WID: Dear Women...

ahahaaaa ukiona hivo ujue kuna simba ana njaa mahali nataka kumfurahisha
 
tulia utavunja ndoa za watu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Umenikumbusha wale Bonie & Clyde 'original'
Hahahahaaaaaa
[emoji1] [emoji1] [emoji23]

Natamani niiweke stori yao hapa siku moja
 
heeee hii couple matata sana mungu awasimamie

shkamoo jf kwa kuwaunganisha ............viva jf

mkataeni shetani maana huwa anavizia muda wote aharibu god bless you

hayo maneno hapo juu uliyomwandikia the bold ni matamu sipati picha ukiwa huko pembeni unakuwaje hapo hapindui ng'ooo safi
 
ahaaa sory mnatuchanganya jamani . hadi chupi mtakuwa mnavaliana eeh natamani na mimi nivae boxer ya mtu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Cheupe angalia MN anachosema [emoji23]
 
unamgegeda tu ndugu yetu bure .jiongeze bna
Tatizo mnataka ng'ome sabini.. Sasa usawa wa bashite ng'ombe sabini labda niwaumbewenyewe.!!

Subirini najichanga, lazima nifanye halal.. Huyu mtoto wenu siwezi kumpoteza aisee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…