Wife kaninunia kisa hiki

Wife kaninunia kisa hiki

Kuna siku usiku alikuwa amelala mchepuko alipiga simu, baadae ikafuatiwa meseji ya malavidavi.
Nikamuacha amelala.
Akashtuka nikampa simu yake umepigiwa simu na "babe wako" macho yakamtoka akanipokonya simu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti usiku kucha ananipapasa macho kama natoa machozi, kila dakika ananiamsha vipi mke wangu.
Nikiwa kimya ananipaasa macho [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nadhani alifikiri nitalia.
Kumbe ulishakuwa sugu kama goti punda[emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: amu
Huwezi ukanyoa mwenyewe? Na wewe unamnyoa? Na kama unamyoa chunga usikate sehemu nyeti.
 
Naomba namba yake ya simu ili nimpe consultation mkuu. Baada ya hapa she won't be the same mkuu.
 
Habari wakuu

Wiki iliyopita wife alipata dharura kidogo akaenda kwao kwa ajili ya issue za kifamilia. Sasa huku nyuma aliniacha mimi nikiwa na nywele sehemu za siri nyingi balaa. Nikaona isiwe tabu alivyoondoka nikajifanyia usafi nikajinyoa mwenyewe (ikumbukwe wife huwa anapenda kuninyoa mwenyewe).

Sasa amerudi akaniona nimejinyoa, akaniuliza kulikoni niondoke ndio ujinyoe? Nikamjibu tu niliona yananiwasha. Hakuniamini, akaanza kulia eti anasema nilikua na mwanamke mwingine ndio maana nikayanyoa, nimemuelewesha ila haelewi.

So wakuu, hii kesi naisolve vipi?

IMG_0570.jpg
 
Ila wanawake wanaopenda kujiliza liza huwa siwaelewi.
Kuna mmoja hapa jana aligaragara chini, mwili mzima michanga, eti kaliaaaa hadi mashetani yamempanda, sababu ya yote hayo kashika simu ya mume wake kakuta anachat na mchepuko.

amu mbona na wewe uliwai galagala pale.......
 
Habari wakuu

Wiki iliyopita wife alipata dharura kidogo akaenda kwao kwa ajili ya issue za kifamilia. Sasa huku nyuma aliniacha mimi nikiwa na nywele sehemu za siri nyingi balaa. Nikaona isiwe tabu alivyoondoka nikajifanyia usafi nikajinyoa mwenyewe (ikumbukwe wife huwa anapenda kuninyoa mwenyewe).

Sasa amerudi akaniona nimejinyoa, akaniuliza kulikoni niondoke ndio ujinyoe? Nikamjibu tu niliona yananiwasha. Hakuniamini, akaanza kulia eti anasema nilikua na mwanamke mwingine ndio maana nikayanyoa, nimemuelewesha ila haelewi.

So wakuu, hii kesi naisolve vipi?
Sasa kama kila yakiuta anayanyoea yeye kwa nini ulifanya hivyo? Wakati anaondoka kwa nini hukumwambia akunyoe?
 
Kuna siku usiku alikuwa amelala mchepuko alipiga simu, baadae ikafuatiwa meseji ya malavidavi.
Nikamuacha amelala.
Akashtuka nikampa simu yake umepigiwa simu na "babe wako" macho yakamtoka akanipokonya simu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti usiku kucha ananipapasa macho kama natoa machozi, kila dakika ananiamsha vipi mke wangu.
Nikiwa kimya ananipaasa macho [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nadhani alifikiri nitalia.

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]huyu mwanaume hana aibu yani ana msaliti mbeauty kama amu jamani ....
 
kweli kazi imo tanzania hi yetu, na ndio sababu sisi ndio kwa sasa weye uchumi mkubwa duniani, sijui ni kazi ya kufanya hatuna au nini
 
Back
Top Bottom