[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa makachero wamemtumia mke wako instagram zinafanya nini? Aliyezipost instagram ni nani na kwa lengo gani?
Last week jamaa angu alikua anaoa,so kwenye sherehe nikachapa tungi sana then nikakamatia mtoto flani wa kike nikaruka nae debe sana, kumbe mle ukumbini wife alikua na makachero wake ambao walimtumia picha za kila tukio nililofanya.
So baada ya kuona picha zangu nimekamatia kiuno cha mtoto wa kisambaa kanuna mpaka leo.
Nifanyaje wakuu?
View attachment 2215896
View attachment 2215897
View attachment 2215898
Kwa kweli maana jf siku hizi watu wanatuchota sana [emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Swali__kazi___jibu[emoji23]
Atoe majibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwache kijana alambe asalimwambie haukuchukua namba asiwe na wasiwasi
Tunalamba asali kimya kimyaHii nchi kuanzia viongozi hadi raia tumevurugwa!!
Thibitisha kama anacheza na mwanamke mwingineMwanamme unatakiwa kuwa na ushawishi kiasi uweze kuwa na mke wako hapo ukumbini na ukacheza na mwanamke mwingine bila tabu.
If it's just a dance.
Tatizo wewe unakwenda kwenye harusi bila mke wako, halafu unacheza na mwanamke mwingine.
Logical non sequitur.Thibitisha kama anacheza na mwanamke mwingine
Sana,wanatuona mazuzu[emoji23]Kwa kweli maana jf siku hizi watu wanatuchota sana [emoji1][emoji1]
Wewe unaona zina afya vipi naye akuletee za sampuli hiyo uone msawazo wake.Last week jamaa angu alikua anaoa,so kwenye sherehe nikachapa tungi sana then nikakamatia mtoto flani wa kike nikaruka nae debe sana, kumbe mle ukumbini wife alikua na makachero wake ambao walimtumia picha za kila tukio nililofanya.
So baada ya kuona picha zangu nimekamatia kiuno cha mtoto wa kisambaa kanuna mpaka leo.
Nifanyaje wakuu?
View attachment 2215896
View attachment 2215897
View attachment 2215898
Hata mi nimeenda Instagram nimemuona na Sura. Tena naijua hadi hiyo page π π πFuta hizo picha
Ushajulikana
Ebu na sie mtupe hiyo page jamani tukamuone huyo mtoto wa kisambaaHata mi nimeenda Instagram nimemuona na Sura. Tena naijua hadi hiyo page π π π
Nifate PMEbu na sie mtupe hiyo page jamani tukamuone huyo mtoto wa kisambaa
Naona kakununia kidogo wewe mimi ningekata na ulimi kabisa nisikuongeleshe jumla kweli hivyoLast week jamaa angu alikua anaoa,so kwenye sherehe nikachapa tungi sana then nikakamatia mtoto flani wa kike nikaruka nae debe sana, kumbe mle ukumbini wife alikua na makachero wake ambao walimtumia picha za kila tukio nililofanya.
So baada ya kuona picha zangu nimekamatia kiuno cha mtoto wa kisambaa kanuna mpaka leo.
Nifanyaje wakuu?
View attachment 2215896
View attachment 2215897
View attachment 2215898