Wife katoka out bila kunijulisha

Wife katoka out bila kunijulisha

tang'ana

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
11,931
Reaction score
15,849
Niko mjini Dublin-Ireland kikazi, so hii sikukuu ya pasaka haijanikutia huko bongo.

Juzi ijumaa tuliongea kwa kirefu tu na wife aliyeko huko bongo na nikawatumia kama pound 1000 hivi kwa ajili ya sikukuu coz aliniambia kuna wageni wake wangemtembelea.

Leo siku nzima hajanitafuta, jioni hii kwa saa za hapa kwetu nikasema nimtafute, akapokea ila alikua kwenye kelele mno hatukusilizana.

Baada ya like 1 hour hivi nikaona niwapigie tena akapokea mtoto wetu mdogo akasema walikua out sijui wapi huko mbezi beach, nimeskia wife anamgombeza dogo kuwa aache kisabengo cha kuongea mambo ambayo hajaulizwa.

Je, wakuu hili limekaaje la mke wa mtu kutoka out bila mumewe kutokuwepo?
 
Mjomba fimbo ya mbali haiui nyoka na mwanamke hachungwi.
Shukuru hata watoto wameenda beach.
Kama kunasela anakusaidia, shukuru tu bado wife anajali watoto.
Kama hutaki hizi stress mlete airelandi pia.
Unadhan kuna manzi hataki kwenda uzunguni pia?
 
Niko mjini Dublin-Ireland kikazi,so hii sikukuu ya pasaka haijanikutia huko bongo.
Juzi ijumaa tuliongea kwa kirefu tu na wife aliyeko huko bongo na nikawatumia kama pound 1000 hivi kwa ajili ya sikukuu coz aliniambia kuna wageni wake wangemtembelea.
Leo siku nzima hajanitafuta,jioni hii kwa saa za hapa kwetu nikasema nimtafute,akapokea ila alikua kwenye kelele mno hatukusilizana.
Baada ya like 1 hour hivi nikaona niwapigie tena akapokea mtoto wetu mdogo akasema walikua out sijui wapi huko mbezi beach,nimeskia wife anamgombeza dogo kuwa aache kisabengo cha kuongea mambo ambayo hajaulizwa.
Je wakuu hili limekaaje la mke wa mtu kutoka out bila mumewe kutokuwepo?
Kuna njemba imeshatafuna mbususu ya mkeo na wanao wanamuita jamaa uncle....... Njemba imefaidi mbususu na pauni zako,,, we huko piga puchu tu
 
Sikia, huwezi fahamu dalili za uchepukaji ukiwa mbali naye Bali ukiwa karibu, utakuwa unafanya speculation tu.
Ila jaribu kumnyima attention na wewe kwa muda wa siku nzima kesho, ukiona hakupigii hio ni redflag kuwa ana jemba linampumulia.
Jaribu kuwa mkatili kidogo Kwa siku ya kesho.
 
Back
Top Bottom