Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Yaani nimecheka sana aiseeeeee
Mavuzi siyo yake anayalilia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Labda kuna kazi huwa anayafanyia
Sasa husband kakatisha mchakato
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani nimecheka sana aiseeeeee
Mavuzi siyo yake anayalilia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna vitu vinachekesha mno.Kuku wako mwenyewe manati ya nini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wenzako mpk hua wanaambiwa chuchumaa hapo nikutawaze.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aloooo noma Sana [emoji23][emoji1430]
Na akinuna alafu achelewe kurudi nyumbani akirudi asile mwanamke lazima akili zirudi sikuizi vijana wamekuwa wanawake kabisa ishu ndogo kama iyoo unashindwa solveNa wewe nuna hakuna namna
Utoto gani?Utoto unawasumbua
Malizia story.ikawaje?Kuna siku usiku alikuwa amelala mchepuko alipiga simu, baadae ikafuatiwa meseji ya malavidavi.
Nikamuacha amelala.
Akashtuka nikampa simu yake umepigiwa simu na "babe wako" macho yakamtoka akanipokonya simu 🤣🤣🤣🤣 eti usiku kucha ananipapasa macho kama natoa machozi, kila dakika ananiamsha vipi mke wangu.
Nikiwa kimya ananipaasa macho 🤣🤣🤣🤣 nadhani alifikiri nitalia.
Habari wakuu
Wiki iliyopita wife alipata dharura kidogo akaenda kwao kwa ajili ya issue za kifamilia.
Sasa huku nyuma aliniacha mimi nikiwa na mavuzi mengi balaa. Nikaona isiwe tabu alivyoondoka nikajifanyia usafi nikajinyoa mwenyewe (ikumbukwe wife huwa anapenda kuninyoa mwenyewe).
Sasa amerudi akaniona nimejinyoa,akaniuliza kulikoni niondoke ndio ujinyoe? Nikamjibu tu niliona yananiwasha. Hakuniamini, akaanza kulia eti anasema nilikua na mwanamke mwingine ndio maana nikayanyoa, nimemuelewesha ila haelewi.
So wakuu, hii kesi naisolve vipi?
Kuna njia nyingine mkuu yakutumia petrol na kibiriti,badala yakunyoa unayachomaHabari wakuu
Wiki iliyopita wife alipata dharura kidogo akaenda kwao kwa ajili ya issue za kifamilia.
Sasa huku nyuma aliniacha mimi nikiwa na mavuzi mengi balaa. Nikaona isiwe tabu alivyoondoka nikajifanyia usafi nikajinyoa mwenyewe (ikumbukwe wife huwa anapenda kuninyoa mwenyewe).
Sasa amerudi akaniona nimejinyoa,akaniuliza kulikoni niondoke ndio ujinyoe? Nikamjibu tu niliona yananiwasha. Hakuniamini, akaanza kulia eti anasema nilikua na mwanamke mwingine ndio maana nikayanyoa, nimemuelewesha ila haelewi.
So wakuu, hii kesi naisolve vipi?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ukute alikuwa anajifunzia kusuka nywele.