma Feza schools bila kulipa ada.
Kuna watu wanapata full scholarship IST ?

Tafuta historia ya magufuli uisome . Utapata majibu

Pia mkapa ametoa kitabu kinaitwa My life, My purpose kinunue mtandaoni usome maelezo yake mwenyewe mkapa.. safari yake ya elimu na maisha ikoje
 
Tafuta historia ya magufuli uisome . Utapata majibu

Pia mkapa ametoa kitabu kinaitwa My life, My purpose kinunue mtandaoni usome maelezo yake mwenyewe mkapa.. safari yake ya elimu na maisha ikoje
Hapa tunaongelea shule za private vs government.. mbona kuna watu wanasomea feza schools bure kabisa?
Point ni kwamba marais wawili wamesoma private schools iwe wamelipa ada wao au wamesoma bure.
 
Hapa tunaongelea shule za private vs government.. mbona kuna watu wanasomea feza schools bure kabisa?
Point ni kwamba marais wawili wamesoma private schools iwe wamelipa ada wao au wamesoma bure.

Soma uzi uelewe... Tangazo la kayumba la tv uliwahi kuliona ?

Unajua jina kayumba lilianzia wapi... je huyo kayumba alikuwa level gani?

Na wewe shule unazozibishania na kuziita kayumba ni level gani..

Nahisi neno kayumba unalitafsiri tofauti.

Rudia kusoma uzi juu uelewe topic
 
Mimi nataka tujadili swala la impact kwa jamii haswa hawa wa international na Kayumba? Sema Elimu ipo western tu na baadhi ya sehemu za Ulaya mtu akisoma nordic countries na Let say US au Canada aisee anarudi amefunguka sana na the way atakavyo iona dunia ni tofauti na Graduate Wa UDSM, UDOM au St Joseph mimi sioni utofàuti wa vyuo vya hapa ndani mana exposure still ni ndogo nimepiga story na baadhi ya studendts wa vyuo vya ndani ni almost the same ufikiri wao, Ila hemu sogea tu upige story hata na dogo wa high school international basi anakuwa kapunuka sana kimawazo
Nimewahi zama dormitories za chuo fulani kikubwa tu nkakuta madogo wanacheki ma movies ya kutafsiriwa kwa kiswahili
 
Hapa Tanzania kuna shule za aina nyingi: INTERNATIONAL SCHOOLS kama vile, International school of Tanganyika humu ada ni mil 33 pre-school mpka mil 65 high school mdugu zake ni kina DIA , IIS, MIS ada mil 17 humu , kina st Constantine humu ada mil 22 - 60 high school ... hizo shule ni za wafanyabiashara hata wanasiasa hawapeleki watoto humu...hua ni wachache sana na wakimaliza hawafanyi kazi utumishi wa UMMA HAWA ...
GROUP NAMBA 2 :: FEZA BOYS AND GIRLS , na baadhi ya st Marry's humu ndio wamejaa watoto wa wanasiasa na matajiri wale wakina Andrew Chenge
GROUP NAMBA 3: ndio wapo kina Tusiime ,,st Francis .. Marian girls ( ada yao ndogo hawa usiogope )... jumlisha private zoote ikiwemo ile walioua Mwanafunzi nimeisahau jina
GROUP NAMBA 5 ... hapa zinaanguakia shule za seminary jumlisha mashule ya kiislam hayana gharama
GROUP NAMBA 6... hapa unakutana na mtakatifu KAYUMBA ( huku ile Darwinism theory SURVIVE FOR THE FITTEST ina apply vilivyo huku sasa ndio changanyikeni maskini wote unaowajua wapo huku... kutoka ni ngumu sana ndio mana wengi unaowajua waliotoka humu sio watu wakawaida anaweza akawa na PHD alafu kingereza hajui kuongea ukienda kumchungulia kwenye matokeo yake unaambiwa aliacha historia hapa haijawahi kuvunjwa...
N.B hivyo vigezo ni kulingana na Ada na mitaala inayotumika sio ufaulu ( performance) mana kuna za vipaji maalumu nazo huwezi kuziita ni mtakatifu Kayumba mana hazina vigezo ( mt Kayumba amejengwa na kuanzia 1996)
 
Back
Top Bottom