Namuunga mkono wife wako...
Ana akili, na anafahamu mazoea hujenga tabia...
Nawe ulishazoea kunyolewa vuzi na mke wako... hiyo ikakujengea tabia!
Acha kujichekesha chekesha hapa... MWAMBIE UKWELI NI NANI KAKUNYOA MAVUZI!!
Wife ake na Kyanyangwe, kama unanisoma, usimwachie huyu jamaa!! Kanyonyelewa vuzi huyu, na vuzi halinyolewi salon, kwahiyo mwambie kanyolewa wapi, na nani kamnyoa!!
Kama anakuambia kajinyoa mwenyewe, usikubali mwambie akuoneshe picha!!