Wife kanizidi kipato lakini kila wiki lazima aniombe elfu 20 ya kusukia

Wife kanizidi kipato lakini kila wiki lazima aniombe elfu 20 ya kusukia

Mkuu hilo pambo,endelea tu kulihudumia.......huo ni wajibu wako kama mwanaume,hela zake wala hazikuhusu labda aamue mwenyewe
 
Tatizo la wanaume mkishaowa wanawake wanaojiweza kiuchumi huwa mnajisahau kabisa na kuhisi sasa mwanamke afai tena kuhudumiwa.

Hata kama kipato chako ni buku kumi kwa mwezi jukumu la kumtunza linabaki la kwako katika hiyo 10k ingebidi umpe buku asuke hata twende kilioni, sasa huyo mke akishakuwa anajilipia kusuka kuvaa na kila kitu utakuwa umeowa au umeolewa, wanaume wa siku izi jamani badilikeni wanawake sis tunadanganyaga na mambo mepesi sana mfano mtu kukujali tu hata kwa mafuta poda na nywele huwa tunasikia rahaa sana, tunasikia kumilikiwa na tunafeel ile feminist hali ya kuwa wa kike

Sasa kutana na limwanaume haleti kitu ndani kila akija mikino mitupu ajui hata kusuka bei gani hajui mafuta unayopaka sh ngap ajui nywele hata bei gani kazi yake kusema nywele zako zimefumuka

Na hapo anataka sex, ndo mana sa ingine unapata tu hasira, ujiudumie bado uliwe kila muda anaotaka tu... Woi hebu tupeni huduma ndogondogo hata mzuka upande siyo janu had dec hutoi mpaka uombwe mnaboa sana
 
Hahahah hao wanawake wapumbavu mnawatoaga wapi. Nashukuru nimepata mwanamke aliyekulia kijijini japo kwao hawana njaa kabisa ila amekulia mahala ambapo anajua life ni nini.

Ni mtu ambaye ukimpa mipango yupo tayari ku contribute chochote kitu. Hata kukopa ili mfanikishe yani mpenda maendeleo na wala hayo mambo ya mawigi na kununua nguo kila week hana tamaa nayo.
Shukuru sasa acha kutukana...mi nawaona kibao hapa job

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo la wanaume mkishaowa wanawake wanaojiweza kiuchumi huwa mnajisahau kabisa na kuhisi sasa mwanamke afai tena kuhudumiwa.

Hata kama kipato chako ni buku kumi kwa mwezi jukumu la kumtunza linabaki la kwako katika hiyo 10k ingebidi umpe buku asuke hata twende kilioni, sasa huyo mke akishakuwa anajilipia kusuka kuvaa na kila kitu utakuwa umeowa au umeolewa, wanaume wa siku izi jamani badilikeni wanawake sis tunadanganyaga na mambo mepesi sana mfano mtu kukujali tu hata kwa mafuta poda na nywele huwa tunasikia rahaa sana, tunasikia kumilikiwa na tunafeel ile feminist hali ya kuwa wa kike

Sasa kutana na limwanaume haleti kitu ndani kila akija mikino mitupu ajui hata kusuka bei gani hajui mafuta unayopaka sh ngap ajui nywele hata bei gani kazi yake kusema nywele zako zimefumuka

Na hapo anataka sex, ndo mana sa ingine unapata tu hasira, ujiudumie bado uliwe kila muda anaotaka tu... Woi hebu tupeni huduma ndogondogo hata mzuka upande siyo janu had dec hutoi mpaka uombwe mnaboa sana
Jitu ambalo halikupi hata mia eti in the name of mume, hizo genyee unazipata wapi?[emoji57][emoji57]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo la wanaume mkishaowa wanawake wanaojiweza kiuchumi huwa mnajisahau kabisa na kuhisi sasa mwanamke afai tena kuhudumiwa.

Hata kama kipato chako ni buku kumi kwa mwezi jukumu la kumtunza linabaki la kwako katika hiyo 10k ingebidi umpe buku asuke hata twende kilioni, sasa huyo mke akishakuwa anajilipia kusuka kuvaa na kila kitu utakuwa umeowa au umeolewa, wanaume wa siku izi jamani badilikeni wanawake sis tunadanganyaga na mambo mepesi sana mfano mtu kukujali tu hata kwa mafuta poda na nywele huwa tunasikia rahaa sana, tunasikia kumilikiwa na tunafeel ile feminist hali ya kuwa wa kike

Sasa kutana na limwanaume haleti kitu ndani kila akija mikino mitupu ajui hata kusuka bei gani hajui mafuta unayopaka sh ngap ajui nywele hata bei gani kazi yake kusema nywele zako zimefumuka

Na hapo anataka sex, ndo mana sa ingine unapata tu hasira, ujiudumie bado uliwe kila muda anaotaka tu... Woi hebu tupeni huduma ndogondogo hata mzuka upande siyo janu had dec hutoi mpaka uombwe mnaboa sana
utopolo mtupu
 
Na atakuwa zaidi akiacha kazi akakaa nyumbani ili apewe kila kitu

Mzigo wewe
Apewe kila kitu wakati ya kusuka tu kishaanza kulia lia.

Yawezekana mie ni mzigo ila sijafikia ufurushi wako na mtoa mada.
 
Uyo alikuwa hatupendi, ukitakujua mwanamke anakupenda utamuona kwenye matumiz ya pesa kama anazo pesa lazma atakupa na na kama haja kupenda huwez kula hata sent moja yke wanawake wana roho ngumu

[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Sasa unataka akamuombe nani? Kwani ulipomuoa uliambiwa usimhudumie kama kipato chako ni kidogo kuliko chake? Acha kudekadeka na kulalama mitandaoni mhudumie mkeo EBOO!
Habari wakuu.

