Wife kanizidi kipato lakini kila wiki lazima aniombe elfu 20 ya kusukia

Wife kanizidi kipato lakini kila wiki lazima aniombe elfu 20 ya kusukia

Umeoa takataka yaani wewe wakati wenzako wanaoa ili wafanikiwa wewe uneoa ili ufe mapema .

Nani asiyejua majukumu ya mwanamke wa kiafrica???
Nani asiyejua majukumu ya mwanaume wa kiafrica??

Shida ni kwamba mwanamke anayefanya kazi hawezi kufanya majukumu yake yote hiyo ni ipo hivyo sasa mwanaume hapaswi kulalamika sababu mke Anatoa support kifedha kwenye majukumu ambayo ofcourse sio yake ni ya mwanaume...hiyo ni kubalance the fact that hawezi fanya majukumu yake ipasavyo akiwa na kazi


Mwanamke anayefanya kazi hawezi kuamka sa 10 usiku eti kudeki au kumpikia mume eti kufua nguo baada ya hapo ndo aende kazini.Hawezi kurudi na kupika chakula kwa mumewe on time sababu anarudi kazi amechoka...

Kwani hili nalo linataka elimu ya chuo kujua kwamba sababu kazi imeiba mda wake mwingi wa kuhudumia familia na kufanya majukumu basi kazi lazima iwe na manufaa kwenye familia walau mume useme ni kweli nguo zangu chafu ila walau mke wangu ananisapoti kununua maji ndani!!!!!!

Hivi 1.9M yote haina msaada kwenye familia!!!na kazini anafuata nini kwanini asishinde nyumbani tu umpe kila kitu..

Muongoze mke wako.Unajua mwanamke ana ujinga wa asili ila kiwango cha ujinga kimetofautiana.Ukiona mwanaamke kichwani anawaza fashion tu ujue hiyo takataka ni mchepuko material kama utaoa ni at ur own risk.
Ukiona mwanamke hana huruma na pesa ujue hiyo ni takataka na mchepuko material ukioa at ur own risk.

Ishu sio kuhudumia familia au kusaidia kuhudumia familia.Ishu ni ujinga wake unatia kinyaa,ishu ni hakuonei huruma kbs,ishu ni utakufa mapema kubwa ka yote umeuziwa mbuzi kwenye gunia yaani huyu na mali ulilipa kabisa kwmba unataka life partner km huyu???

Aiseeee Mungu atuonee huruma wanaume yaani hawa ndo viumbe tunapaswa kuwapenda!!!!tutawezaje sasa maana no way[emoji45][emoji45][emoji45]

Ukweli mtupu
 
Habari wakuu.

Mke wangu ni muajiriwa kwenye moja ya entities hapa Tanzania, kipato chake kwa mwezi ni around 1.9m baada ya makato yote ya serikali.

Mimi kipato changu ni around 500k kwa mwezi na kiukweli kama mwanaume najitahidi sana pamoja na kipato changu kidogo kuhudumia familia yangu vizuri.

Sasa kilichonifanya kuandika huu uzi ni kisa kilichotokea juzi Jumamosi, wife ameninunia sababu ikiwa kwamba aliniomba pesa ya kusukia kama 20k hivi nikamwambia sina, nikamwambia yeye anakosaje hiyo elfu 20 wakati mahitaji yote ya nyumbani natoa mimi. Kanuna mpaka leo.

Nimeambatanisha ushahidi wa salary yake hapa, nishaurini, huyu mwanamke yuko sahihi kuniomba hela ya kusukia wakati kanizidi kipato karibia mara 4?View attachment 1691695
Mwambie kuna ela naisikilizia
 
Back
Top Bottom