Wife kanizidi kipato lakini kila wiki lazima aniombe elfu 20 ya kusukia

Wife kanizidi kipato lakini kila wiki lazima aniombe elfu 20 ya kusukia

Ndio best yangu....ila ngoja nikufundishe kitu, ukitaka kuoa, oa mwanamke unayempenda sana moyoni mwako!

Masuala ya kazi yake achana nayo kabisa, coz umeoa mwanamke hujaoa kazi,

Ukitaka mwanamke akudharau ulizia hela zake! Hela ya mwanamke hainaga thamani coz ya mashindano ya kununua nguo, les wigi, vipodozi, viatu, pochi, dhahabu n.k...vyote hivyo vinammalizia hela!

Mmoja mmoja ndo anaweza akaamua kujenga/ kufanya maendeleo na ni mpaka ashinde vita ya mashindano ya kuvaa job na wanawake wenzie...

Mwisho kabisa, amini hili

Mwanamke ni kiumbe ambae sio provider kabisa, so ukimuuliza hela zake, asee anakuwa anaona na we ni mwenzie
Asante sana best yang. Lakini nmefikiria kidogo kuhusu hili. Tatizo kwangu ni roho ya huyo mwanamke. Mfano mimi binafsi kiuchumi niko sawa. Na wala sihitaji hela ya mwanamke. Lakini nahitaji mwanamke ambaye hana ubinafsi. Sababu tabia kama hiyo hata hela ya biashara hataithamini. Ataipukutisha tu na mwisho wa siku nitafilisika.
Kama million 2 ya mwanamke haionekani inakoenda, manake hata pakiwa na milioni 20, ataipukutisha tu. Hio ndio shida niko nayo mimi.
 
Kutoa matumizi ya nyumbani sio kuwa responsible? Lazima umpe 20k ya kusuka. Yani USHAURI WATU MNATOA HAPA, no wonder wanaume wenzetu wanajingonga kila siku sababu ya mapenzi. Mtasimama imara lini? Na kuwa kama wanaume? Wenye misimamo na kuwa kama KICHWA CHA FAMILIA HATANKAMA MKE ANAKUZIDI KIPATO?
Yeye ni mwanaume. Awe Responsible kumuhudumia mke wake, ni wajibu wa mwanaume kumtunza mke wake. Full stop. Kama anaona hiyo 20 ni kubwa aache aone atakavyosaidiwa.
 
Ndio best yangu....ila ngoja nikufundishe kitu, ukitaka kuoa, oa mwanamke unayempenda sana moyoni mwako!

Masuala ya kazi yake achana nayo kabisa, coz umeoa mwanamke hujaoa kazi,

Ukitaka mwanamke akudharau ulizia hela zake! Hela ya mwanamke hainaga thamani coz ya mashindano ya kununua nguo, les wigi, vipodozi, viatu, pochi, dhahabu n.k...vyote hivyo vinammalizia hela!

Mmoja mmoja ndo anaweza akaamua kujenga/ kufanya maendeleo na ni mpaka ashinde vita ya mashindano ya kuvaa job na wanawake wenzie...

Mwisho kabisa, amini hili

Mwanamke ni kiumbe ambae sio provider kabisa, so ukimuuliza hela zake, asee anakuwa anaona na we ni mwenzie
Nimefikiria kidogo kuhusu hili. Tatizo kwangu ni roho ya huyo mwanamke. Mfano mimi binafsi kiuchumi niko sawa. Na wala sihitaji hela ya mwanamke. Lakini nahitaji mwanamke ambaye hana ubinafsi. Sababu tabia kama hiyo hata hela ya biashara hataithamini. Ataipukutisha tu na mwisho wa siku nitafilisika.
Kama million 2 ya mwanamke haionekani inakoenda, manake hata pakiwa na milioni 20, ataipukutisha tu. Hio ndio shida niko nayo mimi.
 
