Wife kanuna baada ya kuona hizi picha zangu nikicheza kwenye harusi ya jamaa yangu

Kwa hiyo na wewe ni mume wa mtu kabisa?
Hii nchi , no wonder mmemuua Magufuli kwa shinikizo la damu.
Na huyo mtoto wa kisambaa number yake unayo au ndio hata hukuichukua?
 
Mwanamme unatakiwa kuwa na ushawishi kiasi uweze kuwa na mke wako hapo ukumbini na ukacheza na mwanamke mwingine bila tabu.

If it's just a dance.

Tatizo wewe unakwenda kwenye harusi bila mke wako, halafu unacheza na mwanamke mwingine.
Thibitisha kama anacheza na mwanamke mwingine
 
Wewe unaona zina afya vipi naye akuletee za sampuli hiyo uone msawazo wake.
Huwezi kumuwekea mwenzako maumivu eti kisa wewe ni mwanaume kuheshimiana ni pamoja na kumfichia mtu kitu kinachoweza kumuumiza asikione. Mke siyo hawala hata hawala haumizwi.
 
Mkuu kifupi ondoa hizi picha. Utasanuka bure mapema kabisa. Ila msambaa mwenyewe hana maajabu mbona... Wa kawaida tu mwambie wife atulize boli yeye ndo one and only.

Jaman mkienda kwenye masherehe ya bongo kuweni makini picha zinasambaa na kuwekwa mitandaoni. Sa kama we mme wa mke afu ukajichanganya vibaya itakula kwako. Msinunishe mawife material wazee..
 
Naona kakununia kidogo wewe mimi ningekata na ulimi kabisa nisikuongeleshe jumla kweli hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…