Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
- Thread starter
- #41
mmh sijawai sikiaHata bleed ikikaribia maziwa yansuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmh sijawai sikiaHata bleed ikikaribia maziwa yansuma
andaa nepi bro, mambo yameiva hapo. na punguza kichapo isijeharibike.Wife maziwa yanamuuuma hata vile vichuchu ndo usiseme hata ikiguswa na nguo. Shida itakua nn kwa wakongwe au kina dada.
Status:
Hajawai kuzaa
Hajawahi shika mimba
Hanyonyeshi
Hajawai kua na hilo tatizo
oyoooooooo ikawe hivo mkuuandaa nepi bro, mambo yameiva hapo. na punguza kichapo isijeharibike.
sawaHomony balance.
Ni kwa sababu ya kutokuzaa.sawa
Ungekuwa na elimu usingeuliza humuumekalia uzinzi elimu huna
Balehe ya tatu hiyoWife maziwa yanamuuuma hata vile vichuchu ndo usiseme hata ikiguswa na nguo. Shida itakua nn kwa wakongwe au kina dada.
Status:
Hajawai kuzaa
Hajawahi shika mimba
Hanyonyeshi
Hajawai kua na hilo tatizo
Kuna kitu umetufichaWife maziwa yanamuuuma hata vile vichuchu ndo usiseme hata ikiguswa na nguo. Shida itakua nn kwa wakongwe au kina dada.
Status:
Hajawai kuzaa
Hajawahi shika mimba
Hanyonyeshi
Hajawai kua na hilo tatizo
hayaKuna kitu umetuficha
Halali ujiite evil spirit 🫢🫢🤣🤣😎Itakuwa wachawi wanazichezea sana
Ni hormones tuWife maziwa yanamuuuma hata vile vichuchu ndo usiseme hata ikiguswa na nguo. Shida itakua nn kwa wakongwe au kina dada.
Status:
Hajawai kuzaa
Hajawahi shika mimba
Hanyonyeshi
Hajawai kua na hilo tatizo
Mpe ushauri afanyaje sasaNi hormones tu
Aende hospital akaonane Na gynecologistMpe ushauri afanyaje sasa