Yeye ni mwanaume. Awe Responsible kumuhudumia mke wake, ni wajibu wa mwanaume kumtunza mke wake. Full stop. Kama anaona hiyo 20 ni kubwa aache aone atakavyosaidiwa.
Tatizo sio hilo. Tatizo ni roho ya huyo mwanamke ya ubinafsi. Kama wanawake wote wako hivyo na roho kama hizo, na ndio kweli asilimia kubwa mimi niliokutana nao wale niliowapenda, wote wanajijali tu wao, na hawajali biashara ikue, NA HAWARIDHIKI. Hata milioni 20 HAIMTOSHI!. Manake hapa ni ubachela tu milele zote
 
Habari wakuu.

Mke wangu ni muajiriwa kwenye moja ya entities hapa tz.kipato chake kwa mwezi ni around 1.9m baada ya makato yote ya serikali.

Mimi kipato changu ni around 500k kwa mwezi na kikweli kama mwanaume najitahidi sana pamoja na kipato changu kidogo kuhudumia familia yangu vizuri

Sasa kilichonifanya kuandika huu uzi ni kisa kilichotokea juzi jumamosi, wife ameninunia sababu ikiwa kwamba aliniomba pesa ya kusukia kama 20k hivi nikamwambia sina, nikamwambia yeye anakosaje hiyo elfu 20 wakati mahitaji yote ya nyumbani natoa mimi. Kanuna mpaka leo.

Nimeambatanisha ushahidi wa salary yake hapa.nishaurini, huyu mwanamke yuko sahihi kuniomba ela ya kusukia wakati kanizidi kipato karibia mara 4?View attachment 1691695
Kama mpango wenyewe ndio kunyonyana hivi... BORA NIENDELEE TU KUWA SINGLE.

#YNWA
 
Ila daah huyo mwana anaonekana hata kuvaa havai vizuri,hapo 80elfu ya mama kusuka inabaki 420,hapo hajanunua unga ,mchele na vikolokolo vya kutumia kwa mwezi mzima.Bado kuna luku ,bili za maji na kama kuna mtoto anasoma bado hujampa hela ya nauli na ada,yeye mwenyewe nauli ya kuelekea kazini bado hajala ,hajanunua vocha.

Daaah mwamba anapitia maisha magumu,kweli wanaume tumeumbiwa mateso,yaani unaweza ukakuta ana miaka mitatu hajanunua nguo mpya,bado haja pokea simu " baba anaomba hela ya kulimia......mdogo wako hana ada.......",bora sometimes uoe mama wa nyumbani ujue tu hana kitu,kwani ni rahisi kumcontrol hata ukimpa buku anaenda zake kusuka nywele za Kilimanjaro anarizika maisha yana endelea.
 
Ila daah huyo mwana anaonekana hata kuvaa havai vizuri,hapo 80elfu ya mama kusuka inabaki 420,hapo hajanunua unga ,mchele na vikolokolo vya kutumia kwa mwezi mzima.Bado kuna luku ,bili za maji na kama kuna mtoto anasoma bado hujampa hela ya nauli na ada,yeye mwenyewe nauli ya kuelekea kazini bado hajala ,hajanunua vocha.

Daaah mwamba anapitia maisha magumu,kweli wanaume tumeumbiwa mateso,yaani unaweza ukakuta ana miaka mitatu hajanunua nguo mpya,bado haja pokea simu " baba anaomba hela ya kulimia......mdogo wako hana ada.......",bora sometimes uoe mama wa nyumbani ujue tu hana kitu,kwani ni rahisi kumcontrol hata ukimpa buku anaenda zake kusuka nywele za Kilimanjaro anarizika maisha yana endelea.
Mateso lakini tunajitakia wenyewe kujihusisha na wadada wa namna fulani.
 
Bora ungemwambia kwa sasa sina mke wangu kipenzi subiri ntapambana ntakupa siku mbili hizi..
Hamna jambo linamkera mwanamke kama kumwambia "unakosaje" kiasi fulani kufanya kitu fulani? Inakera,inamfanya aone unakimbia wajibu wako /Pia inakufanya uonekane Hopeless

Maana mwanamke hupenda mtu anaempambania, kwahiyo kitendo cha wewe kuuliza unakosaje ef20 ni sawa na kumfanya ajisikie ule ni wajibu wake vile umemuona kama ni mwanaume mwenzie [emoji2] maana anajipambania kweri kwerii mpaka hela ya kusuka ajipe!

