Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uyo alikuwa hatupendi, ukitakujua mwanamke anakupenda utamuona kwenye matumiz ya pesa kama anazo pesa lazma atakupa na na kama haja kupenda huwez kula hata sent moja yke wanawake wana roho ngumuNmekumbuka nlikua demu wangu zamani anaenda kuchukua mshahara , anakuja na tax ananiambia nilipe hela ya tax
Mambo mengine yanaoneka tu unajua ukishakuwa na mpenz wakike utajua tu maisha ya kawao kama ni njaa bila hata kwenda kwaoNa pia ni kwa nini asimhusishe mume wake katika hayo matumizi ya huko kwao?
mkuu hao nilionao karibu ni watoto wa mjini mshahara wote ni kwenda zanzibar, kununua Hennessy, kusuka, nguo za bei ya juu.Ukiona hivyo anetoka kijijin na kwenye familia yao ni duni kwaiyo lazma ajenge kwao na kusomesha wadogo zake nk
Yaah, ukichagua mwanamke wa kwenda na kipato chako wala huteseki nae. Shida ni kuwataka hawa pisi kali mchwa wa kutafuna hela 😂😂😂Mateso lakini tunajitakia wenyewe kujihusisha na wadada wa namna fulani.
Hahahah nakubali, mwanamke akikupenda bana hela yake lazma utaila tu hawezi kuwa mgumu kabisa yani.Uyo alikuwa hatupendi, ukitakujua mwanamke anakupenda utamuona kwenye matumiz ya pesa kama anazo pesa lazma atakupa na na kama haja kupenda huwez kula hata sent moja yke wanawake wana roho ngumu
Mie kazi yangu huwa ni kushauri tu...Mwanamke mbinafsi hafai jamani, hakawilii kuhesabia mambo aliokufanyia kwa pesa zake siku mkigombana😂😂😂mkuu simama kama mwanaume kuwa mkali,.... umpangie matumizi ya angalau laki 7 ya huo mshahara wake akishindwa kutimiza majukumu wewe usiweke pesa nyumbani.....
mil 1.9 ni nyingi sana, na hapo ukute kuna house girl ambaye unamlipa wewe mshahara.....tuache unafiki hapa mkeo anaharibu na hii hali ni wewe tu unaweza igeuza.....
Kuingia ndoani na mbinafsi ni kujitafutia kesi na matatizo
Mie kazi yangu huwa ni kushauri tu...Mwanamke mbinafsi hafai jamani, hakawilii kuhesabia mambo aliokufanyia kwa pesa zake siku mkigombana[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahah hao wanawake wapumbavu mnawatoaga wapi. Nashukuru nimepata mwanamke aliyekulia kijijini japo kwao hawana njaa kabisa ila amekulia mahala ambapo anajua life ni nini.Ndio best yangu....ila ngoja nikufundishe kitu, ukitaka kuoa, oa mwanamke unayempenda sana moyoni mwako!
Masuala ya kazi yake achana nayo kabisa, coz umeoa mwanamke hujaoa kazi,
Ukitaka mwanamke akudharau ulizia hela zake! Hela ya mwanamke hainaga thamani coz ya mashindano ya kununua nguo, les wigi, vipodozi, viatu, pochi, dhahabu n.k...vyote hivyo vinammalizia hela!
Mmoja mmoja ndo anaweza akaamua kujenga/ kufanya maendeleo na ni mpaka ashinde vita ya mashindano ya kuvaa job na wanawake wenzie...
Mwisho kabisa, amini hili
Mwanamke ni kiumbe ambae sio provider kabisa, so ukimuuliza hela zake, asee anakuwa anaona na we ni mwenzie
Mie wangu angekuwa na huo mshahara tungekuwa tushaongeza kiwanja kingine na biashara kubwa tu. Anapenda sana maendeleo sio huo ujinga wa mawigi na nguo. She is willing to give out what she has nikitaka namwambia tu and there are no issues.hahaha ni kweli mkuu ila kuacha mil 1.9 afanyie anasa ni uzembe....week hili kwangu angekuwa mama wa nyumbani rasmi.
zo cha mwanamke kupenda anakuwaga na hali ya huruma sana juu yako usiteseke.Huyo hakupendi. Mwanamke anayekupenda lazima atakusaidia na kukuhurumia. Huyo Hana huruma nanwewe kuwa makini mkuu .
Hahahaha mkuu yalishakukuta nini?Kama wajibu wangu YEYE ANAFANYA KAZI ILI IWEJE ?! NDO MAANA NILIAPA NA SIJAOA MWANAMKE MWENYE AJIRA.
Ni mibinafsi, mibishi, kiburi, ujuaji pumbavu kabisa. Mke bora ni MAMA WA NYUMBANI NA KUMUHUDUMIA INALETA RAHA hata akitaka million nitampa sio hii mifeminist kmlammzao
Hao ndivyo walivyo kyanyangwe . Mimi wakwangu nilimfungulia biashara na siingilii hiyo biashara . Kwa kifupi ni ya kwake. Majuzi hapa nimewalipia watoto karo mpaka nikaishiwa akiba ndani. Nikamuomba a ngalau atubebe kwa kugharimia mahitaji ndani kwa mwezi moja nijiweke sawa . Lakini ndani ya siku mbili niliombwa mahitaji ya ndani. DaahhHabari wakuu.
Mke wangu ni muajiriwa kwenye moja ya entities hapa tz.kipato chake kwa mwezi ni around 1.9m baada ya makato yote ya serikali.
Mimi kipato changu ni around 500k kwa mwezi na kikweli kama mwanaume najitahidi sana pamoja na kipato changu kidogo kuhudumia familia yangu vizuri
Sasa kilichonifanya kuandika huu uzi ni kisa kilichotokea juzi jumamosi, wife ameninunia sababu ikiwa kwamba aliniomba pesa ya kusukia kama 20k hivi nikamwambia sina, nikamwambia yeye anakosaje hiyo elfu 20 wakati mahitaji yote ya nyumbani natoa mimi. Kanuna mpaka leo.
Nimeambatanisha ushahidi wa salary yake hapa.nishaurini, huyu mwanamke yuko sahihi kuniomba ela ya kusukia wakati kanizidi kipato karibia mara 4?View attachment 1691695
Jamani ni raha sana kupewa pesa ya kusuka na mumeWanasikiaga raha kutumia hela zetu.