Wife afuma Underwear kwa Gari...

Wife afuma Underwear kwa Gari...

Kwny gari mnavua chupi yann sasa...unaisogeza pembeni unaiwekea loki kwny shavu la K
 
Habari zenu waungwana,
Nina kisa leo kimetokea kidogo kitoe taharuki mtaani,
Nina jirani yangu amekutwa na mkasa,jana alitoka na gari yake,
Akiwa mtaani akapiga demu kwa gari,demu akaacha nguo yake ya ndani,
Mshikaji sababu alilewa sana,akasahau hata kuchungulia ndani ya gari,
Wife kaamka kapekua,kutana na kitu aisee,
Wife kamwambia mambo ya kitandani na wewe tena basi,tulee watoto finish
Jamaa anawaza afanyeje,atokeje
Ushauri kama upo.
ujue waive akishasema ivo na yeye kuna mahali kaacha underwear, hivyo na yeye anapahali pakukatia kiu yake,ngoma droo
 
hili jibu lako simchezo,wife kaapa,na yeye atatafuta wa kumpoza

Amwache atafute wa kwake wa kumpoza. Maana ndoa za siku hizi ni za mashindano ukimwaga ugali mi namwaga mboga. Na hao wake zenu wa kisasa wanavyo jua kujitengeneza basi looh anatongozeka vizuri na kirahisi. Ni kuomba Mungu sana at the end of the day watoto ndio wahanga wakubwa
 
Habari zenu waungwana,
Nina kisa leo kimetokea kidogo kitoe taharuki mtaani,
Nina jirani yangu amekutwa na mkasa,jana alitoka na gari yake,
Akiwa mtaani akapiga demu kwa gari,demu akaacha nguo yake ya ndani,
Mshikaji sababu alilewa sana,akasahau hata kuchungulia ndani ya gari,
Wife kaamka kapekua,kutana na kitu aisee,
Wife kamwambia mambo ya kitandani na wewe tena basi,tulee watoto finish
Jamaa anawaza afanyeje,atokeje
Ushauri kama upo.

Muombe msamaha tu ndugu yangu maana hicho ulichokifanya siyo. BTW nenda kapime ngoma kwanza.

Halafu siku ingine ukija kuomba ushauri ujiweke wazi kuwa ni wewe kwa sababu ID uliyonayo ni feki hatuwezi kukutambua
 
Muombe msamaha tu ndugu yangu maana hicho ulichokifanya siyo. BTW nenda kapime ngoma kwanza.

Halafu siku ingine ukija kuomba ushauri ujiweke wazi kuwa ni wewe kwa sababu ID uliyonayo ni feki hatuwezi kukutamb
ujue waive akishasema ivo na yeye kuna mahali kaacha underwear, hivyo na yeye anapahali pakukatia kiu yake,ngoma droo
tit for tat its a fair game
 
Muombe msamaha tu ndugu yangu maana hicho ulichokifanya siyo. BTW nenda kapime ngoma kwanza.

Halafu siku ingine ukija kuomba ushauri ujiweke wazi kuwa ni wewe kwa sababu ID uliyonayo ni feki hatuwezi kukutambua
ehehe mkuu acha ku-assume hivyo
 
Habari zenu waungwana,
Nina kisa leo kimetokea kidogo kitoe taharuki mtaani,
Nina jirani yangu amekutwa na mkasa,jana alitoka na gari yake,
Akiwa mtaani akapiga demu kwa gari,demu akaacha nguo yake ya ndani,
Mshikaji sababu alilewa sana,akasahau hata kuchungulia ndani ya gari,
Wife kaamka kapekua,kutana na kitu aisee,
Wife kamwambia mambo ya kitandani na wewe tena basi,tulee watoto finish
Jamaa anawaza afanyeje,atokeje
Ushauri kama upo.
Wanaume oyeeeeee
 
Habari zenu waungwana,
Nina kisa leo kimetokea kidogo kitoe taharuki mtaani,
Nina jirani yangu amekutwa na mkasa,jana alitoka na gari yake,
Akiwa mtaani akapiga demu kwa gari,demu akaacha nguo yake ya ndani,
Mshikaji sababu alilewa sana,akasahau hata kuchungulia ndani ya gari,
Wife kaamka kapekua,kutana na kitu aisee,
Wife kamwambia mambo ya kitandani na wewe tena basi,tulee watoto finish
Jamaa anawaza afanyeje,atokeje
Ushauri kama upo.
Malipo ni hapa hapa Duniani
 
Back
Top Bottom