Wife alipotakwa na Dean of Faculty...

Wife alipotakwa na Dean of Faculty...

Mkuu ni wewe nini umeamua tu kumsemea msela wako
 
KAKA RAMOS
kwa jinsi hii story ilivyo huyo jamaa yako na prof lao ni moja na inawezekana huyo jamaa kamtoa sadaka mkewe ili alambe hiyo master,
kama si kweli bac dawa sahii kabis aya huyo Prof ni hii

JAMAA INABIDI AMWAMBIE MKEWE AMKUBALIE PROF NA KISHA WAENDE GUEST NA WAKISHAFIKA HUKO JAMAA INABIDI AFUMANIE NA KISHA AMLE KIBOGA HUYO PROF NA HUKU PICHA ZAPIGWA, BAADA YA HAPO AMWAMBIE KABISA HUYO PROF AKIMDISCO YEYE AU MKEWE BASI HIZO PICHA ATAZIWEKA ADHARANI NA KWENYE MITANDAO, HILO BONGE LA DAWA, UMWAMBIE ASISAHAHU KUTUMIA NDOMU
 
Hajamalizia story, lakini namwona mshkaji ka mdebwedo flani. Ishu kama hii alivyoipeleka sivyo kabisa.
 
Alaumiwe mwanamue wa huyo mke kwa kuchelewa na kuentatein ngono ya mawasiliano.
Cha msingi achukue hatua sahihi na si kwenda kwa DVC pekee.
Au labda hii ni story ya kutungwa.

huwezi ukauliza namna ya kulinda shamba lako lisiliwe na wanyama waharibifu. akili mu kichwa.

"Mama gimme my gun"
 
kudadeki ingenitokea mie nisingejali kuwa uwa ni dean au nn ningemnyonya mavi walahi. Chezea taasisi zote lakini si my wife wangu naweza nikafanya maajabu mabaya sana na nikaozea Segerea
 
Duh! Ningekuwa mimi ningeenda nikamfanya Kitu Mbaya sana, nasema sana na siku zote angebaki kuniheshimu na kujutia Uamuzi wake wa Kikware. Jamani Msicheke na watu wanajaribu kuchezea hizi Ndoa Takatifu ohoooo. Ramos Muibukie huyo Dean na Umwambie kama ataendelea basi utakula naye sahani moja, tena Mfuate Ofisini Kwake
 
Back
Top Bottom