Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nione wivu kwa mtu anaetumikishwa?Wakati anafua nilikuwepo na wakati anatoa 5000 niliiyona.Acha wivu,afu pia vingine tunashea cha kwako ni pekee ni kaburi
Niko ndoa ya 2huwezi olewa milele
Bila kusahau kusoma Ulaya.JF kila mtu kaoa na kuolewa hakuna single wala bachela.
Kila mtu ana hela,gari,nyumba kali
Lala na pochi yakoWewe unasubiri masalia ya kwenye nguo za kufua, wenzio wanafanya timing kwenye wallet. Kwa sasa tunapata wakati mgumu kuhifadhi pesa kwenye wallet, kila ukicheki wallet asubuhi unahisi kama imelegea hivi. Kumbe kuna kiasi kadhaa kimeshachomolewa kupeleka sadaka kwa mchungaji.
Wanaume tunapigwa kila mahala aisee. Tukizeeka napo ni shida, mama anapewa milioni kwa kificho wewe unaachiwa buku 50, na kama kuna nafasi ya kwenda daresalamu au ulaya tiketi inayotumwa ni ya mama pekee.
Mimi sina vyote hivyoJF kila mtu kaoa na kuolewa hakuna single wala bachela.
Kila mtu ana hela, gari, nyumba kali
Ukilala na pochi napo utasemwa maneno yote, hadi kuambiwa pesa unampa mchepuko.....Lala na pochi yako
Maisha sasa ni mepesi, vitu bei chini, mafuta sawa na bure, daladala nauli sh 100, sheria zinatekelezwa kila kona nchi!Nchi ilipitishwa kwenye mikono ya chumaulete. Mungu ni mwema tumefanikiwa kuikata!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe ndiye 'wife' mwenyewe?Hatimaye 5,000 imeonekana wakati wife anafua.
Miaka ya nyuma ilikua wakati wa kufua masalia ya hela yanaonekana mtu anapokagua kabla hajafua.
Kwa Mara ya mwisho hali hii ilitokea 2015. Hela sasa imeanza kuonekana sio siri.
Kwa upande wangu kwa miaka 5 kun'guta na toa mifuko ilikua hukuti masalia ya hela wakati wa kufua.
Hatimaye leo 5,000 imeonekana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aina hii ya uandishi hinifutia stress sana, mungu vile.Siwezi kufua nguo za mtu mimi. Mkeo ana moyo. Huo muda si angefanya mambo ya maana
Mwanamke unapumzika wkend badala ugegedwe unaanza kujifulisha mwanaume anaenda zake nje kutafuta k
Watu wa kufua mtaani hata buku 2 unapata toeni ajira msave ndoa
Samia aongezewe mitanoMitano tena