Calfonia loveMi nipo mkoani
Mama anaupiga mwingi sana.Angalau ukiondoa hili janga la covid III mama kwakweli anakwenda vizuri na mitaani zimeanza kuonekana kidogokidogo na juzi niliona anarudisha leseni za wenye maduka ya kubadili fedha.
Hakika huyu tumuombee kwa mwenyezi mungu azidi kumuongoza ktk majukumu yake mazito na hasa katika kuturudisha kwenya maisha
Ulimbukeni wa Dar! Dar kuna nini?Nadhani wewe ndo utakuwa mwanamke mwanaume hawezi andika upumbavu kama huu. Mambo mengine mwishowe tunakuja onekana wote tunaokaa Dar ni nyumbu kama wewe. Kichwa usiwe unafugia nywele tu
Kabisa.Nchi ilipitishwa kwenye mikono ya chumaulete... Mungu ni mwema tumefanikiwa kuikata...!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji4]wote Tumesoma na tumeajiriwa.JF kila mtu kaoa na kuolewa hakuna single wala bachela.
Kila mtu ana hela,gari,nyumba kali
[emoji23][emoji23][emoji4]wote Tumesoma na tumeajiriwa.
Mungu ni mwema!Nchi ilipitishwa kwenye mikono ya chumaulete... Mungu ni mwema tumefanikiwa kuikata...!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
hakika mkuuNchi ilipitishwa kwenye mikono ya chumaulete... Mungu ni mwema tumefanikiwa kuikata...!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Take easy with life. Take even easier with IF.JF kila mtu kaoa na kuolewa hakuna single wala bachela.
Kila mtu ana hela,gari,nyumba kali