Sasa why mnalilia 50/50?
 
Habari wakuu.

Mke wangu ni muajiriwa kwenye moja ya entities hapa tz.kipato chake kwa mwezi ni around 1.9m baada ya makato yote ya serikali.

Mimi kipato changu ni around 500k kwa mwezi na kikweli kama mwanaume najitahidi sana pamoja na kipato changu kidogo kuhudumia familia yangu vizuri

Sasa kilichonifanya kuandika huu uzi ni kisa kilichotokea juzi jumamosi, wife ameninunia sababu ikiwa kwamba aliniomba pesa ya kusukia kama 20k hivi nikamwambia sina, nikamwambia yeye anakosaje hiyo elfu 20 wakati mahitaji yote ya nyumbani natoa mimi. Kanuna mpaka leo.

Nimeambatanisha ushahidi wa salary yake hapa.nishaurini, huyu mwanamke yuko sahihi kuniomba ela ya kusukia wakati kanizidi kipato karibia mara 4?View attachment 1691695
Hapo dawa ni ndogo, ikifika mwisho wa mwezi kusanga mshahara wako wote, kamkabidhi yeye mshirikishe na majukumu yote uliyonayo kwa mwezi ai-budget hiyo hela.
 
mpige biti la kumuachisha kazi na hiyo sio siku 1 tu useme, umseme kama wiki zima na uwe serious.....

wanawake wakiTanzania aailimia kubwa ni overrated, wanaamini mambo ambayo hamna mil 1.9 afanyie mashindano kwa maisha gani?......

alafu hiyo situation inakera sana hata kazini kwetu unakuta mdada analipwa laki 9 as take home wewe u alipwa laki 750 take home ila kila siku utasikia naomba elfu 10000 haipiti siku 3 bila kuomba pesa tena kwa watu tofauti....sasa unanjiuliza hizo pesa huwa wanapeleka wapi....

hapo hapo kuna foreigners wapo hapo kazini wakike hata 500 tu hawaombi na wapo so cool sasa mtu ataolewaje kwa mentality hiyo ya ombaomba wakati kioato anacho cha kukuzidi......

Extrovert pita huku
Ukiona hivyo anetoka kijijin na kwenye familia yao ni duni kwaiyo lazma ajenge kwao na kusomesha wadogo zake nk
 
Asante sana best yang. Lakini nmefikiria kidogo kuhusu hili. Tatizo kwangu ni roho ya huyo mwanamke. Mfano mimi binafsi kiuchumi niko sawa. Na wala sihitaji hela ya mwanamke. Lakini nahitaji mwanamke ambaye hana ubinafsi. Sababu tabia kama hiyo hata hela ya biashara hataithamini. Ataipukutisha tu na mwisho wa siku nitafilisika.
Kama million 2 ya mwanamke haionekani inakoenda, manake hata pakiwa na milioni 20, ataipukutisha tu. Hio ndio shida niko nayo mimi.
Kwani kabla ya kumuoa uku mchunguza yeye na familia anayo toka wana uchumi gani Mimi nimesha hapa sioi mwanamke kwao wana matatzo ya kiuchimi sanaaa maana mtachelewa kujenga maisha siyo mwanamke ana marengo yake na mwanaume una marengo yake na mmefunga ndoa mnaish pamoja
 
Kwani kabla ya kumuoa uku mchunguza yeye na familia anayo toka wana uchumi gani Mimi nimesha hapa sioi mwanamke kwao wana matatzo ya kiuchimi sanaaa maana mtachelewa kujenga maisha siyo mwanamke ana marengo yake na mwanaume una marengo yake na mmefunga ndoa mnaish pamoja
Na pia ni kwa nini asimhusishe mume wake katika hayo matumizi ya huko kwao?
 
Back
Top Bottom