reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
[emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yarudishe tu mkuu, isiwe tabu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yarudishe tu mkuu, isiwe tabu.
[emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28]This is BONGO bwana
jitu zima linalilia vuzi daah
Mkuu hebu fanya kunifinyia namba yake kistaili nikusaidue kuweka mambo vizuri chap..Habari wakuu
Wiki iliyopita wife alipata dharura kidogo akaenda kwao kwa ajili ya issue za kifamilia. Sasa huku nyuma aliniacha mimi nikiwa na nywele sehemu za siri nyingi balaa. Nikaona isiwe tabu alivyoondoka nikajifanyia usafi nikajinyoa mwenyewe (ikumbukwe wife huwa anapenda kuninyoa mwenyewe).
Sasa amerudi akaniona nimejinyoa, akaniuliza kulikoni niondoke ndio ujinyoe? Nikamjibu tu niliona yananiwasha. Hakuniamini, akaanza kulia eti anasema nilikua na mwanamke mwingine ndio maana nikayanyoa, nimemuelewesha ila haelewi.
So wakuu, hii kesi naisolve vipi?
Watu kama hawa hata show za kawaidaMpige show moja matata
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji3][emoji16][emoji3][emoji16][emoji3][emoji16][emoji3][emoji16][emoji3][emoji16][emoji3][emoji16][emoji3][emoji16][emoji3][emoji3][emoji16] hatar saanaYarudishe tu mkuu, isiwe tabu.
Hapa umeandika nini mkuu?Yaniiwmanamke anakupanhiapaka kinyo mavuzi? Mnajua kupenda aise Kwanza Mimi nilijifundisha kujitegemea tokea mdogo nafanya usafi wangu mwenyewe na sihiyaji msaada was mke
Sent from my MI PLAY using JamiiForums mobile app
Avae wigi!Yarudishe tu mkuu, isiwe tabu.
Ndoa ni jela ya kujitakia. Yaani hata kujinyoa inakiwa nongwa!!?Dunia ina mengi sana
hii ipeleke kanisaniHabari wakuu
Wiki iliyopita wife alipata dharura kidogo akaenda kwao kwa ajili ya issue za kifamilia. Sasa huku nyuma aliniacha mimi nikiwa na nywele sehemu za siri nyingi balaa. Nikaona isiwe tabu alivyoondoka nikajifanyia usafi nikajinyoa mwenyewe (ikumbukwe wife huwa anapenda kuninyoa mwenyewe).
Sasa amerudi akaniona nimejinyoa, akaniuliza kulikoni niondoke ndio ujinyoe? Nikamjibu tu niliona yananiwasha. Hakuniamini, akaanza kulia eti anasema nilikua na mwanamke mwingine ndio maana nikayanyoa, nimemuelewesha ila haelewi.
So wakuu, hii kesi naisolve vipi?
Simple , yarudishe hayo manywele sehemu yake.Habari wakuu
Wiki iliyopita wife alipata dharura kidogo akaenda kwao kwa ajili ya issue za kifamilia. Sasa huku nyuma aliniacha mimi nikiwa na nywele sehemu za siri nyingi balaa. Nikaona isiwe tabu alivyoondoka nikajifanyia usafi nikajinyoa mwenyewe (ikumbukwe wife huwa anapenda kuninyoa mwenyewe).
Sasa amerudi akaniona nimejinyoa, akaniuliza kulikoni niondoke ndio ujinyoe? Nikamjibu tu niliona yananiwasha. Hakuniamini, akaanza kulia eti anasema nilikua na mwanamke mwingine ndio maana nikayanyoa, nimemuelewesha ila haelewi.
So wakuu, hii kesi naisolve vipi?