Mke wangu ni muajiriwa kwenye moja ya entities hapa Tanzania, kipato chake kwa mwezi ni around 1.9m baada ya makato yote ya serikali.

Mimi kipato changu ni around 500k kwa mwezi na kiukweli kama mwanaume najitahidi sana pamoja na kipato changu kidogo kuhudumia familia yangu vizuri.

Sasa kilichonifanya kuandika huu uzi ni kisa kilichotokea juzi Jumamosi, wife ameninunia sababu ikiwa kwamba aliniomba pesa ya kusukia kama 20k hivi nikamwambia sina, nikamwambia yeye anakosaje hiyo elfu 20 wakati mahitaji yote ya nyumbani natoa mimi. Kanuna mpaka leo.

Nimeambatanisha ushahidi wa salary yake hapa, nishaurini, huyu mwanamke yuko sahihi kuniomba hela ya kusukia wakati kanizidi kipato karibia mara 4?View attachment 1691695
 
Sasa unataka akamuombe nani? Kwani ulipomuoa uliambiwa usimhudumie kama kipato chako ni kidogo kuliko chake? Acha kudekadeka na kulalama mitandaoni mhudumie mkeo EBOO!
Hebu wambie hawa, **** huna basi ongea kauli nzuri

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Umeoa takataka yaani wewe wakati wenzako wanaoa ili wafanikiwa wewe uneoa ili ufe mapema .

Nani asiyejua majukumu ya mwanamke wa kiafrica???
Nani asiyejua majukumu ya mwanaume wa kiafrica??

Shida ni kwamba mwanamke anayefanya kazi hawezi kufanya majukumu yake yote hiyo ni ipo hivyo sasa mwanaume hapaswi kulalamika sababu mke Anatoa support kifedha kwenye majukumu ambayo ofcourse sio yake ni ya mwanaume...hiyo ni kubalance the fact that hawezi fanya majukumu yake ipasavyo akiwa na kazi


Mwanamke anayefanya kazi hawezi kuamka sa 10 usiku eti kudeki au kumpikia mume eti kufua nguo baada ya hapo ndo aende kazini.Hawezi kurudi na kupika chakula kwa mumewe on time sababu anarudi kazi amechoka...

Kwani hili nalo linataka elimu ya chuo kujua kwamba sababu kazi imeiba mda wake mwingi wa kuhudumia familia na kufanya majukumu basi kazi lazima iwe na manufaa kwenye familia walau mume useme ni kweli nguo zangu chafu ila walau mke wangu ananisapoti kununua maji ndani!!!!!!

Hivi 1.9M yote haina msaada kwenye familia!!!na kazini anafuata nini kwanini asishinde nyumbani tu umpe kila kitu..

Muongoze mke wako.Unajua mwanamke ana ujinga wa asili ila kiwango cha ujinga kimetofautiana.Ukiona mwanaamke kichwani anawaza fashion tu ujue hiyo takataka ni mchepuko material kama utaoa ni at ur own risk.
Ukiona mwanamke hana huruma na pesa ujue hiyo ni takataka na mchepuko material ukioa at ur own risk.

Ishu sio kuhudumia familia au kusaidia kuhudumia familia.Ishu ni ujinga wake unatia kinyaa,ishu ni hakuonei huruma kbs,ishu ni utakufa mapema kubwa ka yote umeuziwa mbuzi kwenye gunia yaani huyu na mali ulilipa kabisa kwmba unataka life partner km huyu???

Aiseeee Mungu atuonee huruma wanaume yaani hawa ndo viumbe tunapaswa kuwapenda!!!!tutawezaje sasa maana no way[emoji45][emoji45][emoji45]
 
Apewe kila kitu wakati ya kusuka tu kishaanza kulia lia.

Yawezekana mie ni mzigo ila sijafikia ufurushi wako na mtoa mada.

Kama wewe ni type hizo wewe umeumbwa kuzalishwa na kubaki nyumbani.

No point kuongeza matatizo kwenye maisha.Yaani kuoa laana kuongeza ukoo wenye laana yaani uzae watoto wabinafsi wenye roho mbaya kisa nini???

Ratio ya 1:6 wanaume kwa wanawake inamaana sana.Wanaume wajinga watadharau ila mda utawaumbua.
 
Kama wewe ni type hizo wewe umeumbwa kuzalishwa na kubaki nyumbani.

No point kuongeza matatizo kwenye maisha.Yaani kuoa laana kuongeza ukoo wenye laana yaani uzae watoto wabinafsi wenye roho mbaya kisa nini???

Ratio ya 1:6 wanaume kwa wanawake inamaana sana.Wanaume wajinga watadharau ila mda utawaumbua.
Hela ya kusuka tu inawatoa povu sembuse azae akae nyumbani!! Si atapauka hadi ajute.

We kama unaoa ili ukatolee macho pesa za mkeo basi pole sana, jipe muda ukue kwanza.
 
Ata kama mkeo angekua anapokea mil 500 kwa mwez ww unapokea lak 2. Haibatilish haki zako za kuhudumia family na yy pia
 
Ata kama mkeo angekua anapokea mil 500 kwa mwez ww unapokea lak 2. Haibatilish haki zako za kuhudumia family na yy pia

Sasa si abaki nyumbani alee familia, ndio maana wengi wanaona bora wawaachishe kazi maana hakuna msaada wowote wa malezi au financial
 
Back
Top Bottom