Wife kaninunia kisa hiki

Wife kaninunia kisa hiki

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Habari wakuu

Wiki iliyopita wife alipata dharura kidogo akaenda kwao kwa ajili ya issue za kifamilia. Sasa huku nyuma aliniacha mimi nikiwa na nywele sehemu za siri nyingi balaa. Nikaona isiwe tabu alivyoondoka nikajifanyia usafi nikajinyoa mwenyewe (ikumbukwe wife huwa anapenda kuninyoa mwenyewe).

Sasa amerudi akaniona nimejinyoa, akaniuliza kulikoni niondoke ndio ujinyoe? Nikamjibu tu niliona yananiwasha. Hakuniamini, akaanza kulia eti anasema nilikua na mwanamke mwingine ndio maana nikayanyoa, nimemuelewesha ila haelewi.

So wakuu, hii kesi naisolve vipi?
 
Siku nyingine ikitokea hayupo chukua video wakati unajinyoa alafu mrushie ili ajiridhishe......

Kwa sasa huna cha kufanya zaidi ya wewe kuendelea na habari zako.....atanuna na ataongea mwenyewe......


NB;
Vijana kuweni makini na mambo mnayowazoesha wake zenu wakati mwingine huwa ni kifungo chenu bila kujijua......
 
Namuunga mkono wife wako...

Ana akili, na anafahamu mazoea hujenga tabia...

Nawe ulishazoea kunyolewa vuzi na mke wako... hiyo ikakujengea tabia!

Acha kujichekesha chekesha hapa... MWAMBIE UKWELI NI NANI KAKUNYOA MAVUZI!!

Wife ake na Kyanyangwe, kama unanisoma, usimwachie huyu jamaa!! Kanyonyelewa vuzi huyu, na vuzi halinyolewi salon, kwahiyo mwambie kanyolewa wapi, na nani kamnyoa!!

Kama anakuambia kajinyoa mwenyewe, usikubali mwambie akuoneshe picha!!
 
dunia ina mambo, ukistaajabu ya mbowe. utayaona ya ndugai.
 
Back
Top Bottom