Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wala hatajali hata usokote dredi 😁Bado ni mapema anastahili kufanya hivo, itafika kipindi hata ukinyoa hatanotice
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Weka picha ya mliaji upewe muongozo...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwani umenyoaje?
kama ni kama airport una maelezo ya kutoa.
kama hakutamaniki kupo kama kuku alienyonyolewa na maji ya baridi basi kausha tu, hapo bila shaka umejinyoa mwenyewe
Umri wa mkeo TafadhariHabari wakuu
Wiki iliyopita wife alipata dharura kidogo akaenda kwao kwa ajili ya issue za kifamilia.
Sasa huku nyuma aliniacha mimi nikiwa na mavuzi mengi balaa. Nikaona isiwe tabu alivyoondoka nikajifanyia usafi nikajinyoa mwenyewe (ikumbukwe wife huwa anapenda kuninyoa mwenyewe).
Sasa amerudi akaniona nimejinyoa,akaniuliza kulikoni niondoke ndio ujinyoe? Nikamjibu tu niliona yananiwasha. Hakuniamini, akaanza kulia eti anasema nilikua na mwanamke mwingine ndio maana nikayanyoa, nimemuelewesha ila haelewi.
So wakuu, hii kesi naisolve vipi?
Hizi ndoa hizi 😎wala hatajali hata usokote dredi 😁
Wewe si ni mwanamke??. Vipi hujawahi kulia na kugaragara?.Ila wanawake wanaopenda kujiliza liza huwa siwaelewi.
Kuna mmoja hapa jana aligaragara chini, mwili mzima michanga, eti kaliaaaa hadi mashetani yamempanda, sababu ya yote hayo kashika simu ya mume wake kakuta anachat na mchepuko.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Yarudishe tu mkuu, isiwe tabu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Chui jike ana kazi sana kuongoza watanzania hasa sisi wa bara.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aloooo noma Sana [emoji23][emoji1430]Daah watu mnanyoana hadi mavuzi! Basi kwenye mapenzi bado niko kindagateni[emoji24]
[emoji16][emoji16]Ukute alikuwa anajifunzia kusuka nywele.
Dunia ina mambo sanaaaaIla wanawake wanaopenda kujiliza liza huwa siwaelewi.
Kuna mmoja hapa jana aligaragara chini, mwili mzima michanga, eti kaliaaaa hadi mashetani yamempanda, sababu ya yote hayo kashika simu ya mume wake kakuta anachat na mchepuko.
24 yrsUmri wa mkeo Tafadhari
Kuna siku usiku alikuwa amelala mchepuko alipiga simu, baadae ikafuatiwa meseji ya malavidavi.Sasa aunt wee huliagi vile uncle akizingua? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila wanawake wanaopenda kujiliza liza huwa siwaelewi.
Kuna mmoja hapa jana aligaragara chini, mwili mzima michanga, eti kaliaaaa hadi mashetani yamempanda, sababu ya yote hayo kashika simu ya mume wake kakuta anachat na mchepuko.
Yaani nimecheka sana aiseeeeeeHahahhaaaaa sijui wanapata wapi huo muda aisee
Kuna siku usiku alikuwa amelala mchepuko alipiga simu, baadae ikafuatiwa meseji ya malavidavi.
Nikamuacha amelala.
Akashtuka nikampa simu yake umepigiwa simu na "babe wako" macho yakamtoka akanipokonya simu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti usiku kucha ananipapasa macho kama natoa machozi, kila dakika ananiamsha vipi mke wangu.
Nikiwa kimya ananipaasa macho [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nadhani alifikiri nitalia.