Embu nipe mihtasar kafanyaje tena MN mzee mwenzangu unataka kuingia jaribuni
Ha ha ha ha ha umuhmu wetu ni mkubwa kuliko wanavyofikiria acha atoe ya moyon tuMiss Natafuta kasema eti anatupenda sana wanaume, eti bila sisi yeye si kitu na atafanya kila aliwezalo wanaume tudumu duniani.
ahahaaaa ukiona hivo ujue kuna simba ana njaa mahali nataka kumfurahishaMaana yake ni kwamba, ukiona choo ndotoni ukakitumia, akitoka usingizini utakuta umejichafua.
Nikihusianisha na wewe kutwambia eti unatupenda wakati huwa unasema ukikuta simba anamjeruhi mwanaume unaongezea tomato sauce, sasa leo useme unatupenda tujichanganye kukutokea kumbe una lako unataka kutufanyia, mimi hapana aisee.
kwani mimi siwapendi wanaume jamani?Miss Natafuta kasema eti anatupenda sana wanaume, eti bila sisi yeye si kitu na atafanya kila aliwezalo wanaume tudumu duniani.
tulia utavunja ndoa za watuasante shemela la shemeji ! ila umeniudhi hapo ulipomtaja Nifah unajua wivu sina ila moyo unauma !
wanawake ni kweli tuna mchango mkubwa sana katika dunia ila ninaamini pasipo mwanaume pia hakuna lolote tunaweza kufanya .mwanamke na mwanaume ni special pair ambayo ni Ngumu kuitenganisha katika hii dunia.tunawapenda sana wanaume na tutazidi kuwaenzi katika kuifanya dunia iwe nzuri. upendo mwingi sana kwa wanaume wote duniani
[emoji1] [emoji1] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Umenikumbusha wale Bonie & Clyde 'original'
Hahahahaaaaaa
eti shem wangu mimi nina roho mbaya?Siku hizi naona umebadilika,Mungu aendelee kumpa nguvu huyo anayekubadilisha.
Amen
sijawai kuona mahari mimitulia utavunja ndoa za watu
Huyo uliyemquote ni Nifah.. Namuita Nifah Shem [emoji1] [emoji1] [emoji23]eti shem wangu mimi nina roho mbaya?
hahahahaha safi sanaHahahaah!! She deserve it.. Wala sio limbwata.. Huyu mtoto makhaba aliyonayo kwangu aisee.. Wacha tu nidate.. Maana anaipenda mpaka naogopa [emoji1]
Unamuita Nifah Shem??eti shem wangu mimi nina roho mbaya?
Ina maana hikuwepo juzi kati ilivyoletwa hela ya barua??sijawai kuona mahari mimi
ahaaa sory mnatuchanganya jamani . hadi chupi mtakuwa mnavaliana eeh natamani na mimi nivae boxer ya mtuUnamuita Nifah Shem??
Huyo umemquote Nifah [emoji23] [emoji23] [emoji1]
unamgegeda tu ndugu yetu bure .jiongeze bnaIna maana hikuwepo juzi kati ilivyoletwa hela ya barua??
heeee hii couple matata sana mungu awasimamieAwwwwwwwww thank you baby,asante kwa kunipenda namna hii The bold wangu.
Unanipenda hadi naona kweli napendwa haswaaaa.
Kama nikuambiavyo,sijawahi kupendwa kama unipendavyo wewe darling.
Mapenzi yako kwangu ni ya level ya juu kabisa.
Kama kuna vitu ambavyo sikuwahi kuwa navyo kabla basi ni wewe mpenzi wangu.
Mungu amenijaalia vingi,ila sikudhani kama kuna kitu alininyima hadi ulipokuja katika maisha yangu.
Ujio wako ktk maisha yangu umebadili kila kitu.
Nayapenda na kuona thamani ya maisha yangu sababu ya uwepo wako wewe.
Asante kwa kuendelea kuwa nami hata baada ya yale yote uambiwayo kunihusu mimi.
Ni mengi mnooo,hadi kuna wakati nahofia utakata tamaa uachane nami ila ajabu ni kwamba wewe ndio huwa unanifariji na kunisisitiza unanipenda sana and nothing can tear us apart.
Namshukuru Mungu kwa ajili yako The bold.
Nakuahidi kukupenda milele,nitakuwa rafiki,mpenzi,mke na mama bora kwa familia because you are the man I will marry
I love you [emoji8]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ahaaa sory mnatuchanganya jamani . hadi chupi mtakuwa mnavaliana eeh natamani na mimi nivae boxer ya mtu
hahahahahaunamgegeda tu ndugu yetu bure .jiongeze bna
Tatizo mnataka ng'ome sabini.. Sasa usawa wa bashite ng'ombe sabini labda niwaumbewenyewe.!!unamgegeda tu ndugu yetu bure .jiongeze bna