Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio yuko sahihi.
Hi WitnessJ. Nakupenda rafiki yangu. Nakumbuka tuliongea kuhusu binamu yako. Ndio hivyo my dear. Relationships zimekuwa stress sana sababu ya UBINAFSI. Na mara nyingine hata umhudumie vipi mtu wako, bado haridhiki. Very sad. Thanks kuchangiaWanaume wanaisha asee[emoji848][emoji848]
Hii ndo pointOeni mke msioe elimu/kazi yake.
Ur a real gentlemanKukasirika sio kisa hana. Ni namna alivyomjibu. Kama anamuambia msela wake. [emoji28] [emoji28]
Hlf mwanaume kuwaza waza pesa ya mkeo ni umama.
Umeoa mke au umeoa kazi yake?...then hakuna maana ya mke kufanya kazi, aachishwe akae home kama housewife
nilimuachisha kazi kutokana na huo use/ngerema hapo juuUmeoa mke au umeoa kazi yake?
Ndio best yangu....ila ngoja nikufundishe kitu, ukitaka kuoa, oa mwanamke unayempenda sana moyoni mwako!Hi WitnessJ. Nakupenda rafiki yangu. Nakumbuka tuliongea kuhusu binamu yako. Ndio hivyo my dear. Relationships zimekuwa stress sana sababu ya UBINAFSI. Na mara nyingine hata umhudumie vipi mtu wako, bado haridhiki. Very sad. Thanks kuchangia
uko satisfied? Huhnilimuachisha kazi kutokana na huo use/ngerema hapo juu
hell yeahuko satisfied? Huh
Mwanamke kama anakuzidi mapato, lazima uwe na akili ya kumtoa pesa halafu anakuomba unampatia ili kujenga heshima ndani. Ukizubaa anakudharau hata K inakupa kwa manati😀😀..waume wa sikuhizi🤔
Heshima kwa Baba zetu.
Si mtakuwa na gari lenu? Ila kumpeleka Salon muhimuKumhudumia vizuri familia yako Ni Pamoja na kuhakikisha Mkeo anapendeza kwa kwenda saloon kila wiki.
Habari wakuu.
Mke wangu ni muajiriwa kwenye moja ya entities hapa tz.kipato chake kwa mwezi ni around 1.9m baada ya makato yote ya serikali.
Mimi kipato changu ni around 500k kwa mwezi na kikweli kama mwanaume najitahidi sana pamoja na kipato changu kidogo kuhudumia familia yangu vizuri
Sasa kilichonifanya kuandika huu uzi ni kisa kilichotokea juzi jumamosi, wife ameninunia sababu ikiwa kwamba aliniomba pesa ya kusukia kama 20k hivi nikamwambia sina, nikamwambia yeye anakosaje hiyo elfu 20 wakati mahitaji yote ya nyumbani natoa mimi. Kanuna mpaka leo.
Nimeambatanisha ushahidi wa salary yake hapa.nishaurini, huyu mwanamke yuko sahihi kuniomba ela ya kusukia wakati kanizidi
Kasome content, alafu uje ufute hii comment yk😆😆 utani tu mkuu. Ila hata mm lazma nihoji weeee🤣🤣🤣🤣🤣 aniambie zile hela huwa anafanyia nini hasa??Sijasoma content ila nakuuliza ulitaka amuombe nani?
Kauli muhimuBora ungemwambia kwa sasa sina mke wangu kipenzi subiri ntapambana ntakupa siku mbili hizi..
Hamna jambo linamkera mwanamke kama kumwambia "unakosaje" kiasi fulani kufanya kitu fulani? Inakera,inamfanya aone unakimbia wajibu wako /Pia inakufanya uonekane Hopeless
Maana mwanamke hupenda mtu anaempambania, kwahiyo kitendo cha wewe kuuliza unakosaje ef20 ni sawa na kumfanya ajisikie ule ni wajibu wake vile umemuona kama ni mwanaume mwenzie [emoji2] maana anajipambania kweri kwerii mpaka hela ya kusuka ajipe!
Hahahahahahaha janja yako tumeistukia[emoji16][emoji16]Mwanamke kama anakuzidi mapato, lazima uwe na akili ya kumtoa pesa halafu anakuomba unampatia ili kujenga heshima ndani. Ukizubaa anakudharau hata K inakupa kwa manati